Nahodha wa timu ya wasichana ya Kinondoni, Sylvia Mwacha (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam, Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Dar es Salaam upande wa wasichana jana.
CHINI: Nahodha wa timu ya Wavulana ya Ilala, Abdul Hassan (kushoto), akikabidhiwa kombe na Meneja wa Airtel kanda ya Dar es Salaam Bw. Fredrick Mwakitwange (kulia), baada ya kutwaa ubingwa wa U-17 Airtel Rising Stars mkoa wa Da es Salaam upande wa wavualana jana.