Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEGATRADE YAVIPIGA JEKI CHUO KIKUU NA CHAMA CHA SOKA KILIMANJARO.

Meneja masoko wa Kampuni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha,Edmund Rutaraka akimkabidhi hundi ya kiasi cha shilingi Milioni 1.5 ,katibu wa Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro ,KRFA,Mohamed Musa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: KADI ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA MARUFUKU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI YA RUSHWA BARANI AFRIKA KUZINDULIWA, TANZANIA PIA IPO

Transparancy International, inategemea kuchapisha utafiti unaoangalia maoni ya watu uzoefu na mtazamo wao kuhusu masuala ya rushwa katika nchi 28 barani Afrika.Maandalizi ya ripoti hiyo iitwayo People...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA BANDARINI,ATOA AMRI YA KUKAMATWA KWA...

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa  amewasimamisha kazi maofisa watano na watumishi watatu wa mamlaka ya mapato Tanzania(TRA)kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh.bilioni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAKAMA TANZANIA BEGA KWA BEGA NA WAANDISHI WA HABARI

Jaji kiongozi wa Mahakama kuu ya Tanzania Shaaban Lila amesema kuwa majaji wa Tanzania wanabusara katika kufanya maamuzi yao na ndio maana hata vyombo vya habari nchini hata vinapowachafua hawaangaiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA:ALIYEKUWA MKURUGENZI MSAIDIZI WA SHUGHULI ZA BUNGE BI.HELLEN MBEBA...

Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashililah, anasikitika kutangaza kifo cha mtumishi wa Bunge, Bi. Hellen Stephen Mbeba (36), aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi-Shughuli za Bunge, kilichotokea ghafla leo Ijumaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMANDA MPINGA AZINDUA OPARESHENI YA PAZA SAUTI DAR

 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani,DCP  Mohamed Mpinga, akisalimiana na Mabalozi wa Usalama Barabarani, muda mfupi kabla ya kuzindua Operesheni ijulikanayo kwa jina la “Paza Sauti” yenye lengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: RAIS MAGUFULI AAZIMISHA UHURU DAY KWA KUFANYA KAZI

Rais John Magufuli ameungana na watanzania wote kushiriki katika Siku ya Uhuru kwa kufanya usafi katika eneo la Ikulu Magogoni jijini Dar es salaam.Aidha, Rais Magufuli ameibadilisha siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BUSINESS TIMES LIMITED (BTL) WAUNGA MKONO AGIZO LA RAIS MAGUFULI(PICHA)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUKUVI AAHIDI KUKOMBOA MASIKINI BAADA YA KUKABIDHIWA OFISI RASMI

Waziri wa maendeleo ya nyumba na makazi,William Lukuvi amesema atahakikisha wananchi maskini wanapata haki zao za kumiliki ardhi pamoja na kuwawezesha  kuwa na  makazi bora ya kuishi  na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI NA KUKAMRIBISHA RASMI JANUARY...

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na  Balozi wa Cuba nchini Tanzania, Mhe. Jorge Luis Lopez, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Mhe...

View Article

Article 1

Historia  inaonyesha panya walianza kufugwa nyumbanitangu karne ya 19. Wengi wakiwa ni panya wa kahawia lakini hata weusi na ‘Giant pouched rats’(wanaopatikana Jangwa laSahara) nao pia hufugwa.Panya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHITIMU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YALIYOFANYIKA CHUO CHA UONGOZI JKT...

Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakionyesha jinsi ya kuzima moto wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na Askari wa Jeshi hilo,yaliyofanyika Chuo cha Uongozi JKT...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARAGHBISHI WA KIJIJI CHA NYANDEKWA KUMKOMBOA MWANAMKE

Baadhi ya waraghabishi wa kijiji cha Nyandekwa Wilayani Kahama wakiongea na waandishi wa habari waliofika kijijini hapo kwa ajili ya kujionea matokeo mbali mbali baada ya waraghabishi kuwasaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI DOTTO WA JAMII FORUMS WASAFIRISHWA KWENDA SAME

Jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dotto Mzava likishushwa Kwenye gari maalum mara baada ya kuwasili katika kanisa la Wasabato Manzese uzuri kwaajili ya sala ya kuombea kabla ya Mwili kusafirishwa kuelekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI SHINYANGA WAPIGWA "TAFU "

Sehemu ya chakula mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kilichotolewa na kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa Tigo kwa kituo cha kulelea watoto yatima na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SKENDO MISS UNIVERSE: MTANGAZAJI AMVISHA TAJI NA KUMVUA MISS, AMVISHA...

Katika tukio lisilokuwa la kawaida na la kushangaza pengine laweza kuwa funga mwaka 2015, likiwa linarushwa moja kwa moja katika runinga ulimwenguni, mwanavichekesho maarufu duniani, Steve Harvey kw...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU DAR ES SALAAM

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekutana naMakamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW MUSIC : FRANK MWANGOKA-SIRI (DOWNLOAD HAPA )

DOWNLOAD HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA DADA WA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, MSOGA

Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akimfariji mke wa Rais Mtaafu Mama Salma Kikwete alipowasili kuhudhuria mazishi ya Marehemu Tausi Khalfani Kikwete, dada wa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live