Quantcast
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AZINDUA RASMI JENGO LA PPF JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akikata utepe kuzindua rasmi, Jengo la Kitegauchumi la Mfuko wa Pensheni (PPF) lililopo Mtaa wa Korido Jijini Arusha leo wa pili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU JK AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUTOKA MALARIA NO MORE

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAENDELEA KUPUNGUA

Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akita taarifa ya kuongezeka kidogo kwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Aprili 2016 leo jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA JIJI DAR ES SALAAM ADAI TAARIFA ZA MAPATO YA JIJI

Na Raymond Mushumbusi MAELEZOMstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amemwagiza Mkurugenzi wa Jiji kumwandikia Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kuomba taarifa za mapato halisi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SITTA AKEMEA UDHALILISHAJI TWPG,AWAONYA WABUNGE

Mwenyekiti wa Chama cha wabunge wanawake Tanzania (TWPG),Magreth Sitta,amelaani vikali vitendo vya kutolewa kwa lugha za matusi na udhalilishaji dhidi ya wabunge wanawake bungeni na kusema hakiwezi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA MSIBA WA BI MWASABURI HAJI KILICHOTOKEA GLASGOW SCOTLAND

Tunasikitika kuwatangazia msiba wa Mtanzania mwenzetu Bi Mwasaburi Hajikilichotokea Jumamosi jioni huko Glasgow Scotland.Mipango ya mazishi inaendelea na mtajulishwa tarehe ya mazishi.Msiba uko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAY WA MITEGO - SAKA HELA BRAND NEW MUSIC

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE: TFF BADO NI MWANACHAMA WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU FIFA

Na Benedict Liwenga-Dodoma.Kufuatia majadiliano na vikao mbalimbali vilivyofanyika mwaka 2005-2010, kumbukumbu zinaonyesha kuwa suala la uanachama wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI DODOMA 10 MEI, 2016.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi (kulia) pamoja na Katibu Mkuu, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Job Masima wakiwa katika mazungumzo Bungeni mjini Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AMSIMIKA ALHADJI KUWA LAIGWANANI

Waziri Mkuu wa zamani na aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema na kuungwa mkono na ukawa Edward Lowassa akimsimika ulaigwanani Alhadji Mapukori Mberekeli huko Nanja Monduli jana Lowassa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA DODOMA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WAHAMASISHWA KUJITOKEZA KUSHIRIKI SHINDANO LA KUONGEZA KIPATO

Mtaalam Mshauri wa Master Card Foundation Gabriel Kivuti akifafanua jambo katika semina ya namna shirika hilo linavyofanya kazi na jinsi ya kushiriki shindano la mwaka 2016 ili kupata washindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGODI BULHANHLU WAKUBALIANA NA TAASISI YA MKAPA KUBORESHA HUDUMA YA AFYA YA...

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Bulyanhulu Graham Crew akibadilishana hati za makubaliano na Afisa Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa,Dkt Ellen Mkondya wakati wa hafla ya makabidhiano ya hati hizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILIMO HIFADHI CHA NYANYA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

Dk. Sophia Mlote, mkazi wa Kinyerezi Zimbili jijini Dar es Salaam akiweka sawa vifaa mbalimbali kwenye banda lake la kilimo ambamo amepanda nyanya. Dk. Mlote anatekeleza kilimo hai kupitia mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU KIKWETE AFURAHIA DARAJA JIPYA LA NYERERE (KIGAMBONI)

Rais Msataafu Dkt Jakaya kikwete akifurahia uzuri wa daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea daraja hilo hivi karibuni.Rais Msataafu Dkt Jakaya kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GREEN VOICES WASAIDIA KILIMO CHA UYOGA DAR

Bi. Esther Chiombola akionyesha uyoga ambao uko tayari kuvunwa. Uyoga huo unalimwa na kikundi cha Tunza Women Group cha Bunju jijini Dar es Salaam kwa ufadhili wa mradi wa Green Voices (Makala na Picha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI LEO TAREHE 11/05/2016

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (kushoto) akifurahi na Wabunge wenzie nje ya Bunge mjini Dodoma.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUTUMIA MIFUMO YA KIUTENDAJI

Mkurugenzi Idara ya Uchambuzi na Ushauri Kazi Bw. Mick Kiliba (katikati) akifungua kikao kuhusu Ufuatiliaji wa Mifumo na Viwango vya Taasisi za Umma nchini kilichofanyika ukumbi wa Utumishi.Wawakilishi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAFIRI MPYA WA MABASI YA MWENDO KASI DSM WAPOKELEWA KWA HISIA TOFAUTI

Na Lorietha Laurence-MaelezoBaada ya kuanza rasmi kwa mabasi ya mwendo wa haraka Jijini Dar es Salaam wananchi wameupokea kwa maoni tofauti huku wengi wao wakisifia hatua hiyo ya serikali katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KUONGEZA MBEGU ZA MAZAO YA MAFUTA

Na Benedict Liwenga, MAELEZO, Dodoma.SERIKALI kwa kushirikiana na na Sekta Binafsi nchini imeandaa mikakati inayolenga kuongeza tija na uzalishaji wa mbegu za mazao ya mafuta hususan zao la alizeti...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live