MWILI WA NGWAIR KUWASILI KESHO, WATANZANIA WAISHIO AFRIKA KUSINI KUMUAGA LEO
Mwili wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Albert Mangwea 'Ngwair unatarajia kuwasili kesho mchana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ukitokea Afrika KusiniMwili huo ambao ulitakiwa...
View ArticleBALOZI WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI ATEMBELEA NYUMBANI KWA WAFIWA
Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Radhia Msuya atembelea nyumbani kwa wafiwa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini...
View ArticleKIBANDA KUWASILI LEO
Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd na mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda natarajiwa kuwasili leo mchana saa 7 kamili.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI NCHINI
Mkazi wa Dar es Salaam, Kawe eneo la bondeni karibu na daraja akifanya biashara ya kuuza chenji ambapo chenji ya shilingi elfu moja unalipa shilingi 100. Mkazi huyo sio tu anajukumu la biashara yake...
View ArticleBAADHI YA PICHA ZA WASANII WALIOFIKA KUPOKEA MWILI WA MANGWEA
ANGALIA PICHA ZAIDI NDANI ...
View ArticleKIBANDA AWASILI NCHINI
Kibanda baada ya kutua na kupokelewa na kundi kubwa la waandishi na wahariri wa vyombo mbalimbali akiongea na vyombo mbali mbali. Kibanda alishindwa kujizuia na kutokwa na machozi.
View ArticleSAMSUNG YAIBWAGA iPHONE MAHAKAMANI
Kamisheni ya kimataifa ya biashara ya Marekani (ITC) jana ilitupilia mbali malalamiko ya kampuni maarufu ya Silicon Valley (Apple) kwamba iliingiliwa na wamiliki wa Samsung katika hatimiliki ya uwezo...
View ArticleBAADHI YA WASANII NA WANASIASA WALIOHUDHURIA KUWAGA MWILI WA NGWAIR DAR ES...
Diamond akitoa heshima za mwisho Baadhi ya wasanii wakitoa heshima za mwisho Mbunge wa Singida mjini akitoa heshima za mwisho Mbunge wa Kinondoni akitoa heshima za mwisho Diamond akifwatiria kwa...
View ArticleLIVE : KUTOKA MOROGORO KWENYE MAZIKO YA NGWEA
MSANII DULLY SYKES ASUSA MAZISHIMWILI UMEONDOLEWA KUPELEKWA MAKABURINIATAZIKWA PEMBENI YA KABURI LA BABA YAKE Kaburi la Albert Mangwea likifanyiwa maandalizi, wakati mwili ukiwa njiani kuletwa...
View ArticleLIVE: MAZISHI YA ALBERT MANGWEA
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele akimsikiliza producer Pfunk, katika eneo la Kihonda mahali atakapozikwa Albert Mangwea. Msanii ambaye ni rafiki yake wa karibu Marehemu Ngwea, M to P...
View ArticleLIVE MAKABURINI: PICHA ZA WASANII KWENYE MAZISHI YA NGWEA, KIHONDA
Juma Nature akiwa na wasanii wengine wanasubiri jeneza liwasili katika makaburi Kihonda, Morogoro, chini ni Stara Thomas akiwa ni mmoja wa wasanii waliofiki Kihonda
View ArticleLIVE MAKABURINI: LADY JAY DEE ATUMA TWEET KUFUATIA WINGI WA WATU
Umati mkubwa wa watu ukisubiri kushusa jeneza la Marehemu Albert Mangwea, katika eneo la Kihonda Morogoro, dakika chache kabla ya mazishi kukamilika Juu ni tweet ya msanii Lady JayDee akitoa ushuhuda...
View ArticleHAPA AMELAZWA ALBERT K. MANGWEHA - RIP
Marehemu Ngwea ameshazikwa tayari, mashada ndio yanawekwa sasa
View ArticleBREAKING NEWS: KHADIJA KOPA AFIWA NA MUMEWE
Mkuu wa mkoa Rukwa Eng. Stalla Manyanya kushoto akimfariji msanii na taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija omar Kopa alipokua kwenye chumba maalum cha kupumzikia wageni kwenye uwanja wa ndege wa...
View ArticleBREAKING NEWS: NDOA YA RAIS WA URUSI YAVUNJIKA HADHARNI
Rais wa Urusi Vladimir Putin na mkewe LyudmilaRais wa Urusi Vladimir Putin na mkewe Lyudmila waachana rasmi na mwisho wa ndoa yao kuwa wazi rasmi.Wawili hao, wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka 30,...
View ArticleSAFARI YA MWISHO YA NGWAIR
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mez B ambaye ni mmoja wa rafiki wa karibu na msanii Albert Mangwea 'Ngwair' aliyebeba picha ya msanii huyo wakiingiza mwili wa marehemu katika kiwanja cha Jamuhuri...
View ArticleKIBANDA AKUTANA NA WAHARIRI
Mhariri Mtendaji wa Majira, Imma Mbuguni(kulia) akimpa pole Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Limited, Absalom Kibanda aliyekuwa Afrika Kusini kwa matibabu baada ya kupigwa na kuumizwa na watu...
View ArticleBAADHI YA MASUPASTAA WALIOHUDHURIA UTOAJI WA TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS...
Chazy Baba akiwa na mkewake mtarajiwa jana kwenye usiku wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards zilizofanyika Mlimani City Dar es Salaam Mwana FA akifwatiria utoaji wa tuzo za Kilimanjaro music...
View Article