Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRAND NEW MUSIC: JHIKOMAN - SET ME FREE (OFFCIAL MUSIC VIDEO)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC STAKI APONGEZA JAMII YA KIMASAI KUACHANA NA MILA POTOFU NA KUANZA...

Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Staki Senyamule akisikiliza kwa makini maelezo ya mmoja ya wazee wa kabila la Kimasai kuhusu umuhimu wa elimu katika maeneo hayoMkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Staki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA MGIMWA CUP YAMEZINDULIWA RASMI NA DC WA MUFINDI JUMHURI WILIAMU

Mkuu wa Wilaya ya mufindi Jumhuri Wiliamu akipiga mpira katika eneo la penati kuashiria kuwa mashindano ya mgimwa cup yamezinduliwa rasmiMkuu wa Wilaya mufindi Jumhuri Wiliamu aliyeshika mpira kulia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WANAKUBALI HATUA ZINAZOCHUKULIWA NA SERIKALI MPYA

Hususani kuhusu uondoaji wa wafanyakazi hewa, Sera ya elimu bure na usimamishwaji wa watumishi wa serikali kutokana na makosa mbalimbali.Lakini wananchi hawakubaliani na kuzuiwa uagizwaji wa sukari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI KILIMANJARO LAWATUNUKU ZAWADI ASAKARI WAKE 34

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky Sadiq akipokea salamu za heshima kutoka kwa askari wakati wa gwaride maalum lililoandaliwa wakati wa hafla fupi ya kutunuku zawadi kwa askari 34 wa vyeo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIGULU AFANYA ZIARA MWANZA NA KUAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ASKARI...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba, alipofanya ziara kwenye makazi ya askari ya kigoto yalipopo Kata ya kirumba Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza hii leo.Na George Binagi-GB Pazzo...

View Article

NEW RELEASE: DIAMOND PLATNUMZ Ft. RYAVANNY - SALOME (TRADITIONAL OFFICIAL...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MAJESHI GEN MWAMUNYANGE APOKEA UJUMBE TOKA CHINA

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (Kulia) akipokea zawadi ya nembo ya Jeshi la China kutoka kwa Mkuu wa Tawi la Ugavi wa China, Luteni Jenerali Liu Shengjie alipomtembelea ofisini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MUHEZA APIGA MARUFUKU BODABODA KUENDESHWA ZAIDI YA SAA SITA

Mkuu wa wilaya ya Muheza Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na bodaboda wa wilaya hiyo ambapo alikutana nao na kuzungumza nao kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani humo ambapo alipiga marufuku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE PETTER MSIGWA AKABIDHI MADAWATI 537 YA JIMBO LA IRINGA MJINI

MBUNGE wa Jimbo la Iringa mjini mchungaji Petter Msigwa akikabidhi madawati 537 ambayo ameyatoa kwa ajili ya jimbo la iringa mjini.MBUNGE wa Jimbo la Iringa mjini mchungaji Petter Msigwa akikabidhi...

View Article

BRAND NEW MUSIC VIDEO: MORGAN HERITAGE - SELAH (WACTH HERE)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KILIMANJARO SAIDI MECK SADICK ATEMBELEA KIWANDA CHA TANGAWIZI

 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Saidi Meck Sadick akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wake wa kazi alipozuru wilaya ya SameMkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Saidi Meck Sadick akisalimiana na baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC HANDENI.MH GONDWE AFANIKIWA KUTATUA MGOGORO WA MPAKA WILAYANI HANDENI

Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Gdwin GOndwe akisalimiana na mkazi wa kijiji cha nyasa.Mkuu waa Wilaya ya Handeni,Mh Godwin Gondwe Jana alifanikiwa kusuluhisha mgogoro wa mpaka uliokuwa ukivihusisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA MPWAPWA AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA CHUO CHA MAENDELEO YA...

Na Mathias Canal, DodomaMkuu wa Chuo cha Maendeleo ya wananchi (FDC)-CHISALU amekalia kuti kavu mara baada ya kubainika kuwa ameruhusu udahili wa wanafunzi wanaosoma fani ya utaalamu wa Kilimo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAWAOMBA RADHI WATEJA WA KINONDONI KASIKAZINI

SHIRIKA la Umeme Tanzania ( TANESCO) linapenda kuwataarifu wateja wake wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa leo Jumamosi tarehe 24/09/2016 kumetokea hitilafu katika Kituo kikubwa cha kupooza na kusambaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIRADI 45 KUZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU MKOANI TABORA

Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Mhandisi Methew Mtigumwe akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey D.J Mwanri (Kulia)Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Mhandisi Methew Mtigumwe akisoma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUHIMBILI YAPOKEA MSAADA WA RUNINGA

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kibosho (UVIKI) Bw. Sevelin Mushi wa kwanza kulia akimkabidhi ungo wa king’amuzi cha azam Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano MNH, Aminiel Aligaesha kushoto kwa ajili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUJIAJIRI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Dk Leornad Akwilapo amewataka vijana kutafuta ajira sehemu mbalimbali kwa kutumia fursa zilizopo badala ya kutegemea fursa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI KUTOKA BURUNDI NA RWANDA WAZICHAPA LIVE KATIKA MAISHA PLUS

Katika hali isiyotarajiwa katika kijiji cha Maisha Plus, jana washiriki wawili, KAREKEZI Jean kutoka Rwanda na BASWARI Nibigira kutoka Burundi walipigana hadharani huku wakirekodiwa na camera...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISRAEL EMBASSY-PRESS RELEASE-DEATH OF SHIMON PERES (FORMER PRESIDENT)

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live