Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

UTARATIBU MZIMA WA MAZISHI YA WAZIRI WA FEDHA

$
0
0

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Nchi - Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (Pichani) atakutana na waandishi wa habari leo mchana ili kutoa utaratibu mzima wa shughuli ya mazishi ya Marehemu Dkt. William Mgimwa.

Dkt Mgimwa alikumbwa na mauti jana akiwa katika hospitali Milpark nchini Afrika kusini ambapo amekuwa akipatiwa matibabu.

Leo saa sita mchana Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu atatoa utaratibu wa shughuli ya mazishi ya Mh. Dkt William Mgimwa.

Tutaendelea kukuletea utaratibu mzima utakapokamilika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles