Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUHUSU SHIRIKA LA RELI TANZANIA

                                                        KAMPUNI YA RELI TANZANIATAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA KUAHIRISHA SAFARI YA TRENI YAABIRIA KWENDA BARA HADI JUMAPILI JANUARI 05, 2014Uongozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALAA: MOTO WATEKETEZA NYUMBA ZAIDI YA 10 PEMBA

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba moto mkubwa umeteketeza nyumba zaidi ya 10 huko Pemba Micheweni. Jitihada za kuzima moto huo mpaka tunakwenda mitamboni zilikuwa zinaendelea, taarifa zimeeleza...

View Article


WOOOW: FREE STYLE UJAMAA HIPHOP DARASA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB SIJUI KAMA HII MMEIONA AU KUISIKIA...

NjombeWateja wa benki ya NMB katika halmashauri ya Mji Makambako wameitaka benki hiyo kuboresha huduma ili kuweza kumudu ushindani uliopo katika asasi za kifedha.Hayo yametolewa na wadau wa benki hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANGALIA HAYA MAGAZETI YA TANZANIA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEKUWA WAZIRI MKUU ISRAEL ANA NAFUU, HAJITAMBUI MWAKA WA 8 SASA

YUKO KITANDANI MWAKA WA 8 KWENYE KOMAMadaktari wamefanikiwa kuirudisha hali ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel Ariel Sharon kuwa ya kawaida. Pamoja na jitihada hizo bado yuko katika hali mbaya, hayo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ABIRIA 10 WADAIWA KUTUPWA BAHARINI LEO WAKITOKEA PEMBA

Imedaiwa kuwa abiria wapatao 10 wamerushwa baharini kutoka kwenye boti ya Kilimanjaro II waliyokuwa wakisafiria leo saa 5 asubuhi. Boti hiyo ya abiria ilikuwa ikitokea Pemba kuelekea Unguja, ndipo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PINDA AKAGUA KABURI ATAKALOZIKWA WAZIRI WA FEDHA

JUU:Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwafariji  wanafamilia wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiji cha  Magungua, Iringa kuwapa pole na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA :VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI KUAGA MWILI WA WILIAM MGIMWA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Zakia Bilal, wakiifariji familia ya marehemu Dkt. William Mgimwa, wakati wa shughuli za kuaga na kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MGIMWA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo wakatiwa kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Dkt William Mgimwa viwanja vya Karimjee hall jijini Dar es salaam leo january 5, 2014...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH: ANGALIA ZITTO ALIVYOANDIKA KWENYE FACEBOOK

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARUA YA UTETEZI YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA

Mh. Katibu Mkuu,Chama Cha Demokrasia Na MendeleoUFIPA STREET, KINONDONIS. L. P 31191Dar es Salaam – Tanzania.YAH: MASHATAKA YA UKIUKWAJI WA KATIBA, KANUNI NA MWONGOZO WA CHAMA....Rejea barua yako ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ITS CONFIRMED: WATU 6 WAFIA BAHARINI ZANZIBAR

Habari zilizotufikia hivi punde kutoka Zanzibar zimesema kuwa ni kweli tukio la watu kutupwa majini lilikuwepo, na polisi walipoenda kufuatilia waliokota miili sita ya baadhi ya watu waliokufa.Imma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AAGA MWILI WA MAREHEMU MGIMWA, IRINGA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho wakati wa kuuaga mwili wamarehemu mbunge wa jimbo la Kalenga Dkt William Mgimwa leo katika ukumbi wa Siasa Ni Kilimo, Mkoa wa IringaRais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA MATUKIO YA WATU KUTOSWA BAHARINI ZANZIBAR

 Baadhi ya watu wakifuatilia uokoaji kwa kutumia mitumbwi katika pwani ya Nungwi Hivi ndivyo ilivyokuwa baharini leo wakati wa ajali hiyo Mmoja wa manusura aliyenusurika kufa baada ya kufika nchi kavu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONYO KALI: DEREVA, KONDA HAKUNA KUSHUKA KWENDA KUONGEA NA TRAFIK

Kibaha(kutoka Gazeti la Majira) Katika kupambana na kuzuia ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa baadhi ya makondakta na madereva wa mabasi dhidi ya askari polisi kikosi cha usalama barabarani (trafiki),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO TAREHE 06/01/2014 YANAONEKANA HIVI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI YA KIFO: MABONGE WAONGEZEKA NCHI MASIKINI KULIKO NCHI TAJIRI

Idadi ya watu wenye uzito mkubwa katika nchi zinazoendelea imeongezeka kwa zaidi ya mara tatu toka watu milioni 250 mpaka milioni 904 kwa kipindi cha miaka takriban 30 tokea 1980 mpaka 2008, matokeo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEZ B ANUSURIKA KUUWAWA

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini anayeunda kundi la Chemba Squard Mez B, anusurika kufa mara baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana  na kumkatakata na kisu usoni hali iliyosababisha msanii huyu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA SASA: MNYIKA AMGEUKIA PROF. MUHONGO

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live