
Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akimnadi mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, leo. Akizungumza amesema CCM itashinda Udiwani kata zote tatu ambako uchaguzi unarudiwa mkoani Dar es Salaam. Kata zingine ni Saranga na Mbweni.

Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akiwasili kwenye Uwanja wa mkutano kuzindua kampeni za Uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Kijichi, leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Almishi Hazal

Wananchi na wana CCM wakishangilia wakati Kusilawe na viongozi wenzake wakiingia Uwanjani










Vijana wa hamasa na wananchi wakiwa wametulia kumsikiliza

Baadhi ya wananchi kwenye mkutano huo

Viongozi wa Barza la wazee Temeke wakiwa kwenye mkutano huo

Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe akihutubia mkutano huo

Kusilawe akisisitiza jambo

Vijana wa CCM wakimshangilia Kusilawe

Msimamizi wa uchaguzi wa CCM makao makuu Mzee Kazidi (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Wilaya ya Temeke Almishi Hazal. katikati ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam

Mzee Kazidi akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Kuslawe.

Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe akimnadi mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, leo

Kisha akamkabidhi mgombea huyo ilani ya CCM

Kusilawe akimkabidhi ilani mgombea huyo

Mgombea akionyesha ilani baada ya kukabidhiwa

Mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, akizungumza na kuomba kura baada ya kunadiwa na Kusilawe, leo

Eliasa Mtalawanje akifafanua jambo kwa makini

Wananchi wakimshangilia mgombea huyo

Mgombea huyo akiendelea kuomba kura kwa wananchi

Mgombea wa CCM katika uchaguzi wa marudio wa Udiwani Kata ya Kijichi, Eliasa Mtalawanje,Temeke Dar es Salaam, akiondoka uwanjani mwishoni mwa mkutano. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO