Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZAMANI WA CHAD ASHTAKIWA SENEGAL

Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre (Pichani Kushoto) atafikishwa mahakamani nchini Senegal kwa makosa ya uhalifu dhidi ya Binadamu,ukatili dhidi ya binadamu na uhalifu wa kivitaUmoja wa mataifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASAFI RECORDS KUSAIDIA CHIPUKIZI

Diamond Pltnumz ni mmoja ya wasanii wa Tanzania ambao wana mafaniko ya kutosha, Diamond Platnumz kaamua kushare mafanikio yake kwa kufungua studio ya muziki na kurekodi nyimbo bure kabisa kwa wasanii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAVIDO KUMFUATA ALI KIBA

Mwanamuziki nchini Nigeria, Davido (pichani kushoto) ambaye aling’ara sana nchini Tanzania, baada ya kufanya collabo na mwanamuziki Diamond, amefunguka kumfuata tena mwanamuziki mwingine baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI KUNDI LA KIGAIDI AUAWA

Jeshi la Marekani linasema kuwa mmoja wa viongozi wa kundi linalotumiwa na kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani Nchini Syria.Idara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOME YA MWISHO YA AL SHABAAB YATEKWA

Mji muhimu wa mwisho uliokuwa mikononi mwa kundi la Al Shabaab kusini magharibi mwa Somalia wa Baardheere umechukuliwa tena na vikosi vya Muungano wa Afrika (AU) -miaka 7 baada ya wapiganaji hao wenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BECKAM ACHORA TATTOO KUIENZI MAN UNITED

Aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England, David Beckham, ameonesha tattoo mpya ambayo inadaiwa ni kuikumbuka timu yake za Manchester.Inadaiwa kuwa tattoo hiyo ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MUDA WA KUJIANDIKISHA DAR WAONGEZW

Tume Taifa ua Uchaguzi(NEC) imeongeza siku nne zaidi kwa mkoa wa jiji la Dar es Salam kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura ili kuwezesha wakazi wengi kujiandikisha . Akizungumza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI JIJINI: MWEMBE WAANGUKA KATIKATI YA JIJI LA DAR

Mwembe mkubwa eneo la Bilicanas umeanguka hivi punde na kusababisha mali na vitu kadhaa kuharibika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

STARS KUONDOKA JUMAMOSI

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kuondoka nchini siku ya jumamosi usiku kuelekea Muscat Oman, kucheza mchezo wa kirafiki kabla ya kuunganisha kuelekea Istambul Uturuki kwa kambi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YATANGAZA MAJINA YA WAAMUZI VPL

Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOTAKA KUOLEWA NA AL-SHABAAB WATIWA MBARONI

Wanawake wawili raia wa Kenya na Tanzania pamoja na watoto wao watatu wanashikiliwa na Polisi nchini Kenya, baada ya kukamatwa Mjini Garissa wakiwa katika jitihada za kujaribu kutorokea Somalia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AZUA GUMZO KWENYE DALADALA

Mgombea urais kupitia umoja wa Katiba ya Wananachi (UKAWA) Edward Lowassa l(Pichani kushoto) leo amezua gumzo baada ya kuonekana akiwa ndani ya dadala katika maeneo ya Gongo la Mboto jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C KUANDAA DOCUMENTARY YA MAISHA YAKE

Mwanamuziki nchini Tanzania, Rehema Chalamila ‘Ray C’, (Pichani kushoto) amefunguka na kudai kuwa amekuwa kimya kwa muda kutokana na kuandaa makala ‘Documentary’ kuhusu maisha yake aliyoyapitia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AKIWA KATAVI KATIKA PICHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK: NI WAJIBU WA TAMISEMI KUSIMAMIA BARABARA

SOMA ZAIDI. . .

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI: LOWASSA AIBUKIA TANDALE, ANGALIA PICHA HAPA

PICHA ZAIDI . . .

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA MWENZA WA MAGUFULI, SAMIA SULUHU YUKO MARANGU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMPENI: SAMIA SULUHU AWANADI WAGOMBEA UBUNGE KILIMANJARO (PICHA 9)

Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi Samia Suluhu, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, jana aliwanadi wagombea ubunge mkoani Kilimanjaro alipokuwa katika mkutano wa kampeni....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUHUSU RATIBA YA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Rais na Wabunge za mwaka 2015 pamoja na Maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2015. Kampeni za Uchaguzi huanza siku moja baada ya uteuzi na huisha siku moja kabla ya siku ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA

PICHA ZAIDI. . .

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live