MAKUBWA: HOTELI INAKUWEZESHA KULA CHAKULA NA WAFU (SOMA NGALIA PICHA)
Mgahawa mmoja nchini India unakuwezesha kula chakula na wafuā¦najua unashangaa, ndio wafuā¦watu waliokufa. Hoteli hiyo imejengwa makaburini na kuzunguka makaburi ya zamani, hivyo makaburi yako ndani kama...
View ArticleDUH, SWIZZ BEAT, ALICIA WATANUA NA ALIYEKUWA MKE WA SWIZZ (ONA PICHA)
Unaweza kushangaa na kutoamini kuwa wanawake waliogombana juu ya mwanaume wanaweza kubadili mawazo na kuamua kuwa pamoja na kuweka kando tofauti zao, japo ili kulinda watoto.Si jambo la kawaida...
View ArticleMATOKEO YAMEBADILIKA DAKIKA YA 88 YANGA 5, PRISONS 0
Katika kipindi cha pili Yanga yapata bao la tatu kupitia mshambuliaji wake Hamisi Kiiza katika dakika ya 67. Hamisi Kiiza ameingia katika kipindi cha pili akichukua nafasi ya mchezaji Emmanuel Okwi...
View ArticleMATOKEO MKWAKWANI KATI YA AZAM NA MGAMBO JKT 2 - 0
Huko Tanga nako mechi baina ya wazee wa lamba lamba Azam watoto wa Chamanzi wameichapa Mgambo JKT, magoli 2 huku JKT wakitoka bila bao, kwa matokeo hayo Azam wanajikita zaidi kwa pointi 50Ā na...
View ArticleYANGA 5 PRISON 0,MPIRA UMEKWISHA, YANGA INAENDELEA KUSHIKA NAFASI YA 2
Katika mechi ya kukamilisha mzunguko wa ligi kuu ya Tanzania bara maaru kama Vodacom Premium League, leo wazee wa Jangwani Yanga wameshuka dimbani kukipiga na walinzi wa magereza wa jiji la Mbeya,...
View ArticleDIAMOND NA WEMA SEPETU NANI ZAIDI�
TUAMBIE NANI ZAIDI KWENYE MANYWELE HAPO..?TAFADHALI SHUKA CHINI U-COMMENT HAPO
View ArticleTAADHARI YA MAFURIKO MWAI KIBAKI ROAD
TAARIFA YA MAFURIKO YA MAJI NJIA YA MWAI KIBAKI ROADKWA WENGI MNAOTUMIA BARABARA YA MWAI KIBAKI KUTOKA NA KWENDA MJI AU KUELEKEA SHOPPAZ PLAZA, HALI NI MBAYA SANA KWANI MAJI YAMEJAA KUTOKA ARCADE...
View ArticleKIBOKO :ASKOFU BILIONEA ALIYESTAAFISHWA NA PAPA, AMETUMIA MABILIONI KUJIRUSHA
Papa Francis amemsimamisha Askofu Franz-Peter Tebartz-van Elst wa Dayosis ya Limburg, Askofu huyo maarufu anayejulikana kama āBling Bishopā kutokana na utata unaozunguka aina ya maisha anayoishi.Hii...
View ArticleWATANZANIA WAPELEKWA CHINA KUJIUZA KIMWILI (SOMA HAPA)
Serikali ya Tanzania imesema kuwa imebaini kuwepo kwa biashara haramu ya kusafirisha watoto wa kike kwenda nchini China kwa lengo la kuwashirikisha katika ukahaba ambao unadaiwa kusababisha kunyanyaswa...
View ArticleBREAKING NEWS: OBAMA AKUTANA NA PAPA FRANCIS MARA YA KWANZA
Papa Francis (kushoto) alipokutana na Rais wa Marekani, Barack Obama leo mwezi machi 27, 2014 jijini Vatican. Mkutano huo umekuja kama ukaribisho wa Rais Obama katika mapumziko yake ya siku 6 akiwa...
View ArticleDUBAI AIRPORT YAVUNJA REKODI YA DUNIA KWA KUIPIKU LONDON, HEATHROW
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dubai, umefanikiwa kuvunja rekodi ya dunia kwa kuwa ndio uwanja unaotumika (busiest) sana na kuchukua nafasi ya ndege wa Uingereza ulioko jijini London, Heathrow.
View ArticleMAFURIKO BAADA YA MVUA KALI JIJINI DAR ES SALAAM
Wakazi wa eneo la Jangwani wakiokota plastiki na chupa vilivyotawanywa na mvua kali zinazoendelea nchini kama walivyokutwa na kamera yetu leo asubuhi.CHINI: Wakazi wa Jangwani karibu na uwanja wa klabu...
View ArticlePOMBE YAMPELEKA KUZIMU, MWILI WAKE WAOKOTWA UMEHARIBIKA
TunduruMkazi wa Kijiji cha Sisikwasisi Wilayani Tunduru mkoani Ruvuma aliyefahamika kwa jina la Makelele Omary (38) amefariki dunia katika tukio lililosababishwa na ulevi wa kupindukia.Taarifa za tukio...
View ArticleBREAKING NEWS: AJALI YA BASI LA MASTER CITY USIKU KUAMKIA LEO
Tumepata taarifa ya ajali ya basi la Master city lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza kwamba limepata ajali maeneo ya Kyengege (sio SEKENKE) umbali yapata km 55 kutoka Singida mjini.Katika ajali hiyo...
View ArticleHII KALI SANA: EWURA YAFUNGA VITUO VYA MAFUTA SITA
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), juzi imevifungia kufanya biashara ya mafuta ya jamii ya petroli vituo sita katika wilaya za Chunya, Mbozi na Momba, mkoani Mbeya, kutokana na...
View ArticleMAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM, ANGALIA MITAANI KULIVYO
Juu: Mtaa wa gerezani gari limekufa katikati ya maji.Juu Kariakoo eneo la shule ya Uhuru kwenye round about, hali inasikitisha sanaChini: Barabara ya Nyerere eneo la Goldstar halipitiki, msongamano wa...
View ArticleAFARIKI KWA KUJICHOMA VASELINE KWENYE MATITI ILI YAWE MAKUBWA
Mwanamke mmoja raia wa Argentina mwenye umri wa miaka 36, Sonia Perez Llanzon (PICHANI), amefariki dunia hivi karibuni baada ya kujiingizia kwa kutumia bomba la sindano Vaseline kwenye matiti yake ili...
View Article