JUMIYA YA WAKUUGENZI WA SERIKALI ZA MITAA UGANDA WAEMBELEA KAMPUNIYA MAXCOM
Mkurugenzi Mkuu wa Maxmalipo Juma Rajabu akifafanua jambo kwa wakurungezi wa serikali za mitaa kutoka Uganda , Kulia ni Mkuu wa Uendeshaji Kanda Group COO – Maxcom Africa Jamson Kassati , Kushoto...
View ArticleUSAFI WASHIKA KASI DAR
Katika kuhakikisha kuwa Jiji la Dar es Salaam linakuwa safi, Manispaa ya Ilala imethubutu kwa kuanza kukata miti ambayo imekuwa ikihatarisha usalama wa wananchi wakiwemo wapita njia na magari, kama...
View ArticleMWAKILISHI WA JIMBO LA TUNGUU ZANZIBAR ATOA MSAADA WA MABATI 24
Mwakilishi wa jimbo la Tunguu Zanzibar, Simai Mohamed Said (kulia) akisalimiana na mzee Ali Nyau Mavangu (70) wa Kibele jimboni humo baada ya kukabidhi msaada wa mabati 24 yenye thamani ya sh.300,000/-...
View ArticleTUME YA MIPANGO YAZINDUA MWONGOZO WA USIMAMIZI NA UTAYARISHAJI WA MIRADI YA...
Na Mwandishi Wetu, DodomaTume ya Mipango imezindua kitabu cha Mwongozo wa Usimamizi na Utayarishaji wa Miradi ya Uwekezaji katika sekta ya Umma (Public Investment Management Operational Manual) kwa...
View ArticleJUKWAA HURU LA WAZALENDO TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU MWENENDO WA BUNGE LA BAJETI
JUKWAA HURU LA WAZALENDO TANZANIA LATOA TAMKO KUHUSU MWENENDO WA BUNGE LA BAJETI, LASIKITIKA WABUNGE WA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI KUTOKA UKUMBINI, LAPONGEZA VIKAO KUTOKUWA LIVE, LAIOMBA SERIKALI...
View ArticleWANANCHI WAMETAKIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA USAFI
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar.WANANCHI wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar, wametakiwa kujenga tabia ya kufanya usafi wa mazingira katika maeneo yao ili kuepuka maradhi ya kipindupindu yanayoathiri maeneo...
View ArticleWAZIRI MUHONGO ATUA DAR AKITOKEA UGANDA KUKAMILISHA DILI LA BOMBA LA MAFUTA
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (kati) akiwasili jijini Dar es salaam jioni hii, akitokea Jijini Kampala alikoenda kukamilisha dili la bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga,...
View ArticlePAPA WEMBA AMEFARIKI, ANGALIA VIDEO ALIVYOANGUKA JUKWAANI
Mwanamuziki maarufu barani Afrika na gwiji la muziki wa rumba ameanguka akiwa jukwaani anaimba na kisha kupoteza maisha.Kwa mujibu wa Mirror Online, Mwanamuziki huyo kutoka Kongo, Papa Wemba alikuwa...
View ArticleCHAMA CHA WAWEKEZAJI BINAFSI KATIKA SEKTA YA ELIMU CHAZINDULIWA
Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji Binafsi katika Sekta ya Elimu Tanzania (TAPIE) ambaye pia ni Mmilikiwa Shule ya Tusiime Bw. Albert Katagira akizungumza wakati wa uzinduzi na mkutano wa kwanza wa...
View ArticleABLAMU MPYA YA BEYONCE 'LEMONADE' YAHUSISHWA NA KUCHEPUKA
Beyonce ametoa albamu mpya ijulikanao kama Lemonade na kuamsha hisia za mashabiki wake zenye madai yanayohusishwa na udanganyifu katika ndoa.Na Mwandishi WetuMitandao bado kidogo izidiwe nguvu na...
View ArticleMWANASIASA WA MIAKA 90 KUOA MWANAMUME NCHINI MAREKANI (BBC)
Wofford alifiwa na mkewe Clare miaka 20 iliyopitaSeneta mmoja wa zamani wa Marekani, ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 90, ametangaza kwamba atamuoa mwanamume wa umri wa miaka 40. Wawili hao watafunga...
View ArticleNA HII NDIO NEMBO MPYA YA OLYMPIC TOKYO 2020
Na Mwandishi Wetu.Waandaaji wa michezo ya Olimpik wamezindua nembo mpya ya michezo hiyo inayotarajiwa kufanyika jijini Tokyo nchini Japan mwaka 2020, mapema leo, wakiangalia rangi nyepesi ya bluu na...
View ArticlePSPF YAVUNA WANACHAMA WILAYA YA TEMEKE
Mtangazaji wa kipindi cha wanawake live kulia Bi. Joyce Kiria kushoto akionyesha kitambilisho chake cha uchangiaji wa hiari kutoka kwa Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari wa mfuko wa PSPF Bi....
View Article