Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA KIGOLI 2013 YAFIKIA PAZURI

Washiriki wa kigoli 2013 kutoka Dar es Salaam

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAREMBO REDD'S MISS KILIMANJARO WAINGIA KAMBINI

JUMLA ya warembo 12 wa Redd's Miss Kilimanjaro wameingia kambini kwa ajili ya kujianda na kinyang'anyiro hicho kinachotarajiwa kufanyika Juni 15, mwaka huu.Warembo hao wameweka kambi katika hoteli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS WATUA DAR, KOCHA ALIA NA MWAMUZI

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars, imerejea nchini jana asubuhi ikitokea Marrakesh, Morocco walikoenda kucheza mchezo wao wa Kundi C kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA JEREMIAH KUMUENZI NGWAIR KWA TUZO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Kala Jeremiah ameamua kumuenzi aliyekuwa msanii wa hip hop, Albert Mangwea 'Ngwair' aliyefariki Mei 28 mwaka huu nchini Afrika Kusini kwa kutoa tuzo yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUSTIN BIEBER AWEKA BRA KWENYE INSTAGRAM!

ATIMULIWA KLABU BILA KUTEGEMEA  Justin Bieber(JB) kwa uhakika si mtoto tena, sasa hivi ana mashabiki mpaka wengine wanamtupia brazia (JUU PICHANI) jukwaani. JB mwenye miaka 19 aliweka picha ya kivazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA UTALII NCHINI CHAPATA KAMANDA MPYA

 Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Dkt. Aloyce Nzuki, akimkaribisha Kamanda wa Kikosi kipya cha Utalii cha Jeshi la Polisi, Kamishina Msaidizi (ACP), Maria Nzuki (kushoto). wakati wa mkutano...

View Article

WAMAREKANI WATOFAUTIANA NDOA ZA JINSIA MOJA

UTAFITI umebainisha kuwa Wamarekani wengi wameridhia ndoa za jinsia moja, ingawa baadhi yao wamekuwa wakizipinga kwa nguvu zote.Kwa mujibu wa utafiti ambao ulifanywa na Taasisi ya Pew Research Center...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LK 4 WA UGANDA ANG'OLEWA BIG BROTHER THE CHASE

SAFARI ya washiriki kutoka nchini Uganda imefikia mwisho katika mashindano la Big Brother The Chase, baada ya mshiriki LK4 kuyaaga mashindano hayo kutokana na kura zake kutotosha kumbakisha katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LWAKATARE APATA DHAMANA

Hatimaye Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Kamanda Wilfred Muganyizi Lwakatare 'Lwaks' leo apata dhamana na kurudi uraiani, baada ya Mahakama ya Kisutu kuamua kuwa dhamana yake iko wazi na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYAKAZI WA NDANI AUAWA KIKATILI

8 WASHIKILIWA KWA UJAMBAZI DARJESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, limemkamata mtunza bustani, Philimon Laizer (27), mkazi wa Mikocheni B, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mfanyakazi mwe n z...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RED CARPERT TUZO ZA KILIMANJARO

 DJ Fetty, mtangazaji wa redio Clouds Linah Sanga, msanii wa muziki wa kizazi kipyaBrigittle Alfred Miss Tanzania 2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MSANII KASH

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA JEREMIAH AANZA SAFARI KUPELEKA TUZO KWA MAMA NGWEA

 Msanii wa kizazi kipya ambaye ndio msanii bora wa muziki wa Hip Hop katika tuzo za Kilimanjaro Music Awards 2013, Kala Jeremiah akiwa na kundi la marafiki zake asubui hii kuelekea Morogoro kukabidhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAYDEE 'ANACONDA' MAHAKAMANI LEO

Msanii wa kizazi kipya, Judith Wambura aka Comando, Binti Machozi, Anaconda anatarajiwa kupanda tena kizimbani leo. Fuatilia katika blog ya immamatukio kujia mwenendo wa kesi yake.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

M to P ATEMBELEA KABURI LA NGWEA

Msanii M2P ambaye ndie aliyekuwa karibu zaidi na marehemu Albert Mangwea nchini Afrika Kusini, akiwa mahali alipozikwa Albert Mangwea Kihonda Morogoro.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA JAYDEE YAAHIRISHWA TENA

 Lady Jaydee akiongozana na mumewe, Gadner Habash leo asubuhi wakiingia katika Mahakama ya KinondoniKesi ya mwanamuziki maarufu nchini, Judith 'Lady JAydee, Comamndo, Anaconda' Wambura, kwa mara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE MORO: KALA JEREMIAH APOKEWA NA AFANDE SELE MOROGORO

 Kala Jeremiah akiwa Morogoro baada ya kuwasili Afande Sele katika pozi na Kala Jeremiah baada ya ujumbe huo kuwasili na kupokewa na mwenyeji wao tayari kuanza safari ya kuelekea kwenye familia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE MORO: KALA JEREMIAH AKABIDHI TUZO KWA MAMA YAKE ALBERT MANGWEA

Kala akimkabidhi mana yake mzazi Marehemu Albert Mangwea, Denesia Costantino Mangwea nyumbani kwake, kulia ni Afande Sele akishuhudia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUZO YAPELEKWA ALIPOLALA MANGWEA

Kala Jeremiah akiweka tuzo aliyopata kwenye tuzo za muziki za Kili Music Awards, kulia ni Afande Sele katika kaburi la Albert MangweaCHINI: Baadi ya ndugu wa familia ya Ngwea wakishuhudia Kala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAJETI YA JAMUHURI YA MUUNGANO INAANZA KUSOMWA NA WAZIRI WA FEDHA RASMI

HALI ILIVYOKUWA MWAKA 2012Watanzania wenye umeme sasa wamefika 21% mwaka 2012 kutoka 18.4% Mwk 2011, Ni 7% tu ya Watanzania wanaoishi vijijini wameunganishwa umemeSwitzerland, China, South Africa,...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live