Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

JAYDEE ATOA NENO KWA MASHABIKI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MWISHO YA LANGA KILEO

Mwili wa msanii Langa Kileo ukishushwa kwenye gari teyari kwa ajili ya kupumzishwa kwenye nyumba yake ya mileleJeneza lililobeba mwili wa msanii Langa Kileo likishwushwa katika nyumba yake ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KONYAGI YATOA SOMO KWA WABUNGE

Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KATIBU MKUU ITIKADI NA UENEZI CCM

 Katibu mkuu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Nape Nauye akiwa ameongozana na mhalili wa mtendaji wa gazeti la majira (katikati) Imma Mbuguni akizungumza na waandishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VURUGU ZA ARUSHA

Mji wa Arusha umekumbwa na tafrani ikiwa ni siku ya tatu toka kutokea mlipuko wa bomu lililouwa watu wa tatu na watu zaidi ya 70 kujeruhiwa katika lala salama ya kampeni za uchaguzi wa madiwani eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SURA ZA MAGAZETI YA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA MAREKANI WAONGELEA VURUGU ARUSHA

The United States of America strongly condemns the June 15, 2013 bombing at a public rally organized by the Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) political party in Arusha, which according to...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI

Kamishna wa oparesheni na mafunzo Tanzania Paul Kagonja akiongea na waandishi wahabari mkoani Arusha jana juu ya tukio la mlipuko wa bomu uliosababisha majeruhizaidi ya 70 na watu watatu kupoteza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: SAIDA KAROLI AMETUTOKA

Mwanamziki Saida Karoli amefariki dunia kufuatia kuzama kwa boti alipokuwa safarini. Boti hiyo iliyokuwa inatoka Kisiwa cha Goziba ilizama baada ya kukumbwa na Dhoruba na kuzama Ziwa Victoria. Inadaiwa...

View Article


GRACE MATATA KATIKA MIAKA 13 YA JAY D

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIL WAYNE AKANYAGA BENDERA YA MAREKANI

Kukanyaga bendera ya nchi yako ni wazi unaitusi nchi yako au ni kukosa heshima hayo ni maneno wanaojiuliza wamarekani walio wengi kutokana na kitendo alichokifanya mwanamuziki Lil Wayne kuikanyaga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOLCE & GABBANA (D&G) JELA KWA KUKWEPA KODI

Wabunifu wa Kitalian Domenico Dolce (Kulia) na Stefano Gabbana wakifurahia umati wa wadau wa mitindo (hawako pichani) baada ya kuhitimisha maonesho ya mitindo ya nguo kwa msimu wa joto na kipupwe mwaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKALI WA ‘THE SOPRANOS’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 51

Habari za kusikitisha na pigo kubwa kwa wapenzi wa sinema duniani pamoja na wale wanaofuatilia ‘series’ tamthiliya haswa ile maarufu ya Sopranos wamekumbwa na msiba mkubwa baada ya msanii maarufu wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMWOKOE MWAKILISHI WETU ILI TANZANIA ISHINDE

MPIGIE KURA "NANDO"  BIG BROTHER THE CHASEMtanzania mwenzetu anaye tuwakilisha kwenye jumba la Big Brother katika shindani la 2013 Big Brother Africa 8 The Chase "Nando"  amewekwa kwaajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA MAADHIMISHO YA UGONJWA WA SICKLE CELL 'MUHIMBILI'

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOLI W TANZANIA 2013

Maimatha akiwa na vigoli wa 2013

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA MPITO MISRI AMEAPISHWA

Jaji mkuu wa mahakama ya juu zaidi ya kikatiba ameapishwa nchini Misri kuwa rais wa muda baada ya jeshi kumng'oa mamlakani rais aliyechaguliwa na raia kwa njia ya kidemokrasia na kushinda kwa wingi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PEMBE HARAMU KUTOKA UGANDA ZANASWA KENYA

Pembe haramu za ndovu zilizokuwa zinasafirishwa kutoka Uganda hadi Malaysia, zimenaswa katika bandari ya Mombasa pwani ya Kenya. Pembe hizo zilikuwa zimefunikwa kiasi cha kufanana na samaki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO HABARI ZA MISRI ZATAWALA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MTANZANIA AUWAWA MAREKANI

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mtanzania Omary Sykes (pichani juu) mwenye umri wa miaka 22 alivamiwa juzi na kupiwa risasi na vibaka akiwa Washington DC, alipokuwa anatoka chuoni, mwenzake...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live