Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EXCLUSIVE BRAND NEW RELEASE: MURAS - MAMA MKWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 02/06/2014: MAMA ZITO, MTOTO WA BOXI WAFARIKI DUNIA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKWETE NA DIAMOND USO KWA USO, MANHATTAN, NEW YORK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete masaa machache yaliyopita alipokutana na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, Manhattan, katika jiji la New York.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE WABAKWA GEREZANI

Utafiti uliofanywa na shirika moja la misaada Uingereza umeonesha kuwa ubakaji unatumiwa tena kwa kiasi kikubwa gerezani kama adhabu kwa wanawake wanaojihusisha na masuala ya siasa nchini Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI IMECHEMSHA KUWAACHIA WATALIBAN 5

Serikali ya Afghanistan imeghadhabishwa na makubaliano ya Marekani kukubali kuwaachia huru wanamgambo watano wakuu wa Taliban, ili kuachiwa huru kwa mwanajeshi wa Marekani. Wafungwa hao kutoka gereza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPENZI YA MAMA NI YA KWELI, ANGALIA HII PICHA INA UJUMBE KWENU WOTE

Hapo juu ni picha ya kobe mzazi mwenye umri wa miaka 140, akiwa amembeba mwanae wa kiume mwenye umri wa siku tano katika bustani ya wanyama Nyiregyhaza, iliyoko nchini Hungary

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 03/06/1974: BAJETI YA MAJI YASHAMBULIWA KILA KONA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA DIAMOND MAREKANI YAWEZA KUZAA MAFANIKIO MAKUBWA?

Diamond Platnumz juu kabisa akiwa na Kevin Liles, chini ni Kevin Liles akiwa na Nicki Minaj, Kevin Liles ni kati ya waaznilishi na wamiliki wa makampuni ya muziki nchini Marekani, kwa sasa umaarufu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASICHANA 14 WA KIHINDI WAFICHWA MSASANI ILI KUUZWA KWA WANAUME JIJINI(VIDEO)

Askari wa uhamiaji wamewakamata watu 14 katika maeneo ya Msasani jijini Dar es Salaam kutoka nchini India na Nepal ambao ni wahanga wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu ambapo watu hao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUFURU: WACHINA KUJENGA MJI CHINI YA MAJI HIVI KARIBUNI

Wachina wameanza kupitiliza, Kampuni moja nchini China inampango wa kutimiza ndoto yake kuwa kweli. Kampuni hiyo ya ujenzi “China Communications” inashirikiana na kampuni ya ubunifu ya AT Design Office...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MTOTO WA BOXI YANAENDELEA MOROGORO SASA HIVI (PICHA LIVE)

Baba wa mtoto Nasra Mvungi, Rashidi Mvungi akiwa na majonzi katika shughuli ya mazishi ya mwanae. Chini: Kaka wa marehemu Nasoro Rashidi Mvungi akiwa katika huzuni katika msiba huo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: LAMPARD ATANGAZA RASMI KUONDOKA CHELSEA

Kiungo cha kati wa Chelsea Frank Lampard ametangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo baada ya kuichezea kwa miaka 13. Mchezaji huyo wa Uingereza mwenye umri wa miaka 35 na ambaye ndiye mfungaji bora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII KALI SANA: WANARIADHA WANAKUNYWA MAZIWA YA MATITI YA WANAWAKE WAZAZI

Wanariadha wanaume wamekiri kuanza kunywa maziwa ya Matiti kama njia ya kusisimua misuli yao badala ya kutumia madawa yaliyoharamishwa ambayo yanaongeza nguvu mwili. Kwa mujibu wa jarida la Mail kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOMBE LA DUNIA LAWASILI BRAZIL TAYARI KUSHINDANIWA, LAPOKEWA NA RAIS

Rais wa Brazil, Dilma Rousseff akipokea kombe la dunia rasmi kutoka kwa Rais wa shirikisho la kimataifa la soka duniani(FIFA) Joseph Sep Blatter, huku akishuhudiwa na  Waziri wa Michezo wa Brazil....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZAMTV WAKABIDHI FEDHA KWA BODI YA LIGI MSIMU WA PILI

Kampuni ya Azam Media imetangaza kuwa tayari imeshatuma fedha kwa Bodi ya Ligi kiasi cha shilingi million 462 kwa ajili ya msimu wa ligi wa Vodacom kwa mwaka 2014/ 2015. Fedha hizo zimetolewa mapema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA: KICHANGA CHAKUTWA KIMETUPWA MTAANI

Kichanga chakutwa kimekufa kikiwa kimetupwa katika maeneo ya kawe kama kinavyoonekana katika picha. Inadaiwa kuwa watoto mtaani walikuwa wanacheza wakakuta mfuko wakaokota na walipofungua wakakuta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA UHOLANZI ZA SAINI MAKUBALIANO YA ANGA

Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe akisaini mkataba wa makubaliano ya usafiri wa anga kwa ndege zinazokidhi viwango na Balozi wa Uholanzi kwa niaba ya nchi yake, jijini Dar es Salaam leo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI WA GESI TANZANIA: WENGI WANAAMINI MATAJIRI NA SERIKALI NDIO WATANUFAIKA

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AZIDI KUMKUBALI RAIS KIKWETE KWA JINSI ANAVYOMPIGA JEKI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 04/06/2014: MJADALA WA NANI ATAFAIDI GESI WATOA SURA MPYA

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live