Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RWANDA YASAIDIA WAASI M23

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeikosoa serikali ya Rwanda na kusema kuwa,  serikali ya Kigali imekuwa ikiwaunga mkono waasi wa M23 wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI MBAYA MISRI

Muslim Brortherhood kinalaumu maafisa wa usalama kwa utovu wa usalama Watu waliokuwa wamejihami nchini Misri wamewaua kwa kuwapiga risasi wafuasi wawili wa rais aliyeondolewa mamlakani Mohamed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 1,500 WAATHIRIKA NA MSHTUKO WA MOYO

Zaidi ya watu 1,500 waathirika na mshtuko wa moyo ulio sababishwa na kushindwa kula kitu chochote asubuhi (kiamsha kinywa) , kulingana na utafiti uliofanywa nchini Marekani.Utafiti wao uliowahusisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALI YA MMILIKI WA HOME SHOPING CENTER

Mfanyabiashara Mmiliki wa Home Shopping Center (HSC), Said Mohamed Saad (Pichani), aliyemwagiwa tindikali wiki iliyopita katika shopping mall mpya ijulikanayo kama Msasani City Mall, jijini Dar es...

View Article

MBAKAJI SUGU AFRIKA KUSINI AFARIKI

Mwanamume anayetuhumiwa kuwa mbakaji sugu nchini Afrika Kusini ,Sifiso Makhubo, amepatikana akiwa amefariki katika chumba chake gerezani.Sifiso Makhubo, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka 122 ikiwemo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA WA SOKA KENYA 'UFISADI'

Bendera ya KenyaWakuu wa shirikisho la mchezo wa soka nchini Kenya FKF, wanachunguzwa na maafisa wa tume ya kupambana na ufisadi kuhusiana na madai ya kutoweka kwa mamia ya maelfu ya dola pesa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPISS CISSE KIMEELEWEKA

Mzozo kati ya Cisse na klabu yake umetatuliwaPapiss Cisse Papiss Cisse na wasimamizi wa klabu ya Newcastle hatimaye wameafikiana na sasa mchezaji huyo ataanza kuvalia sare rasmi ya klabu hiyo iliyo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KALA AMPIGIA DEBE LOWASA

 Mimi Kala Jeremiah nilikuwa msanii wa kwanza tanzania kumsema mheshimiwa Edward Lowasa kupitia wimbo wangu uitwao wimbo wa taifa baada ya mheshimiwa kukumbwa na kashfa ya ufisadi wa Richmond.Kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAY Z 'AMDATISHA' BEYONCE

Rapa wa kimataifa Jay Z adhihirisha jinsi gani anavyompenda mke wake Beyonce, baada ya kushindwa kuvumilia na kumvamia juu ya stage ya Philadelphian Alhamisi usiku na kumkumbatia

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGO PACHA HALIVUNJWI KWA SASA

 JENGO LILIAMRIWA KUVUNJWA LILOKO KARIBU NA JENGO LILIPOROMOKA NA KUUA KUTOVUNJWA Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imesema hatma ya jengo la ghorofa 16 (pichani) lililoko mtaa wa Indira Gandhi na Asia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATATU WAKAMATWA NA DAWA ZA KULEVA HONG KONG

WATANZANIA watatu wanadaiwa kukamatwa nchini mjini Hong Kong nchini China  wakisafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya sh. bilioni moja. Dawa hizo zimetipotiwa kuhifadhiwa katika kitengo cha madawa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WALIOFUNGWA HONGKHONG WATAJA VIGOGO KUHUSIKA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI YA BASI YAUWA 38 ITALY

Waokoaji kusini mwa Italy wamesema kuwa takriban watu 38 wameuawa baada ya basi moja waliokuwa wakisafria kutumbukia mita thelathini ndani ya mtaro.Abiria wengine walipelekwa hospitalini wakiwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AENDA KUSOMA AFRIKA KUSINI

Hatimaye msanii anayetamba kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya nchi, anayeongoza kwa shoo Diamond Platinum amua kujikita darasani kwa kuongeza elimu.Kupitia ukurasa wake wa FB msanii huyo alijalibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOXIE ASAFIRISHA ABIRIA BURE JIJINI

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, anayeunda kundi la Wateule, Taikuni Ally 'Moxie' jana amejitolea kuwasafirisha abiria bure kwenye maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.Moxie amejikuta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAFTURISHA WATEJA

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto) akimkaribisha Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNIFU DIANA MAGESA ALIPOFANYA SHOW PARIS

Sehemu ya show ya mbunifu maarufu kutoka Tanzania, Diana Magesa iliyofanyika Paris, Ufaransa hivi karibuni. Imma Matukio itaendelea kukuletea designs mbalimbali za show hiyo, keep it locked

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRUST - UPCOMMING ARTIST ON HIPHOP

STAY TUNED FOR MORE INFO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE AJISALIMISHA POLISI

MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya CCM, Idi Azzan, amejilisalimisha' polisi na kutaka jeshi hilo, kufanyia uchunguzi tuhuma za kuhusishwa na biashara za dawa za kulevya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWISHO MWAMPAMBA AGEUKIA CLOUDS FM?

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live