Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ABARIKI MAPENZI YA NEY WA MITEGO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Naseeb Abdul 'Diamond' amebariki mahusiano ya msanii mwenzie Ney wa Mitego  ambayo yeye mwenyewe bado hajataka kuyaweka wazi.Diamond ameonekana kuvutiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHOO YA JAYDEE YAUNDIWA ZENGWE

KUNATETESI kuwa mwanamuziki nguli wa miondoko ya bongo fleva Judith Wambura 'Lady Jay Dee' a.k.a Anaconda kuundiwa zengwe ili kukwamishwa shoo yake  ambayo inatarajia kufanyika Mei 31 mwaka huu.Tetesi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABANA PUA NA WATOBOA PUA KUKUTANA TENA LEO MAISHA CLUB

 Wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Ney wa Mitego pamoja na Diamond platinum leo watakutana tena jukwaani  Club Maisha ambapo wataimba kibao chao kinachotamba kwa kipindi hiki kinachojulikana kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAYDEE KUPANDA KIZIMBANI LEO

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Judith Wambura 'Jaydee' a.k.a Anaconda,  leo kupanda kizimbani katika Mahakama ya Kinondoni kusikiliza kesi inayomkabili

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAY DEE ALIPOWASILI MAHAKAMANI LEO ASUBUHI

 Mwanamuziki wa kizazi kipya Judith Wambura 'Jay Dee' akiwa na mumewe Gadner Habash wakisuburi kesi kutajwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kindondoni leo asubuhi saa 3, angalia picha zaidi 

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGWEA AFARIKI DUNIA

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Albert Mangwea 'Ngwair' amefariki dunia leo akiwa  Afrika ya Kusini ambapo alikwenda kufanya shoo maalum nchini humoTaalifa  zilizopatikana jana  zinaeleza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIFO CHA NGWAIR CHAMSABABISHA KUAHIRISHA SHOO

Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini akiwemo Mwana Fa, Izzo  Business, pamoja na Kara Pina wamehairisha shoo zao ambazo zilikuwa zinatarajia kufanyika Mei 31 mwaka huu kwa sababu ya kifo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAYDEE ATOA TAMKO LA KUTOFANYA SHOO ILI KUPISHA TARATIBU ZA MAZISHI YA NGWEA

Msanii mwa muziki wa kizazi kipya Judith Wambura 'Lady Jayde' amesitisha shoo yake ya uzinduzi wa albamu yake ya 'Nothing but Trust' iliyokuwa inatarajia kuzinduliwa mwisho mwa wiki hii jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGWAIR KUZIKWA MOROGORO

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Albert Mangwea 'Ngwair' kuzikwa mkoani Morogoro alipozikwa baba yake mzazi kwa mujiwa wa taarifa alizotoa kaka yake marehemu Ngwair

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA BARAZA LA HABARI NA JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA

Waziri wa Sheria na Katiba, Mh. Mathias Chikawe (katikati) katika ufunguzi wa mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la Habari Tanzania na Jukwaa la Wahariri Tanzania wenye kauli mbiu ya mwelekeo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHANZO CHA KIFO CHA MSANII NGWAIR BADO HAKIJAFAHAMIKA

Habari zilizotufika hivi punde zinadaiwa hadi sasa chanzo cha kifo cha msanii Albert Mangwea bado hakijafahamika, mpaka siku tano mwili wake utakapofanyiwa uchunguzi ndipo taarifa rasmi zitatolewa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU ZASABABISHA BUNGE KUHAIRISHWA

Kufuatia hotuba ya Wenje bungeni kutuhumu chama cha CUF kuwa ni chama cha kishoga, mbunge wa CUF amesimama na kuwaita chadema ni wehu, wahuni, wazushi, mashoga na kwamba wamekidharirisha chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA NGWAIR KUWASILI JUMAMOSI

Mwili wa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Albert Mangwea 'Ngwair' kuwasili Jumamosi nchini Tanzania kutoka Afrika Kusini ambapo siku ya Jumapili utaagwa jijini Dar es Salaam na kwenda kuzikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA TANZANIA NCHINI ETHIOPIA AWAPA CHANGAMOTO STARS

Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Joram Biswaro amewataka wachezaji wa Taifa Stars kuhakikisha wanaipeleka timu hiyo kwenye fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Brazil.Ametoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YAWAPA YANGA MIL.2.5/- KWA KUTWAA UBINGWA

WADHAMINI Wakuu wa timu ya Yanga Bia ya Kilimanjaro, jana wameikabidhi timu hiyo hundi ya sh.milioni 25 kama zawadi kwa timu hiyo kutwaa ubingwa msimu wa 2013/2014.Akikabidhi hundi hiyo, Meneja wa bia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA NGWAIR KUANZA KUFANYIWA UCHUNGUZI LEO

MWILI wa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Albert Mangwea 'Ngwair' umeanza kufanyiwa uchunguzi leo katika hospitali ya serikali ya Hillbrow iliyopo nchini Afrika Kusini ili kubaini chanzo cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

M TO THE P AFYA YAKE YAIMARIKA, ATOKA ICU

Kwa kupitia taarifa ya  Millardayo ambaye yupo nchini Afrika Kusini alidai kuwa msanii Mganza Pembe 'M To The P' amepata nafuu na teyari ameshatoka katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGWAIR AZIMA NDOTO ZA TID

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Khalid Mohamed 'Tid', amesikitishwa na taarifa ya kifo cha msanii mwenzake Albert Mangwea 'Ngwair' kwa kuwa walikuwa na mpango wakufanya mambo mengi hususani katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA NGWAIR KUWASILI KESHO NCHINI

MAMIA ya watanzania wanatarajia kuupokea mwili wa msanii wa muziki wa bongo fleva nchini Albert Mangwea 'Ngwair' kesho katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere ukitokea Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI KILICHOTOKEA KATI YA PFUNK NA ADAM MCHOMVU

Jana jioni kuna habari za uzushi 'uongo' zilizokuwa zinasambazwa zikisema kuwa mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva Pfunk Majani amepigana na mtangazaji wa Clouds Media Group Adam Mchomvu maeneo ya...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live