MKUU WA WILAYA YA UBUNGO AWATULIZA MADEREVA DALADALA WA SIMU 2000
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ,Kisare Makoli akielekea kwenye kituo cha daladala cha simu 2000 mara baada ya madereva wa Daladala kupinga tozo ya shilingi 1000 kama Ushuru wa magari ambapo awali walikuwa...
View ArticleEFM YAZINDUA TAMASHA LA MZIKI MNENE KWA MIKOA SITA NCHINI
Meneja Mkuu wa Efm Radio na Tv E , Denis Busulwa (SEBO), Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Tamasha Mziki Mnene litakalo fanyika katika mikoa sita nchini Sanjari na Kampeni ya...
View ArticleOPERESHANI MAALUMU YA KUPAMBANA NA KILIMO CHA BANGI, WATANO MBARONI MVOMERO …...
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe (aliyeshika dumu) akimimina mafuta ili kuchoma lundo la bangi iliyokuwa imeng’olewa Augosti 19, 2017 na kikosi kazi maalumu katika moja ya mashamba ya...
View ArticleTANZANIA IS THE BEST SAFARI COUNTRY 2017
THE NETHERLANDS – SafariBookings.com has conducted an in-depth analysis of reviews from safari tourists and acclaimed Africa experts to determine the continent’s best country for safaris. And the...
View ArticleMFUKO WA MAWASILIANO KWA WOTE, (UCSAF), NA MAKAMPUNI YA SIMU WASAINI MKATABA...
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa(katikati), akiwashuhudia Afisa Mtendaji Mkuu (CEO), wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi. Peter Ulanga, (kushoto),...
View ArticleUBER YAZINDUA HUDUMA YA MADEREVA NA WASAFIRI KUCHATI KWA KUTUMIA PROGRAMU HIYO
Dar es Salaam Tarehe 21 Agosti 2017…Kampuni ya Uber nchini Tanzania imetangaza zana mpya maarufu kama “Kuchati Ndani ya Programu” inayowawezesha madereva na wasafiri kuandikiana ujumbe kwa kutumia...
View ArticleRIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI ZAWADI ZA WACHEZAJI BORA NDONDO CUP
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akizungumza na familia ya Wanamichezo wakati wautoaji wa Tunzo za Mchezaji borawa michuano ya Ndondo Cup inayoandaliw ana kampuni ya CloudsMedia Group kupitia...
View ArticleZIARA YA RAIS WA ZANZIBAR Dk. SHEIN WILAYA YA MAGHARIBI "B"
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili katika ufunguzi wa jengo la madarasa 3 mapya katika Skuli ya...
View ArticleDKT. KALEMANI AITAKA TANESCO KUUNGANISHA NGUVU KUKAMILISHA MIRADI YA UMEME YA...
NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidNAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani,(pichani anayeongea), amelitaka Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kuunganisha nguvu ili kuhakikisha wanakamilisha mradi...
View ArticleMSHINDI WA MZUKA JACKPOT AKABIDHIWA MILIONI 80 DAR ES SALAAM LEO
PICHANI: Balozi wa Mchezo wa Bahati Nasibu wa Tatu Mzuka, Mussa Hussein (kulia), akimkabidhi mfano wa hundi ya thamani ya shilingi milioni 80 Mshimdi Mkuu wa Mchezo huo, Rashid Ally katika hafla...
View ArticleSBL YATOA MAGARI MAWILI YA SHILINGI MILIONI 100
PICHANI: Meneja Masoko Mkoa wa Mwanza wa kampuni ya bia ya Serengeti Patrick Kisaka(kushoto) akimkabidhi funguo za gari mshindi wa usambazaji bora wa vinywaji vya kampuni hiyi Mkurugenzi wa kampuni ya...
View ArticleKINANA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI 5 ZA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia), akiwa katika mazungumzo na Mabalozi wa nchi tano za Ukombozi Kusini mwa Afrika, wanaoziwakilisha nchini zao hapa nchini, alipokutana nao katika Ofisi...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA NAIBU KAMISHNA MKUU WA TAKUKURU IKULU DAR ES SALAAM
Brigedia Jenerali John Julius Mbungo aliyeapishwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt....
View ArticleZAIDI YA SH BILIONI 200 KUWANUFAISHA VIJANA NCHINI
Filbert Rweyemamu,ArushaBenki ya Dunia imetoa Sh 200 Milioni ili kuwezesha miradi ya elimu na ujuzi kwa ajili ya kazi zinazoleta uzalishaji wenye tija pamoja na vituo viwili vya umahiri vya kikanda...
View ArticleDOLA MILIONI 9.5 KUTATUA TATIZO LA MAJI MJI MDOGO WA ILULA
Mkuu wa wilaya ya kilolo Asia Abdallah akiwa sambamba na mkuu wa mkoa wa iringa wakizungumza na waandishi wa habari katika eneo la chanzo cha mradi huu wa maji katika mji mdogo waIlula Mkuu wa mkoa wa...
View ArticleMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MZEE WASIRA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mhe. Stephen Wasira leo ofisini kwake Ikulu jijini Dar es...
View ArticleWanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Mwaka 2017 Awamu ya Pili
TAARIFA KWA UMMAOfisi ya Rais – TAMISEMI inapenda kuwajulisha wananchi juu Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano kwa Awamu ya Pili kwa mwaka 2017. Wanafunzi hawa wataanza...
View ArticleJAMBO LINGINE KUBWA LITAKALO KUWEPO KWENYE TAMASHA LA JINSIA MWAKA HUU
TGNP Mtandao katika kutambua nafasi ya wanajamii imetoa nafasi maalum kwa watu waliofanya mambo makubwa kwenye jamii yao na mchango wao haukutambulika, hivyo watapewa nafasi ya kuadithia simulizi zao...
View ArticleMambo Sita (6) Mazito waliyoibua LHRC Leo,Sakata la Lissu,Bomoa Bomoa...
Katika kuisimamia na kulinda haki za binadamu nchini Tanzania Kituo cha sheria na hakiza binadamu Tanzania LHRC, Leo wameibuka na kukemea mambo kadhaa yanayoendelea nchini kwa sasa huku wakiitaka...
View ArticleBRIGEDIA JENERALI MBUNGU AWATAKA ASKARI WA SUMA JKT GUARD KUWA MABALOZI...
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU),Brigedia Jenerali .John Mbungu akizungumza na askari wa ulinzi binafsi wa kampuni ya Suma JKT wakati alipokuwa akifunga mafunzo...
View Article