Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISRI IMEREJEA TENA KWENYE VURUGU

Mamia ya wafuasi wa kiongozi aliyepinduliwa Misri Mohamed Morsi wamepambana na vikosi vya usalama katikati mwa mji wa Cairo na kuwafyatulia waandamanaji hao gesi ya kutoa machozi.Mapigano hayo yanajiri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SADC YAPELEKA WAANGALIZI 442 KWENYE UCHAGUZI ZIMBABWE

Kwa mujibu wa taarifa tulizozipata moja kwa moja kutoka kwenye Twitter (Pichani) ya Waziri wa Mambo ya Nje Bernad Membe, ni kwamba SADC imepeleka waangalizi 442wa uchaguzi utakaofanyiak nchini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADERA WANACHANGIA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Imeelezwa kuwa uchukuzi wa bidhaa kutumia malori kunachangia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi nchini.Kauli hiyo imetolewa na katibu wa taasisi isiyo ya kiserikali ya kupambana na matumizi...

View Article

ANYIMWA DHAMANA KWA KUMBAKA MKEWE

Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Entebbe nchini Uganda imemnyima dhamana Charles Atayo(33) anayetuhumiwa kumbaka mke wake.Atayo mkazi wa kijiji cha Nakigalala kilichoko mkoa wa Sisa, wilaya ya Wakiso...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUDA WA CHRIS BROWN WATENGULIWA

Hakimu aliyekuwa akishikilia kesi ya mwanamuziki Chris Brown ametengua kesi ya msanii huyo ambaye alikuwa chini ya uangalizi.Hakimu huyo ametengua kipindi cha uangalizi alichopewa mwaka 2009, Chris...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA YARUHUSU UCHIMBAJI WA MADINI YA NIOUBIUM

Serikali ya Kenya imepeana idhini ya kuanza kwa uchimbaji wa madini ya niobium katika eneo Kwale.Kampuni ambayo itaendesha uchimbaji wa madini hayo ya Cortec Mining Kenya imetangaza kuwa mamlaka ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ROONEY ASHIKWA NA HASIRA , ACHANGANYIKIWA'

Wayne Rooney kashikwa na hasira huku akiwa amechanganyikiwa kuhusu nafasi yake katika timu yake ya muda mrefu, Manchester United, baada ya Meneja David Moyes kusema mshambuliaji huyo sio chaguo lake la...

View Article


VIDEO :MAJANI YA CHAI WAGOMA LEO ASUBUHI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: OPRAH YUKO TANZANIA

Mmoja kati ya watu mashuhuri duniani haswa katika ulimwengu wa vipindi maalumu vya mahojiano vya televisheni, Opra Winfrey yuko ziarani katika Mbuga ya Taifa ya Serengeti katika ziara yake binafsi. kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUHUMA DAWA ZA KULEVYA:

BAADA ya kukamatwa na dawa za kulevya nchini Afrika Kusini, msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva, Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, ukweli umeibainika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI TUSHIRIKIANE KATIKA KUZUIA UJANGILI

Wizara ya Maliasili na Utalii inawajulisha wananchi kuwa ingawaje kumekuwa na taarifa za kuongezeka kwa ujangili nchini na hasa mauaji ya kinyama ya tembo na usafirishaji haramu wa wanyama hai na meno...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSWADA WA NDOA KUWANUFAISHA WANAWAKE

Mswaada unaolenga kuoanisha sheria za ndoa nchini Kenya umewasilishwa bungeni.Baadhi ya mabadiliko yaliopendekezwa katika mswada huo ni pamoja na kuhalalisha ndoa za wake wengi mbali na kuziimarisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GILLIE KUIGIZA FILAMU YA TUPAC

Mfalme wa Philly maarufu kama Gillie Da Kid anatarajiwa akishirikiana na wakongwe wa filamu Ving Rhames na Steven Seagal katika filamu itakayoitwa “Force of Execution,” huku akiendelea kupigia debe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SISTA ASHAMBULIWA, ABAKWA WIKI NZIMA

Sista aliye mafunzoni ametekwa na kubakwa kwa wiki nzima na kundi la wanaume watatu katika kile kinachohisiwa kuwa ni shambulio la kulipiza kisasi, vyombo vya habari nchini India vimeripoti.Sista huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANDELA ATIMIZA MIAKA 95 LEO

 LEO ni kumbukumbu ya kuzaliwa Mzee Nelson Rolihlahla Mandela, ambapo anatimiza miaka 95 toka azaliwe, sherehe ya kuzaliwa kwa rais huyo zinafanyika leo hafla itakayoambatana na shughuli za kusaidia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHAHIDI 3 WAONDOLEWA KESI YA UHURU KENYATTA

Taarifa zilizotufikia hivi punde zimesema kuwa Fatou Bensouda ambaye ni kiongozi wa mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya ICC, amewaondoa mashahidi watatu katika kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO

View Article

KONDOMU DILI UGANDA

Nchi ya Uganda inakabiliwa na ukata wa kondomu, hali inayoleta utata juu ya ongezeko la kasi la maambukizi ya virusi vya Ukimwi.Kwa mujibu wa mganga mkuu wa wilaya ya Masaka Dk. Stuart Musisi, aliweka...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live