MADAKTARI TOKA INDIA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki....
View ArticleKAMPENI : MAGUFULI AINGIA MBEYA, APINGA SIASA ZA MAJI TAKA
Na Mwandishi Wetu MbeyaMgombea Urais wa CCM Dkt, John Magufuli amesema kuwa anakerwa mno na Siasa za kuchomeana moto Bendera za Vyama nakudai kuwa kufanya hivyo hakuwasaidia kitu. Dkt, Magufuli ametoa...
View ArticleBREAKING NEWS: TAARIFA KUHUSU LAWRENCE MASHA KUKAMATWA
PRESS RELEASE TO THE PUBLIC ARREST, DETENTION AND PROSECUTION OF LAWRANCE MASHA (ADVOCATE) Often times the Tanganyika Law Society (TLS) has had to pronounce itself regarding various incidents which in...
View ArticleKAMPENI: MWAKYEMBE "LOWASSA ALIDOKOA MBOGA YA WAZEE NA WATOTO"
Mwandishi Wetu MbeyaWAZIRI wa Afrika Mashariki Dkt, Harrison Mwakyembe amemshukia Mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa na kuwambia wananchi wa Jimbo la Kyela na watanzania kwa ujumla kuwa haikuwa...
View ArticleKAMPENI: SAMIA SULUHU ASIMAMISHWA KUTATUA KERO ZA MAJI LONGIDO
Wanawake wa Wilayani Longido wamemsimamisha mgombea Mwenza wa urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (Pichani kushoto) njiani akielekea jukaani kuhutubia wananchi wakimlilia kuwatatulia kero...
View ArticleKINDONDONI, ILALA MABINGWA UNDER 17 AIRTEL RISING STAR DSM
Nahodha wa timu ya wasichana ya Kinondoni, Sylvia Mwacha (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam, Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17...
View ArticleKAMPENI : MAGUFULI AENDELEA KUCHANJA MBUGA MKOANI MBEYA
WAKAZI WA KIJIJI CHA IGAGALA BARARARANI WAMEZUIA MSAFARA WAKITAKA UJENZI WA BARABARA YA NJOMBE MAKETE IKAMILIKE KWA KIWANGO CHA LAMI. CREDIT ISSA MICHUZIPICHA ZAIDI. . .
View ArticleAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Wanawake na Watoto Zanzibar, Zainab Omar, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa...
View Article2 of 109 TAMASHA LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR LITAANZA KUFANYIKA KESHOKUTWA...
Ofisa Habari wa Kituo cha Redio cha EFM, Samira Sadiq (kushoto), akizungumza na wanahabari (hawapo pichani), kabla ya kumkaribisha Meneja wa Mawasiliano wa redio hiyo kuzungumza na waandishi wa habari...
View ArticleFLAVIANA MATATA ATEULIWA BALOZI WA VIVUTIO VYA UTALII
PICHA: Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyo.Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia...
View ArticleDKT.AFUNGUA WA MWAKA WA WAGANGA WAKUU DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano wa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa, Halmashauri na Wakurugenzi wa Hospitali za...
View ArticleOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA KUHUSU MFUMUKO WA BEI AGOSTI MWAKA HUU.
Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Iphrahim Kwesigabo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana kuhusu mfumuko wa bei...
View ArticleKAMPENI: SAMIA SULUHU AKIWA MBINGA
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini,Martin Mtonda (kushoto) na mgombea udiwani wa CCM.
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM JUU YA UDINI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKatika hali ya kushangaza na kusikitisha tarehe 6/09/2015 siku ya Jumapili mjini Tabora mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Ndg. Edward Lowassa...
View ArticleMH.HAMAD MASAUNI AFUNGA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Eng Hamad Masauni akifungua m,afunzo ya Vijana Wasio na Ajira yalioandaliwa na Jumuiya ya Watanzania Wasio na Ajira Tanzania (TUEPO) mafunzo hayo yanafanyika katika...
View ArticleUZINDUZI WA MFULULIZO WA VIPINDI VYA MAMA MISITU KUHUSU UZALISHAJI WA MKAA...
Viongozi mbalimbali wakiwa meza kuu, kutoka kushoto Mkurugenzi wa Taasisi ya Natural Resource Forum (TNRF), Joseph Olila, Mkurugenzi, Idara ya Misitu na Nyuki wa Wizara ya Maliasili na Utalii,...
View ArticleKAMPENI: BI SAMIA SULUHU AHUTUBIA KIBAHA
WanaCCM na wapenzi wa chama hicho wakiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Kisarawe, ambapo mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi, Samia Suluhu (hayupo pichani) alihutubia.Umati wa...
View Article