Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI KAKUNDA AFANYA ZIARA KILWA

PICHANI: Mkurugenzi wa halmashauri ya Kilwa Zablon Bugingo kulia akitoamaelezo ya mradi mkubwa wa uoteshaji wa miche ya korosho kwa Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI George Kakunda alipofanya ziara...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAHABARI WA TANZANIA WATEMBELEA KAMPUNI YA HUWAWEI NCHINI CHINA

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari Tanzania, wakiwa ndani ya Kiwanda cha Kampuni ya Huwawei walipotembelea Kiwanda hicho kuijionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKUNA MATATA YA TUMAINI MSOWOYA KUACHIWA ALBAMU YAKE OCTOBER 29

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesera anatarajia kuwa mgeni rasmi katikauzinduzi wa albamu ya mwimbaji wa nyimbo za Injili Tumaini Msowoya, katika ukumbi wa Highland Hall mjini Iringa.Wageni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAWILI KATI YA WATATU WANATAKA KATIBA MPYA

Wananchi wawili kati ya watatu wanasema Tanzania inahitaji katiba mpyaNusu ya wananchi wanasema mchakato wa katiba uanze upya na tume mpya19 Oktoba 2017, Dar es Salaam: Asilimia 67 ya Watanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CWT KOROGWE YAFURAHIA SERIKALI KULIPA MABILIONI YA WALIMU

PICHANI: Katibu wa CWT Mkoa wa Tanga Luya Ngonyani akizungumza jambo kwenye Mkutano Mkuu wa CWT Wilaya ya Korogwe uliofanyika mjini Korogwe. (Picha na Yusuph Mussa).CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKUTANA NA WAFANYABIASHARA MWANZA

PICHANI: Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Ashatu Kijaji jana amekutana na wafanyabiashara Jijini Mwanza kwa ajili ya kusikiliza na kutatua baadhi ya kero za kibiashara kutoka kwa wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘HALMASHAURI ZIMUUNGE MKONO RAIS KUNUNUA VITANDA VYA KUJIFUNGULIA’, DKT NCHIMBI

PICHANI: Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi akifungua moja kati ya vitanda 14 vya kujifungulia vilivyotolewa na Rais Magufuli mapema leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida.Na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MWANJELWA: USHIRIKA UPIGE VITA NJAA, UJINGA, MARADHI NA UMASKINI

PICHANI: Mgeni Rasmi, Naibu Waziri – Wizara ya Kilimo, Dkt. Mary Mwanjelwa akiangalia sehemu ya bidhaa za chakula zilizosindikwa kutoka katika Vikundi vilivyoanzishwa chini ya Ushirika wa Akiba na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI ATEMBELEA MIRADI YA VITUO VYA UMEME KIGAMBONI

PICHANI: Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu, (wapili kulia), akifurahia jambo na wahandisi na mafundi wa TANESCO alipotembela mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAZALENDO WAUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS DODOMA

Mhe Jordan Rugimbana Mkuu wa mkoa wa Dodoma akikabidhiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM ( UVCCM ) Shaka Hamdu Shaka Taarifa ya Tamko la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU COMMERCIAL BANK, YASHIRIKI BONANZA YA WALIMU WA MICHEZO

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAIDTIMU ya soka ya wafanyakazi wa Mwalimu Commercial Bank,(MCB), plc, imefungwa mabao 3-1 na kikosi mchanganyiko cha walimu wa jijini dar es salaam, katika pambano la kirafiki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOGO ZERO BINGWA SINGELI MICHANO NJE NDANI YA EFM BAGAMOYO

 Mshindi wa Shindano lasingeli Michano Bagamoyo Dogo Zero, akiwarusha wakazi wa Bagamoyo mara baada ya kutangazwa Bingwa wa Shindano hilo Watangazaji wa kipindi cha Genge na ma MC wa shindano la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SIRRO APONGEZWA NA WAZEE WA KIBITI NA IKWIRIRI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsalimiana na viongozi waandamizi na maofisa wa Jeshi hilo alipowasili Ikwiriri Mkoani Pwani kwa lengo la kuzungumza na wazee na wananchi wa Wilayay zote...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU KITILA AZINDUA JUKWAA LA WADAU WA MAJI ARUSHA

Katibu Mkuu wa Wizara  ya Maji na Umwagiliaji , Profesa Kitila Mkumbo,Akizindua Jukwaa la wadau kuhusu usimamizi na utunzani wa maji katika Bonde la Pangani jijini Arusha juzi(Habari Picha na Pamela...

View Article

SHIRIKA LA HAKI ELIMU YASHIRIKIANA NA JAMII KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU.

<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASNIA HALISI WHATSAAP GROUP YAZINDULIWA KWA KISHINDO JIJINI DAR ES SALAAM

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidWAANDISHI wa habari ambao ni wanachama wa kundi la Whatsaap lijulikanalo kama TASNIA HALISI wamezindua kundi hilo leo Oktoba 28, 2017 kwa sherehe kabambe ya kukata na shoka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAWEKA KAMBI MBEZI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIWA NA MVUA...

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidJUHUDI kubwa zimekuwa zikifanywa na wahandisi na mafundi wa Shirika la Umeme Tanzania, (TANESCO), kurejesha miundombinu iliyoathiriwa na mvua za vuli zilizonyesha kwa siku...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI KWA MBWEMBWE KIJICHI LEO

Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akimnadi mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, leo. Akizungumza amesema CCM...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EFM MZIKI MNENE GUMZO KILA KONA BAGAMOYO

 Msanii wa Muziki wa Hip Pop Nchini, Izo Busines akitoa Burudani kwa wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo katika Tamasha Maharufu la Mziki Mnene lililofanyika katika Bar ya Dunda Dunda linaloandaliwa na Efm...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI (CWT) MUFINDI; WALIMU TUNAISHI KWENYE MAPAGALE TUNAOMBA VIWANJA

PICHANI: Mwenyekiti chama cha walimu wa Tanzania (CWT) wilaya ya Mufindi Obi Kimbale akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano mkuu wa chama cha walimu Tanzania (CWT) wilaya ya Mufindi...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live