Quantcast
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA YASAIDIA VIJANA BIHARAMURO

Meneja Mahusiano Mwandamizi wa Benki ya Posta Tanzania Noves Moses(katikati) akionyesha fedha kissing cha shilingi milioni 8 zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya kuwasaidia vijana waendesha bodaboda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAMATTA NA WASANII WENGINE WAKABIDHIWA MAENEO YAO NA SHIWATA

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi (kushoto) akisalimiana na Afisa Utamaduni Mstaafu wa Wizara hiyo Bw. Michael Kagondela pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAGEMBE AFUNGUA MKUTANOWA MWAKA WA TANAPA NA WANAHABARI MOROGORO

Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Pascal Shelutete akitoa maelezo ya awali kuhusu mkutano wa mwaka wa Hifadhi za Taifa Tanzania ,Wahariri,Wanahabari waandamizi kutoka vyombo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA NA WANAHABARI KUTOKA VYOMBO MBALIMBALI...

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Prof Jumanne Maghembe (MB) akifungua mkutano wa Mwaka wa hifadhi za taifa Tanzania na wanahabari na wanahabari waamdamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRA YAVUKA LENGO LA UKUSANYAJI MAPATO MWEZI MEI

MKamishna Mkuu wa TRA Bw. Alphayo Kidata akitilia mkazo jambo wakati wa kikao na waandishi wa habari kuhusu taarifa ya makusanyo ya mapato kwa mwezi Mei 2016,kilichofanyika katika Ofisi za Mamlaka ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHARON ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA NA WATOTO YATIMA

Mtoto Sharon Mwakifulefule (kushoto) akisalimiana mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam, wakati alipokwenda kituoni hapo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA TANZANIA YAKABIDHI MADAWATI KWA SHULE YA MSINGI MKOANI MBEYA

Mkurugenzi wa fedha toka benki ya Posta Tanzania (TPB) Bi.Regina Semakafu akifurahi jambo na baadhi ya walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Mbeya Day jijini Mbeya mara baada ya kukabidhi madawati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DTB TANZANIA YAZINDUA TAWI LA 25 JIJINI DAR ES SALAAM

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh. Raymond Mushi, akisaidiana na Mwenyekiti wa Banki ya Diamond Trust (DTB), Bw. Abdul Samji, kukata utepe katika uzinduzi wa tawi jipya la benki hiyo la CBD. Kushoto ni Bi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHARON ATIMIZA MIAKA SABA KWA KUSHEREHEKEA NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA...

Sharon Mwakifulefule akimkabidhi msaada wa madaftari Fatma Ali ambaye ni mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima Trus Fund kilichopo Mbagala Chamanzi jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEONCE MULENDA: KIJANA MSOMI MWENYE NDOTO YA KUWA KIONGOZI WA JUU TANZANIA

 * 'Alikula sahani moja' na vigogo kuwania Urais na Uspika wa Bunge 2015* Ni msomi wa Shahada ya uzamivu (PhD) katika masuala ya usimamizi wa Biashara* Asema Dk. Magufuli atarejesha nchi katika misingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WCF YAWAFIKIA MADAKTARI 380 IKIJIANDAA KUANZA KUTOA FIDIA JULAI MOSI 2016

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi, Masha Mshomba, akitoa hotuba kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano kwa madaktari kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, yanayofanyika mjini Mbeya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR-AN ZANZIBAR MASJID LOOTA KIEMBESAMAKI LEO

 Mgeni rasmin katika Uzinduzi wa Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qura-an Zanzibar yalioandaliwa na Jumuiya ya Kihifadhi Quran Zanzibar Naibu Kadhi Mkuu Zanzibar Shekh.Hassan Othma Ngwali(katikati)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI WA CHINA NCHINI ACHANGIA DAMU HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

BALOZI wa China nchini Tanzania, Dkt. LU Younqing, akitolewa damukwenye maabara kuu ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), wakati wa siku ya uchangiaji damu nchini, Juni 14, 2016. Balozi huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANA CCM MAHINA WACHACHAMAA, MEYA WA JIJI LA MWANZA KUPULIZIWA HEWA CHAFU...

Na Mwandishi Wetu, MwanzaMADAI ya Meya wa Jiji la Mwanza James Bwire kupuliziwa ofisini kwake juzi hewa chafu inayohisiwa kuwa sumu yamesababisha wanachama wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) wa Kata ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAPPY BIRTHDAY QUEEN LADY JAY DEE, QUEEN OF NDI NDI NDI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR ES SALAAM KUZINDUA HUDUMA YA UBER

   * YAUNGANA NA ORODHA YA MIJI MASHUHURI AFRIKA KUTOA HUDUMA YA UBERDar es Salaam, Juni 2016. Leo, Dar es Salaam inakuwa mji wa 475 kujiunga na mtandao unaokuwa wa Uber duniani. Kwa uzinduzi wa Uber,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNGANISHWA NA SIMU ZA “BURE NA HALISI  KUTOKA AIRTEL”

Dar Es Salaam, 14 Juni 2016, Kufuatia tamko la serikali la kuzima simu zote bandia ifikapo tarehe 16 Juni 2016, Airtel Tanzania imeanzisha ofa kabambe ya “simu za bure na halisi" zinazopatikana katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWAWEZA: WANANCHI 8 KATI YA 10 WANAPINGA ZUIO LA BUNGE KUONEKANA LIVE

9 KATI YA 10 WANASEMA GHARAMA ZA KUYARUSHA MATANGAZO HAYO SI HOJA 15 Juni 2016, Dar es Salaam: Watanzania walio wengi (79%) hawakubaliani na maamuzi ya serikali ya kusitisha matangazo ya moja kwa moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWASCO KUONGEZA UZALISHAJI TOKA LITA MILIONI 70 MPAKA 106 KWA SIKU

Na MAELEZOKaimu Meneja Uhusiano wa Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) Bi. Everlasting Lyaro amesema kuwa uzimaji wa mtambo wa Ruvu Juu kwa wakazi wa Dar es Salaam na Mji wa Kibaha...

View Article

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA SERIKALI KUHUSU UKOMO WA MATUMIZI YA...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live