Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:CHADEMA YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi na Mbunge wa Kalenga, Dkt. William Mgimwa ambaye amefariki akiwa...

View Article


BUBU AMUUA BABA YAKE MZAZI, KISA…SOMA HAPA

Tunduru Kijana wa umri wa Miaka 29 mwenye ulemavu wa kushindwa kuongea (Bubu) aliyefahamika kwa jina la Zuberi Hatima Said anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua Baba yake Mzazi  akiwa anamtuhumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO TAREHE 2/01/2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNAMKUMBUKA UNCLE PHIL? AMEFARIKI DUNIA, ANGALIA VIDEO HAPA

James Avery(Pichani Kulia) amefariki akiwa na umri wa miaka 65. Msanii huyo aliyefahamika sana kwa jina la Uncle Phil kwenye tamthiliya ya Fresh Price of Bel-Air, amefariki akiwa katika hospitali huko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJONZI:KAREGEYA NAYE AAGA DUNIA

Polisi nchini Afrika Kusini wamesema kuwa aliyekuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya, amepatikana ameaga dunia katika hoteli moja mjini Johannesburg.Kwa mujibu wa BBC Swahili, Bwana...

View Article


VIDEO : BEYONCE - XO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI: HII INATISHIA AMANI KWA WASAFIRI

Hii ni sehemu ya barabara ya Mpanda kuelekea Kigoma, hapa madereva wakihangaika kunasua magari yaliyokwama kwenye tope kama walivyokutwa na kamera ya mdau wetu hivi karibuni.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MEMBE AUNGANA NA WATANZANIA KATIKA KUOMBOLEZA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe ameandika katika mtandao wa twitter jinsi alivyohuswa na kifo cha Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa. Soma juu post yake.

View Article


AJALI TENA MOROGORO, MMOJA APOTEZA MAISHA

Taarifa tulizozipokea kuhusu ajali iliyotokea tarehe 01/01/2014 na kusababisha kifo cha mtu mmoja ilitokea mkoani Morogoro eneo la Kidoma, Mikumi, saa tisa alasiri katika barabara ya Iringa/Morogoro...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTARATIBU MZIMA WA MAZISHI YA WAZIRI WA FEDHA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Nchi - Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (Pichani) atakutana na waandishi wa habari leo mchana ili kutoa utaratibu mzima wa shughuli ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TAREHE 3/01/2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOFU YAZUKA JIJINI DAR ES SALAAM, YAHOFIWA NI BOMU

 (via wavuti website) HALI ya taharuki leo iliwakumba wakazi wa eneo la Shekilango, jijini Dar es Salaam, baada ya kuona kitu aina ya chuma kilichokuwa kimejifukia ardhini na kuonekana sehemu ya juu,...

View Article

ANOTHER BREAKING NEWS: MENO 81 YA TEMBO YAKAMTWA BANDARINI

                                                       TAARIFA KWA UMMAMamlaka ya Bandari Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na vyombo vingine vya Dola, tarehe 2 Januari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABOMU TENA: WANAKWAYA 6 WALIPULIWA BOMU ARUSHA

ArushaWanakwaya sita, waumini wa kanisa katoliki parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, wamelazwa katika Hospitali ya Mission na Tengeru,wilayani Arumeru baada ya kujeruhiwa vibaya kwa bomu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOEL BENDERA NA OLE MEDEYE WATUNUKIWA UDAKTARI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,  Bw. Joel Bendera(Kushoto), jana alitunukiwa shahada ya heshima ya uzamivu kutoka chuo kikuu cha California State University, Marekani (USA).Makamu Mkuu wa chuo hicho...

View Article


VIDEO: HII VIDEO YA DIAMOND NA DAVIDO IKO NJIANI IKANKUAJA

View Article

DUH: ANGALIA JOKA KUBWA KULIKO YOTE DUNIANI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO HAYO: SIMU YA MWAKA 2025 HII HAPA

HII NDIO SIMU ITAKAVYOKUWA MIAKA IJAYOTAFADHALI TUAMBIE, UNGEPENDA KUWA NA SIMU KAMA HII? KAMA NDIO, KWANINI NA KWANINI HAPANA?TUPIA HAPO KWENYE COMMENT TAFADHALI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII KALI: BAJETI YA MWAKA BUMBULI, ASILIMIA 50 NI MISHARA TU

LushotoBaadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Bumbuli wilayani Lushoto mkoani Tanga wameitilia shaka bajeti yao ya mwaka 2014/15 ya sh. bilioni 24.1 kwa kusema haiwezi kuwasaidia kwa vile kati ya fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONA MAGAZETI LEO, YALIYOTAWALA NCHINI TANZANIA

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live