Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kibosho (UVIKI) Bw. Sevelin Mushi wa kwanza kulia akimkabidhi ungo wa king’amuzi cha azam Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano MNH, Aminiel Aligaesha kushoto kwa ajili ya wodi ya wazazi wakati wa hafla fupi ya kuchangia damu katika hospitali hiyo leo jijini Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kibosho (UVIKI) Bw. Sevelin Mushi wa kwanza kulia akimkabidhi luninga Afisa Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano MNH, Aminiel Aligaesha kushoto kwa ajili ya wodi ya wazazi wakati wa hafla fupi ya kuchangia damu katika hospitali hiyo leo jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kibosho (UVIKI) Bw. Marceli mushi akichangia damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakati wa hafla fupi ya kuchangia damu katika hospitali hiyo leo jijini Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kibosho (UVIKI) Bw. Sevelin Mushi akichangia damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wakati wa hafla fupi ya kuchangia damu katika hospitali hiyo leo jijini Dar es salaam.