Quantcast
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 30/05/2014: HABARI MCHANGANYIKO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA YAPATA PIGO, SHOMARI KAPOMBE ATIMKIA AZAM FC

Klabu  ya Azam  imefanikiwa kumsajili, beki anayeweza kucheza nafasi za kiungo pia, Shomary Salum Kapombe(Kushoto) baada ya jana kumsainisha Mkataba wa miaka mitatu.Katibu wa Azam  Nassor Idrissa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: KATIBU MKUU WA SIMBA ABWAGA MANYANGA

Baada ya wanachama wa klabu ya Simba kufunga mlango katika ofisi za klabu hiyo kwa kile wanachodai kuenguliwa kwa Michael Richard Wambura hawakuridhishwa Katibu Mkuu wa Simba Ezekiel Kamwaga amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SEMINA MAALUMU KWA WANAKARATE WENYE MKANDA MWEUSI NA KIJANI

Chama cha mchezo wa karate hapa nchini (TASHOKA) kinatarajia kuendesha semina ya wazi kwa wanakarate wenye darajala wa mkanda wakijani na mweusi itakayofanyika juni 14 hadi 15 katika viwanja vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMBA NA YANGA ZAPATA ACCOUNT MAALUM BENKI YA POSTA

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo, Juma Mkamia amelaani viongozi wanaowania nafasi za uongozi wa klabu ya Simba kuleta mgogoro jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya soka hapa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: TAIFA STARS YAHUJUMIWA JIJINI HARARE, ZIMBABWE (SOMA HAPA)

Katika hali isiyo ya kawaida wachezaji wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, wamefungiwa vyumba vya hoteli waliyofikia mjini Harare, Zimbabwe, ambapo wapo kwa ajili ya mchezo wa marudiano na wenyeji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPA KATIBU MKUU WA CCM ANAPIGA MENU KILOKO LOKO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW MUSIC: AY FT DELA - ASANTE (OFFCIAL MUSIC VIDEO)

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: GEORGE TYSON AMEFARIKI DUNIA

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mtayarishaji Filamu wa Bongo Movie, George Tyson amefariki dunia. Tyson amepoteza maisha baada ya kupata ajali huku akiwa na wenzie 8. Katika ajali hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 31/05/2014:TAFRANI BUNGE LA KATIBA, UPINZANI WATOKA NJE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JINSI MWILI WA GEORGE TYSON ULUVYOAGWA MOROGORO - PICHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAIFA STARS INASHUKA DIMBANI LEO FAINALI YA AFCON 2015 MCHUJO, MAOMBI JUU YAO

Timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inashuka dimbani leo Uwanja wa Taifa wa Harare mjini hapa kumenyana na wenyeji Zimbabwe katika mchezo wa marudiano hatua ya kwanza ya mchujo ya Fainali za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 01/06/2014; HABARI MCHANGANYIKO KUTOKA MAGAZETI NCHINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

INAHUZUNISHA SANA MWILI WA GEORGE TYSON ULIPOWASILI JIJINI JANA (PICHA 14 )

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MAMA YAKE MH. ZITTO AMEFARIKI DUNIA

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mama mzazi wa Mh Zitto Kabwe ambaye alikuwa mjumbe wa kamati kuu wa CHADEMA, Bi Shida Salum amefariki, Imma Matukio inatoa pole kwa Mh.Zitto na Familia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JHIKOMAN AKIWA KATIKA ZIARA UGHAIBUNI ANGALIA VIDEO HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHADHARI PICHA INATISHA: MAJAMBAZI YAUA MTU ARUSHA SASA HIVI

PICHA: Mtu mmoja amepigwa risasi zisizojulikana idadi yake na kupoteza maisha katika eneo la Clock Tower Jijini Arusha na majambazi waliotoka kupora fedha katika duka la kubadilishia fedha la Northern...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRAND NEW MUSIC; WAKAZI - SUMU YA PANYA(MY CITY) OFFICIAL VIDEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANJI KUIONGOZA KLABU YA YANGA KWA MWAKA MWINGINE MMOJA

Mfadhili na Mwenyekiti wa klabu ya Young African, watoto wa Jangwani jijini Dar es Salaam, Milionea Yusuf Mehbub Manji, ataendelea kuwa mwenyekiti wa klabu hiyo kwa mwaka mwingine mmoja.Katika mkutano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO TAIFA STARS 2 ZIMBABWE 2, TANZANIA YAFUZU, KUKUTANA NA MSUMBIJI

Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kimesonga mbele na itakutana na Msumbiji katika hatua ya mwisho kuwania Kucheza makundi ya Kombe la Mataifa Afrika nchini Morocco, mwakani.Msumbiji imesonga mbele...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live