Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UGANDA YA PILI KWA UFISADI AFRIKA MASHARIKI

Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Uwazi kuhusu ufisadi Transparency International inaonyesha kuwa Uganda inashika nafasi ya pili katika kanda ya Afrika Mashariki kwa rushwa.Hata hivyo serikali ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JULIUS MALEMA AANZISHA CHAMA

Aliyekuwa kiongozi wa vugu vugu la vijana la chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC, Julius Malema (Pichani Kulia) amezindua kundi la kisiasa litakalojulikana kama Wapiganiaji wa Uhuru wa Kiuchumi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALIPO YA WALIMU YAIUMBUA SERIKALI

Wakati serikali imetoa tamko juu ya limbikizo la deni linalodaiwa na walimu kuwa zaidi ya sh. bilioni 1.2, kama malimbikizo ya mishahara kati ya Julai 2012 na juni mwaka huu, madai ambayo yalipelekwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISRI 'KIMENUKA' TENA

Wafuasi na wapinzani wa rais wa Misri aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi wanajiandaa kwa maandamano makubwa mjini Cairo, huku waumini wa dini ya Kiislamu wakiadhimisha Ijumaa ya kwanza ya mwezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ELTON JOHN AUGUA KIDOLE TUMBO

Gwiji wa muziki wa Pop nchini Uingereza, Sir Elton John amelazimika kuahirisha onesho lake lililokuwa lifanyike Hyde Park jijini London, baada ya kubainika kuwa ana tatizo la kidole tumbo.Nyota huyo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VILABU VINNE VYAPIGWA MARUFUKU NIGERIA

Vilabu vinne ambavyo vilihusika na njama ya kupanga matokeo ya mechi vimepigwa marufuku nchini Nigeria.Katika mechi moja klabu moja iliilaza nyingine magoli 79-0 na magoli 67-0 katika mechi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PARIS AKUTANA NA 'MAJANGA' YA POLISI

Mwigizaji mwenye heshima nchini Marekani Paris Hilton amejikuta akisimamishwa na polisi kutokana na kuendesha gari kwa mwendo kasiParis alikutana na kisanga hicho huko Beverl Hills, ambapo alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPYA YAIBUKA KWA 'MASOGANGE' AFRIKA KUSINI

Baada ya wasichana wawili raia wa Tanzania Agnes Gerald 'Masogange' pamoja na Melisa Edward waliokamatwa ijumaa katika uwanja wa ndege wa kimataifa OR Tambo nchini Afrika Kusini kwa kukutwa na kilo 150...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE PROF JAY

 Baba yake Professa Jay akiweka mchanga kaburini Professa Jay akiweka mchanga kaburini Msanii  wa muziki wa kizazi kipya Joseph Haule 'Professa Jay' akisali katika kabuli la mama yake mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WAJUMUIKA KUMZIKA MAMA YAKE PROF JAY

 Profesor Jay akiwa ameshikiliwa na baadhi ya ndugu zake baada ya kumaliza kuweka shada la maua katika kaburi la mama yake Kaka yake na Profesor Jay akiweka shada la maua katika kaburi la mama yake leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANARISDHA WAKUMBWA NA KASHFA NZITO YA MADAWA

Wanariadha wawili kati ya wanariadha wenye kasi kubwa duniani -- Tyson Gay(Pichani Kushoto), kutoka Marekani na Asafa Powell(Pichani Kulia) wa Jamaica -- wamepatikana na kosa kutumia madawa ya...

View Article

MAREKANI YAPELEKA UJUMBE MZITO MISRI

Marekani imemtuma Naibu Waziri wake wa Mambo ya Nje, William Burns Cairo, Misri kwa ajili ya  mkutano na viongozi wa serikali ya mpito wanaoungwa mkono na jeshi la nchi hiyo.Hii itakuwa ni ziara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFUNGWA MARUFUKU KUONANA NA WAANDISHI WA HABARI

Wakati serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuweka wazi kuwa wafungwa wako huru kuzungumza na waandishi wa habari, kwa upande wa  Jeshi la Magereza nchini limesema wafungwa hawaruhusiwi kisheria kuzungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PIGO, WANAJESHI 7 WAUWAWA DARFUR

Wanajeshi 7 kati ya 36 wameuwa Darfur, mauaji wa wanajeshi 7 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) waliokuwa wanalinda amani Darfur, Sudan wauwaa baada ya kushambuliwa na waasi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUSTINE BIEBER AMUOMBA MSAMAHA BILL CLINTON

Baada ya muimbaji nyota wa muziki wa Pop Justine Bieber kuripotiwa kukojoa katika ndoa kwenye mgahawa, muimbaji huyo ameamua kuomba msamaha kwa kitendo hicho alichokifanyaMuimbaji huyo, amempigia simu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI LA 'TNG' KURUDI, LAACHIA 'CRAZY MAN' ROSE NDAUKA NDANI

 HATIMAYE msanii wa filamu nchini Rose Ndauka ameamua kuugeukia muziki wa kizazi kipya kwa kuingiza sauti kwenye nyimbo aliyoshirikishwa inayojulikana kwa jina la 'Crazy Man'.Rose ameshirikishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETINI LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARUBINI YA NASA (HUBBLE) YAGUNDUA MWEZI MPYA

Darubini ya anga ya Hubble ya Nasa imegundua mwezi mpya unaozunguka sayari ya Neptune, Nasa imedhibitisha habari hizo.Kwa mujibu wa habari za mtandao wa BBC kitengo cha sayansi na mazingira, mwezi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IPHONE 5 YAUA MTU

 APPLE KUCHUNGUZAKampuni ya Marekani ya Apple Inc inachunguza tuhuma za China kwamba mwanamke aliyekufa baada ya kupigwa shoti ya umeme alipokuwa anajaribu kupiga simu kwa kutumia Iphone5 wakati...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live