Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PONGEZI ZAMIMINIKA KUTOKA KWA MARAIS DUNIANI AKIWEMO MUGABE

ANGALIA ZAIDI. . .

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SASA UNAWEZA ANGALIA TELEVISION KWA SIMU ZA MKONONI

Dar es Salaam, Tanzania 19 Novemba 2015, kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua huduma ya ziada itakayowawezesha wateja wake nchi nzima kuangalia vipindi vya televisheni katika vituo vya...

View Article


BREAKING NEWS: MAGUFULI AHAMISHIA MIL 235 ZA SHEREHE YA WABUNGE KUNUNUA...

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AMEMUAMBIA SPIKA WA BUNGE AHAMISHIE SHILINGI ZAIDI YA MILIONI 235 ZILIZOTOEWA NA WAFADHILI KWAAJILI YA SHEREHE YA KUFUNGUA BUNGE LA 41 MJINI DODOMA KWAAJILI YA KUNUNUA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI 2 - 1.

Wachezaji wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam. Wachezaji wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANDA YA KASKAZINI WAZINDUA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili kanda ya Kaskazini na Meneja Miradi wa Shirika lisilo la kiserikali la NAFGEM,Honorata Nasuwa akizungumza na wanahabari(hawako...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILEY CYRUS KAZIDISHA. . ., AMNYONYA DANCER WAKE MATITI JUKWAANI (ANGALIA PICHA)

Tunajua kichaa chake, usiku wa alhamisi iliyopita, Miley Cyrus (KUSHOTO PICHANI) alifanya kituko ambacho hakijawahi kutokea akiwa jukwaani, wakati akifanya onesho la kukata na shoka jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ARUSHA SASA KUFURAHIA INTANETI YA KASI ZAIDI KUTOKA TIGO

Arusha, Novemba 18 2015. Wateja wa Tigo waishio Arusha sasa wanaweza kupata mtandao wa intaneti wenye kasi kubwa zaidi kufuatia upanuzi wa upatikanaji wa huduma ya 4G LTE hadi kufikia jiji hilo lilopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMAA ALIYEBADILI JINSIA AJIUA, KISA KAHUKUMIWA KWENDA JELA YA WANAUME

Mwanaume aliyebadili jinsia na kuwa mwanamke aliyetishia kujiua iwapo angepelekwa jela ya wanaume, amekutwa amekufa. Vicky Thompson (PICHANI KULIA), mwenye umbra wa miaka 21, alihukumiwa kifungo cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKENYA WAJIANDAA KUMPOKEA PAPA FRANCIS, ULINZI KUIMARISHWA

Serikali ya Kenya imesema maandalizi ya kumlaki Papa Francis nchini Kenya yamekamilika na ziara yake inatarajiwa kuwa ya kufana.Kwenye kikao na wanahabari, Msemaji wa Ikulu Manoah Esipisu na Inspekta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STANDARD CHARTERED BANK YAPATA MKURUGENZI WA KWANZA MTANZANIA

SANJAY RUGANI  MKURUGENZI MKUUSTANDARD CHARTERED BANK TANZANIA 

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BIMA YA AFYA NHIF YAKANUSHA KUDAIWA NA HOSPITAL YA RUFAA MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini umekanusha kuwepo kwa madai yaliyotolewa na Hospital ya Rufaa Mkoani Mbeya kuwa wanaudai Mfuko jumla ya shilingi bilioni 2 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:SHEREHE ZA UHURU KUTOFANYIKA MWAKA HUU

“Rais Dr. John Pombe Magufuli ameamuru kuwa siku ya Uhuru yaani 9 December hakutakuwa na shamra shamra zozote watu wote watafanya usafi wa mazingira ili kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu kwa maana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA CHUMBUNI APOKELEA NA WAPIKA KURA KWA SHANGWE AKITOKEA DODOMA

Mhe Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Zanzibar Mhe Ussi Salum Pondeza AMJAD akipongezwa na Mke wakati alipofika kumpokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Dodoma kuhudhuria...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KILIMANJARO AKUTANA NA MAOFISA WA MANISPAA KUJADILI HOFU YA KIPINDUPINDU

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akiwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi,kuzingumza na watendaji wa Afya na Mazingira. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akifurahia jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS ATETA NA MTANDAO WA WANAWAKE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na uongozi wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Tanzania (WFT) ambapo amezungumzia dhamira ya serikali katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI KUFANYIKA SINGIDA

Maambukizi ya ukimwi yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne iliyopita, ambako kundi lililokuwa limeathiriwa zaidi lilikuwa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FAMILIA YA MTOTO ALIYESINGIZIWA KUBEBA BOMU YADAI BILIONI 32

Familia ya mtoto wa Kiislamu aliyekamatwa baada ya kubuni na kutengeneza saa yake na kuipeleka shuleni kisha kudahiniwa kuwa amebeba bomu, wanadai fidia ya dola milioni 15(sawa na takribani shilingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI ALIYEJIUNGA ISIS APIGWA MPAKA KUFA ALIPOJARIBU KUTOROKA

Samra Kesinovic, 17, pichani kushoto aliondoka Austria mnamo 2014 mwezi aprili akiwa na rafiki yake Sabrina Selimovic, imedaiwa amepigwa na magaidi wa kundi la magaidi wa Kiislam wa ISIS mpaka kupoteza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRAND NEW RELEASE: BERRY BLACK FT. ALICE&DIGNA - MTUWACHE (VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA MANYARA, ARUSHA,K'NJARO

Brass Band ya Chuo cha Polisi Moshi ikiongoza maandamano ya uzinduzi wa kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kanda ya kaskazini .Wanafunzi wa kozi ya awali ya Askari Polisi kutoka shule ya...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live