Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO YA WIKI KATIKA PICHA, ANGALIA HAPA UJIONEE

 Mashindano ya Olympic msimu wa baridi yamefungwa rasmi jana, huko Urusi, ambapo Urusi ndio imeongoza kwa kuzoa medali nyingi. Hapa mshiriki kutoka Marekani nguo yake ikiwa imechanika wakati wanaanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AVUA NGUO YAKE YA NDANI NA KUFANYA VITUKO HADHARANI

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, watu walipigwa na butwaa katika msiba wa muendesha magari maarufu nchini Afrka Kusini, Bongani Makhubo (40).Katika msiba huo waendesha magari waliamua kupiga misele,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO 25/02/2014, POSHO BADO ZINAKULA VICHWA VYA WATU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE JIBABA LINAPOKULA BAKORA KWA UZINZI

Kijana mmoja wa kiislamu, Mallam Sanusi (pichani) alicharazwa bakora 24 kwa madai ya kulala na mwanamke ambaye hajaolewa. Kijana huyo alidaiwa kuzini jambo ambalo ni kosa katika jamii na linaadhibiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH: ANGALIA MWANAFUNZI AKIFANYA MTIHANI NA NDUMBA

Piga picha we ndo msimamizi wa mtihani, unafanyaje hapo..? Mwanafunzi akiwa katika mtihani, safari hii na nyezo tofauti, kama anavyoonekana akiwa ameshikilia pembe yenye kitambaa chekundu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YAMEANZA: MAREKANI YAANZA KUITAFAKARI UGANDA

Marekani haikufurahishwa na hatua ya Uganda kuidhinisha sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.Waziri wa mashauri ya Kigeni wa Marekani, John Kerry amesema tangu Uganda iidhinishe mswada huo miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 26/02/2014, DAKTARI FEKI ANASWA MUHIMBILI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UHALIFU WA KUTEKWA WATOTO NA KUUAWA JIJINI DSM, WAZAZI, WALEZI KUWENI MAKINI

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuhusu ujumbe unaozunguka kwenye mitandao pamoja na ile ya kijamii, ikiwa ni pamoja na simu za mikononi kuhusu utekaji watoto jijini Dar es Salaam.Ujumbe huo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

22 WAITWA TAIFA STARS KUIKABILI NAMIBIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA dhidi ya Namibia (Brave Warriors)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU DADA ANAJIVUNIA NDEVU, ANA NYINGI KULIKO WANAUME

Siku hizi suala la kina mama kuwa na ndevu ni jambo la kawaida, lakini hii inashangaza kuona mwanamke ana ndevu nyingi kuliko mwanaume.  Harnaam Kaur ni msichana wa miaka 23, mwalimu nchini Uingereza,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIANDAE KUSOMA BOZEN MAGAZINE UPATE MAMBO MBALIMBALI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA KWANZA YA ROSE NDAUKA AKIWA NA MTOTO WAKE SIKU 9 BAADA YA KUZALIWA

Msanii maarufu nchini wa filamu, Rose Ndauka akimbusu mtoto wake aliyepewa jina la Naveen alipokuwa na umri wa siku 9 baada ya kuzaliwa. Hivi karibuni Familia ya Malik ambaye ni baba wa Naveen...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 27/02/2014, MCHANGANYIKO WA TAARIFA MBALIMBALI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA: ORODHA YA MASHOGA 200 YAWEKWA ADHARANI

Siku chache tu baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museven kusaini ili kuidhinisha sharia mpya ya kupinga ushoga na shughuli zinazohusiana na ushoga, gazeti moja nchini humo limechapisha orodha ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 28/02/2014, BUNGE LA KATIBA LAWAKA MOTO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 01/03/2014, KITAWAKA LEO YANGA NA EL AHLY U/TAIFA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JINSI YANGA WALIVYOWAADHIBU WAARABU JANA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGHAZETI LEO, YANGA YATAWALA YAISHINDA AL-AHLY 1 - 0

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 03/03/2014, VITA YA KALENGA YATAWALA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA RAIS MUSEVEN "AJITANGAZA" KUWA SHOGA

Katika vita isiyokuwa ya kawaida, mtoto wa Rais Yoweri Kaguta Musseveni, amekubali katika mahojiano na redio huko Mbarara, magaribi ya Uganda uwa anajihusisha na ushoga, na kwamba anatangaza hivyo ili...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live