Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAADHARI: KUTAKUWA NA MVUA KUBWA SANA KUANZIA LEO

View Article


MAHAKAMANI KWA KUMBAKA MWANAMKE MWENYE ULEMAVU

Tunduru,Kijana wa miaka 18 mkqazi wa Kijiji cha nakapanya Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma Abdalah Yusuph amefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi wa Mahakama ya Wilaya hiyo kujibu tuhuma za kumbaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FACEBOOK KUJIIMARISHA KWA NDEGE ZISIZOKUWA NA RUBANI

Mmiliki wa facebook, mtandao wa kijamii mkubwa kuliko yote duniani, Mark Zuckerberg akiwa katika mkakati wa kutimiza lengo lake la kuunganisha dunia, sasa anadaiwa kufikiria kutumia ndege zisizokuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI 06/03/2014; MICHEZO NI YANGA KUPAMBANA NA AL AHLY

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO: SHAQ NA MTOTO WAKE…OOPS MKE WAKE; ONA WANAVUTIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKUBWA: MCHUNGAJI ATAKA WAUMINI WAJE KANISANI BILA NGUO ZA NDANI

Mchungaji Njohi wa Kenya sio tu amewashangaza watu lakini pia ameacha maswali mengi kuhusu imani za watu na kuhusu mwelekeo mzima wa imani na dini kwa ujumla.Kwa mujibu wa mtandao wa Daily Post la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKISTAAJABU YA MUSA: MAHAKAMA "KUCHUNGULIA NGUO ZA NDANI SIO KOSA"

Mahakama moja imeatoa uamuzi kuwa kupiga picha watu za nguo za ndani kwa kupiga chabo (utaratibu unaojulikana kama “upskirting”) bila ridhaa ya mhusika sio kosa kisheria wakati akijibu suali muendesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WHO - PUNGUZENI SUKARI, INA MADHARA MAKUBWA KIAFYA

Shirika la Afya Duniani WHO limepunguza kwa nusu kiwango cha sukari kilichopendekezwa kwa matumizi ya binadamu ili kuepusha matatizo ya kiafya kama vile kunenepa kupita kiasi na meno kuoza.Mswada mpya...

View Article


KENYA NAO WAANZA KULILIA SHERIA KALI DHIDI YA USHOGA

Mbunge Irungu Kang’ata anaongoza juhudi za kundi lililoundwa majuzi la kupinga wapenzi wa jinsia moja nchini Kenya. Sheria zilizopo zasema ni hatia kwa watu kujiingiza katika tabia za ushoga na adhabu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATARI: ACHINJA MTOTO, AJISALIMISHA POLISI, MTOTO APONEA KIFO

ShinyangaMtoto mwenye umri wa miaka 12 anayesoma darasa la tatu katika shule ya msingi Majengo wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, Said Joshua amenusurika kifo baada ya baba yake mzazi kujaribu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU JAMAA NDIO PHOTOCOPY YA RAIS OBAMA, ONA WANAVYOFANANA

Ilham Anas mwenye umri wa miaka 40 raia wa Indonesian, ambaye pia ni mpigapicha kwakweli haipingiki, anafanan na Rais wa Marekani, Barack Obama kama anavyoonekana pichani Kulia.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIJANA AJITOKEZA NA KUDAI KUWA MTOTO WA MICHAEL JACKSON, ANGALIA VIDEO YAKE

 Brandon Howard(PICHANI KULIA), mwenye umri wa miaka 31, mtoto wa mwanamuziki wa miondoko ya R&B Miki Howard, amedai kuwa mtoto wa mwanamuziki mkongwe na mfalme wa pop Michael Jackson na kwamba ana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 07/03/2014, VURUGU ZATAWALA BUNGENI, NGUMI ZARUSHWA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARRAUCHE ADHIBITISHA KUACHANA NA CHRIS BROWN

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA Vs AL AHLY KUCHEZA JUMAPILI UWANJA UWANJA USIO NA MASHABIKI

Wachezaji wa timu ya Yanga, Hamisi Kiiza(kushoto) na Emanuel Okwi wakisubiri kona ambao ilisababisha goli pekee la Yanga katika mechi iliyochezwa dhidi ya Al ahly ya Misri katika uwanja wa taifa jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ANYIMWA URITHI KISA ANAISHI NA VVU

ArushaVitendo vya kuwanyanyapaa na kutowathamini waathirika wa ugonjwa wa ukimwi miongoni mwa jamii na wanandugu bado ni tatizo kubwa hapanchini,ambapo mwanamke mmoja mkazi wa Kimandolu jijini hapa,bi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

URUSI YASUSIWA MICHEZO YA OLYMPIC YA WALEMAVU

Wanasiasa na watu maarufu duniani wamesema hawatahudhuria mashindano ya Olympic ya walemavu 'Paralympic' ya majira ya baridi nchini Urisi yaliyopangwa kufanyika katika mji wa Sochi kutokana na hatua ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVID BECKHAM KUUZA MAGARI CHINA, GARI YENYEWE HII HAPA

Jaguar inazindua kampeni yake katika soko la China ili kuuza model yake mpya, ili kufanikiwa imeamua kushirkiana na David Beckham .

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI 10/03/2014, TAARIFA MBALIMBALI NJE NA NDANI YA TZ

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA IMEKUFA KISHUJAA ALEXANDRIA DHIDI AL AHLY

Timu ya Yanga African imetolewa katika mashindano ya ligi ya mabingwa Afrika kwa mikwaju ya penaltI katika mechi baina yake na Al ahly ya Misri ikiwa ni mechi ya marudiano iliyochezwa jijini...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live