Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEZ B AFUNGUKA JUU YA KUFUNGA NDOA

BAADA ya baadhi ya washabiki wa muziki wa bongo fleva nchi kujiuuliza maswali mengi juu ya baadhi ya wasanii kushindwa kuoa pamoja na kupata watoto, msanii  wa muziki wa kizazi kipya nchini Moses 'Mez...

View Article


VIDEO : RIHANNA AKIWAJIBU MASHABIKI WAKE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIHANNA ASHAMBULIWA NA CHIPS JUKWAANI

Kutokana na kitendo chake cha kuchelewa mara kwa mara kwenye shoo mwanadada Rihanna ajikuta yupo katika wakati mguu baada ya mashabiki kumwagia chipsi.Mashabiki hao walionyesha kuchoshwa na tabia yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA AJIPANGA KUACHIA 'NGOMA' MPYA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Kala Jeremiah awataka mashabiki wake kujiandaa kuipokea ngoma mpya ambayo anatarajia kuiachia hivi karibuni.Akizungumza jijini Dar es Salaam Kala aliweka wazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGEZETI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAGONJWA WATIBIWA NJE MUHIMBILI

Inasemekana hii ndiyo hali ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ilivyo sasa baada ya kupisha zoezi la upulizwaji wa dawa ya kuua wadudu na mazalia yake katika wodi za wagonjwa za kibasila na Mwaisela 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANYE WEST AMSHUKIA PAPARAZI

 Msemo unaosema kuwa Hasira hasara, msemo huo ulitaka kumpeleka pabaya muimbaji Kanye West pale alipokuwa ameamua kumsulubu mpiga picha mmoja .Kanye West anaonekana kuwa na hasira na mapaparazi, hasira...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJANE ATIMULIWA NJE

Hata kabla ya maziko askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), waliouawa Darfur, Sudan hayajafanyika, mchumba wa mmoja wa wapiganaji hao, Amina Juma ameonja chungu nyingine baada ya kutimuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JIJI HILI LIMEFILISIKA

Jaji Rosemarie Aquilina wa jimbo la Ingham, Michigan Marekani ametoa hukumu kwa mujibu wa ibara ya 9 ya kufilisika kwa jiji la Detroit mwishoni mwa wiki iliyopita. SOMA ZAIDI“Nna wasiwasi mkubwa sababu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWINGEREZA MKENYA AWEKA REKODI

Mwendesha baiskeli mzaliwa wa Kenya ingawa raia wa Uingereza Chris Froome, anasema kuwa anatumai ushindi wake wa mashindano ya Tour de France utaweza kuwapa motisha vijana wa kiafrika.Froome alishinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMA YA MASOGANGE KUJULIKANA AGOSTI 13

Hatimaye msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, waliokamatwa Afrika Kusini na dawa za kulevya teyari walishapanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEREHE JIJINI LONDON KUZALIWA MWANA WA MFALME

Tangazo la kuzaliwa kwa mwanamfalme Ujumbe wa heri njema umeendelea kutolewa kutoka kote duniani baada ya Kate na Prince William ambaye atakuwa wa tatu kwenye foleni katika kurithi ufalme wa...

View Article


MSICHANA AIBA KADI YA BENKI KULIPIA GESTI.

msichana mwenye umri wa miaka 24 amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kuiba kadi ya benki ya mama yake na kutoa fedha alizotumia kulipia hoteli aliyolala na mtoto wa miaka 14.Msichana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEY AUMIZWA NA HALI DUNI KWA WANAWAKE

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Ney wa Mitego amejikuta akitokwa na machozi, baada ya kukutana na mwanamke akiwa amewabeba watoto wawili wadogo huku akiendesha baiskeli mkoani Morogoro wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ANUSURIKA KIMAAJABU

Asakari wa Zimamoto wakimsaidia dereva wa gari dogo lililopata ajali Kusini mwa China, baada ya kugonga roli kwa nyuma. Kushoto ni abiria aliyekuwa katika gari hilo kichwa chake kikiwa kimechomoza nje...

View Article

SONG : ZAHARA DESTINE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA SILAHA CHAKAMATWA DAR

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam  limefanikiwa kumkamata  Charles Masunzu (30) mmliki wa kiwanda cha kutengeneza silaha mbalimbali za kienyeji kwaajili ya uhalifu.Akizungumza na waandishi...

View Article

WANUSURIKA KUMEZWA NA NYANGUMI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKI YA RONALDO YAVUNJA MKONO MTOTO

 Mtoto wa miaka 11 ambaye ni shabiki wa soka amevunjika mkono wa kushoto baada ya kupigwa na mpira wa shuti kali alilopiga mchezaji maarufu duniani Cristiano Ronaldo.Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live