Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

MATUKIO MBALIMBALI

$
0
0






Kamishna wa oparesheni na mafunzo Tanzania Paul Kagonja akiongea na waandishi wa
habari mkoani Arusha jana juu ya tukio la mlipuko wa bomu uliosababisha majeruhi
zaidi ya 70 na watu watatu kupoteza maisha


 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimjulia hali mbungewa Arumeru Mashariki Joshua Nassari(CHADEMA) ambaye alijeruliwa katika zoezi la uchaguzi kata ya makuyuni Wilayani Monduli





Baadhi ya wanachama wa chadema wakiwa katika mkusanyiko wakiwa na matawi wakitaka
kuingia ndani ya hosipitali alikolazwa mbunge wao nasari


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles