Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WAUZA DAWA ZA KULEVYA NCHINI AKAMATWA

Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya nchini kimemkamata muuza dawa za kulevya nchini aliyekuwa anatafutwa muda mrefu. Ally Khatibu Haji (44) maarufu kwa jina la Shikuba, alikamatwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI LUPITA NYONG'0 TENA, AZOA OSCARS NYINGINE TENA

Lupita Nyon'go azoa Oscar live leoKama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA LUPITA NYONG'O, APONGEZWA NA RAIS KENYATTA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHRIS BROWN KUTAKA KUMBWAGA DEMU WAKE, KISA RIHANNA

Chris Brown ameripotiwa kumbwaga mpenzi wake Karrauche huku akidaiwa kutaka kurudiana na mpenzi wake wa zamani, msanii maarufu Rihanna. Ripoti zinasema kuwa hii ilitokana na wivu ambao Chris ameshindwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA UTUPU ZA MSICHANA WA CHRISTIANO RONALDO NA R.KELLY

Girlfriend wa Christiano Ronaldo, Irina Shayk akiwa katika pozi la uchi na msanii maarufu wa muziki wa R&B R. Kelly katika gazeti la V.Magazine. watu wengi wanajiuliza maswali kuhusiana na hali hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKONGWE WA SOKA, KANU AFANYIWA UPASUAJI WA MOYO

Mcheza soka na super star wa Nigeria ambaye pia ni mwanzilishi wa KANU HEART FOUNDATION (KHF), Nwankwo Kanu, ambay pia ni Balozi wa Hisani wa UNICEF, amefanyiwa upasuaji wa moyo nchini Marekani katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA OSCAR PESTORIUS IMEANZA LEO

Kesi dhidi ya bingwa wa mashindano ya Olimpiki kwa wanariadha walemavu kutoka Afrika Kusini, Oscar Pestorius, inaanza leo. Anatuhumiwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwezi FebruarI mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASHIONISTAS; HIKI NI KIATU AU SILAHA, USIGOMBANE NAE HUYU

Kina dada mnaopenda fashion, hapo mnasemaje? tupia comment chini hapo

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME SHOGA AUAWA KWA KUCHOMWA MOTO UGANDA

Ni muda mfupi tu toka Uganda ipitishe sharia ya kupinga ushoga, imeripotiwa mtu mmoja aliyetuhumiwa kuwa shoga alichomwa moto mpaka kufa nchini humo. CNN imeripoti tukio hilo ambalo jina la mtu (KULIA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA APITISHWA CCM KUWANIA UENYEKITI BUNGE LA KATIBA

Kamati ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imempitisha aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano na sasa Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kugombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 04/03/2014, CCM YAMPITISHA SITTA UENYEKITI BUNGE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS "ATUKANA" KWENYE MISA TAKATIFU

Wakati anaendesha misa takatifu mjini Vatican, Papa Fancis kwa bahati mbaya alijikuta akitukana na kutumia neno ‘F***’ (likimaanisha Kuto**ba) kwa lugha ua kiitaliano na haraka kurekebisha usemi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRAND NEW RELEASE : BDT IS THE NEXT BIG THING

Kundi jipya la muziki wa kizazi kipya linaliloundwa na vijana wenye vipaji tofauti. BDT ikiwakilisha majina yao yaani BSkills, Dunga and Trust wametoa single yao ya kwanza kama kikundi ijulikanayo kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO: CHATU AMMEZA MAMBA MZIMA MZIMA, ANGALIA HII

Chatu alipommeza mamba mzima mzima katika aiwa Moondarra karibu na Mlima Isa juzi 2,machi, 2014 huko Queensland, Australia. Mpiga picha anadai kuwa walisumbuana sana (nyoka huyo na mamba) lakini joke...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 05/04/2014, RIDHWANI KUGOMBEA UBUNGE CHALINZE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASHIONISTAS: NYOKA WANAVYOGEUZWA KUWA MIKOBA ILI UPENDEZE

Je unatumia bidhaa kama mikanda, mabegi, viatu na wakati mwingine nguo zinazotumia ngozi ya nyoka, leo nakuletea picha hapa uone jinsi nyoka wanavyouawa na kuchunwa ngozi ili wewe upendeze.Kuna njia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABIGI: LIVE 50CENT ADAI DIDDY NI SHOGA, AWEKA MAMBO HADHARANI

50Cent alianzisha bifu na Diddy alipojaribu kuingia mkataba na msanii Mase na Diddy akakataa akidai kuwa Mase bado ana mkataba naye. Mase ambaye alitaka kuachana na mkataba wake ili kuwa mchungaji,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TECHNOLOGY: NDEGE HAINA MADIRISHA, INA MWENDO MKALI KULIKO SAUTI

Hii ndege inakwenda spidi kuliko sauti, inamvuto wa kipee ndani, in a screen kubwa ya tv  na inatarajiwa kuwa tayari mwaka 2020. angalia picha zaidi ANGALIA ZAIDI...

View Article

ASHAMBULIA POLISI KWA MAPANGA, WANANCHI WAMKATAKATA NA KUMUUA

Butiama.Mtu mmoja ameuawa na wananchi kwa kukatwa katwa na mapanga baada ya kuwavamia askari polisi katika kituo cha polisi cha Butiama mkoani Mara.Kaimu Kamanda wa polisi mkoani Mara Paulo Kasabago...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHAMBULIWA NA KIBOKO NA KUUAWA

BUNDA.Mwanaume mmoja, Mukoba Juma mkazi wa Kijiji cha Guta B wilayani Bunda mkoani Mara ameshambuliwa na kuuawa na Kiboko katika ufukwe wa Ziwa Victoria wakati akifanya shughuli za uvuvi.Mwenyekiti wa...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live