Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UINGEREZA NAYO YAVUNJA MKATABA NA KAMPUNI ILIYOKOSA TENDER YA PASSPORT TANZANIA

PICHA JUU: Muonekanao wa E-Passport zilizotolewa mapema mwaka huu.PICHANI KUSHOTO: Passport ya Uingereza ambayo kampuni ya De La Rue ilikuwa inazitenegeneza kabla ya kufutiwa mkataba wao.Na Mwandishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA CHINA KUSHIRIKIANA KUONGEZA TIJA UZALISHAJI MAHINDI MOROGORO

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha China Profesa Sun Qixin, akimuonyesha Balozi wa China hapa nchini Wang Ke, moja ya picha katika Kituo cha Mafunzo cha kupunguza Umasikini kijijini, katika Kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITA YA BIASHARA YA CHINA NA MAREKANI KULETA MAAFA YA KIUCHUMI DUNIANI

PICHANI : Rais wa Marekani, Donald Trump akiwa amezungukwa na wafanyabiashara pamoja na maafisa wa wa nchi hiyo, akijiandaa kutia saini taarifa itakayopitisha mpango wa kutoza faini bidhaa za China,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLISI WAMTANDIKA RISASI 30 WAKIFIKIRI ANATOA SILAHA, KUMBE IPHONE

#PressPlay Footage released shows the moment police in Sacramento shot an unarmed man at his grandmothers house. He was shot over 20 times. #Thoughts? (Swipe Left)A post shared by HOLLYWOOD UNLOCKED...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI WA WAYAHUDI AWAITA WATU WEUSI “NYANI” KATIKA IBADA

Na Mwandishi Wa KimataifaImmamatukioKiongozi wa dini Israel (chief rabbi) amezua mzozo kwa kuwaita watu weusi “nyani’ wakati akiendesha ibada ya wiki. katika ibada hiyo, Rabbi Yitzhaj Yosef alitoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHINDANO LA KWANZA KUWAHI KUTOKEA ZIMBABWE LA MISS ALBINISIM (PICHA)

Na Mwandishi wa KimataifaImmamatukioZimbabwe imefanya mashindano ya kumpata mlimbwende “Miss Albinisim” yenye lengo la kutokomeza unyanyasaji dhidi ya watu wanye ulemavu wa albinism ambapo washiriki 13...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATE: MAWASILIANO YA BARABARA YA ITIGI HADI TABORA YAREJEA

PICHANI : Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa(kulia) na Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Tabora, Mhandisi Damian Ndabalinze (kushoto) wakikagua ukarabati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOLT AIBUKIA UJERUMANI, KUCHEZA SOKA BORUSSIA DORTMUND (ANGALIA PICHA)

Na Mwandishi WetuImmamatukio BlogMshindi wa medali ya dhahabu mara nane katika Olympic, Usain Bolt, ameanza majaribio katika mchezo wa mpira wa miguu nchini Ujerumani katika klabu ya Borussia Dortmund,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VITUKO : ASHIKILIWA KWA KUMVUTISHA BANGI MTOTO WA MWAKA 1, VIDEO KUSAMBAA...

Mwanamke mwenye umri wa miaka 20 amekamatwa baada ya kusambaa video katika mtandao wa facebook ikionesha akimlazimisha mwanae wa mwaka mmoja kuvuta bangi. Brianna Ashanti Lofton (pichani) alikamatwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAAJIRI WANAWAJIBIKA KISHERIA KUTATHMINI MAJANGA MAHALAPA KAZI KILA MWAKA-WCF

Mkurugenzi wa Huduma za Tiba na Tathmini, Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi,(WCF), Dkt. Abdulsalaam Omar, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Bw. Masha Mshomba, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA : BIBI HAFSA SHABAN MRISHO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WARAMI:CHADEMA WASIINGILIE UHURU WA MAHAKAMA

Na Mwandishi WetuWATETEZI wa Rasilimali Wasio na Mipaka(Warami)limesema limesikitishwa na kitendo cha Kamati kuu ya   Chadema kuingilia uhuru wa Mahakama baada ya jana kuitisha mkutano kuzungumzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHAGAMA: MIRADI YA MWENGE WA UHURU KUKAGULIWA KISAYANSI...OLE WAO MA-DED

PICHANI: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama (wa tatu kushoto), akizungumza na kamati mbalimbali za maandalizi ya Mwenge wa Uhuru kitaifa....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCAA YADHAMINI NGORONGORO MARATHON

Mashindano ya Ngorongoro Marathon 2017, ambayo kwa mara ya kwanza yalidhaminiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Mamlaka hiyo inadhamini kwa mara ya pili mwaka huu. (Picha na Yusuph Mussa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA ATAJA MUAROBAINI WA KUZUIA UCHOMAJI MISITU

Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, "Mtoto wa Mkulima" akionyesha furaha yake baada ya kuzindua nembo ya "Malkia wa Ssali" kwenye hoteli ya Morena mjini Dodoma leo Aprili 14, 2018.NA K-VIS BLOG/KHALFAN...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MHAGAMA AFUNGUA MKUTANO WA KUTEKELEZA BORA SHERIA YA FIDIA KWA...

  NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, DODOMASERIKALI ilianzisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa lengo la kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapata mafao bora na stahiki ya fidia tofauti na sheria ya zamani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VERTIV YAJA NA VIFAA VYA KISASA VYA KUKABILIANA NA MAJANGA YA UMEME

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiKAMPUNI ya Vertiv imefanya maboresho ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) vinavyotumika katika ujenzi, viwandani na maofisini kwa lengo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MNEC: WAZAZI, UHURU KWA WATOTO UWE NA MIPAKA

PICHANI: Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mohamed Salim (RATCO) Mkoa wa Tanga, akizungumza kwenye Kongamano la Maadili lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi ya chama hicho na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJI WA KOROGWE NA JITIHADA ZA KUPATA MANISPAA

 Wakuu wa Idara wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro ambao walitembelea Stendi ya Mabasi Korogwe na Soko la Kimataifa kwenye Halmashauri ya Mji Korogwe. Nia ya ziara hiyo ni kujifunza, kwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGWANGALA ATUMIA NGORONGORO MARATHON KUWATUMIA SALAMU MAJANGILI

PICHANI: Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwangala (fulana nyekundu) akiwa na uongozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) pamoja na baadhi ya washiriki wa mbio za Ngorongoro Marathon...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live