Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: WAFANYAKAZI WA MAJANI YA CHAI WAGOMA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHADHARI: KIMBUNGA KINATARAJIWA MAENEO YA PWANI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amepokea pikipiki 44 zikiwa ni msaada kutoka Ubalozi wa China na Kampuni ya Fu-Tang ya kutoka China. Amekabidhiwa msaada huo leo mchana (Jumanne, Desemba 24, 2013) mbele ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADEE, CHEGE KUWASHA MOTO COCO BEACH XMASS DAY

 Katika kuhakikisha sikukuu za krismas inaenda vyema, kampuni ya mawasiliano ya Vodacom imeandaa Tamasha kwa wateja na mashabiki wa Muiki katika viwanja vya fukwe za Coco wakati huu ikiwaleta wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR. SLAA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU 22 NCHINI

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibroad Slaa amehitimisha ziara yake ya siku 22 ya kuimarisha na kukagua uhai wa chama katika majimbo 19 mikoa ya Shinyanga, Kigoma,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI SIKU YA CHRISTMAS HAYA HAPA

View Article

VIDEO: I WISH - DAVID FT. JACOB

View Article

ANASWA KWA TUHUMA ZA KUUZA SILAHA

TaboraJESHI La Polisi Mkoani Tabora limemkamata mkazi mmoja wa Mjini Kigoma kwakuwa na Bunduki ya Kivita pamoja na magazine yake.Kamanda wa Polisi Mkoani Tabora, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEMBELI ATAKIWA KUMUOMBA RADHI MAIGE

Shinyanga  Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakazi wa jimbo la Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga wamemuomba mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya ardhi, maliasili na mazingira, James...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YATUMA SALAM ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA

Kampuni ya mitandao ya simu za mkononi ya Airtel imewaasa Watanzania wote kote nchini kulinda amani na utulivu wa nchi katika kipindi hiki cha sikukuu ikiwa ni baada ya kuwatakia heri ya Christmas na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIO MAGAZETI YA LEO TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEGATRADE YATOA MISAADA KWA WATOTO

ArushaKAMPUNI ya Megatrade Ivestment kupitia kinywaji chake cha K-vant Gin imetoa misaada ya vitu mbalimbali ikiwemo chakula kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwaajili ya sikukuu ya krismasi...

View Article

VIDEO: JILINDE SIR TINO FT. MR BLUE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY NEW YEAR 2014

IMMA MATUKIO INAWATAKI HERI YA MWAKA MPYA WASOMAJI WAKE, WAPENZI, WACHANGIAJI WOTE, WAFUATILIAJI MAMBO MBALI MBALI, WANAOTUPENDA NA WANAOTUCHUKIA, WANAOTUTAKIA MAFANIKIO NA WASIO TUTAKIA, WAKUBWA KWA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NI NOMA: DEREVA WA DAR EXPRESS AKUTWA AMEPIGA VIROBA

HIvi karibuni POLISI NA SUMATRA walifanya zoezi la kupima ulevi kwa madereva Chalinze, Mkoa wa Pwani. Zoezi hilo lililokuwa linalenga kukipima ulevi kwa madereva wa usafirishaji hasa kwa mabasi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA MWAKA MPYA HAYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA DK.WILLIAM MGIMWA AFARIKI DUNIA

Taarifa za hivi punde zinasema Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa amefariki dunia.Waziri huyo katika serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete amefariki dunia hii leo baada ya kuugua na kulazwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CONFIRMED: RAIS KIKWETE APOKEA TAARIFA KIFO CHA WAZIRI WA FEDHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni kubwa taarifa za kifo cha Waziri wa Fedha, Mheshimiwa William Mgimwa, aliyekuwa pia Mbunge wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIN : JAMANI FANYENI MAZOEZI, NI MUHIMU KWA AFYA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,(katikati) na viongozi mbali mbali walioshiriki matembezi  ya Bonanza ya 5 ya vikundi vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII KALI: NDOA 54 ZAFUNGWA KWA MARA MOJA KAHAMA

Wanandoa wakiwa kanisani hivi karibuni mwaka  uliopita  kwenye kanisa kuu la jimbo Katoliki la Kahama ambako  jumla ya  ndoa  54  zilifungwa  wakati mmoja  na paroko  Padre Logatus Malulu   katika...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live