Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMOJA NA MSHIKAMANO NDIO SIRI YA MAFANIKIO BARA LA AFRIKA – NDUGAI

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilihutubia Bunge la Afrika (Pan African Parliament) kuwasilisha Ujumbe wa Mshikamano kwa wabunge wa Bunge hilo wakati wa Ufunguzi wa rasmi wa Mkutano wa Pili wa Bunge...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma. Kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA NCHINI (TIRA) YAKUTANA NA WADAU WAKE MBEYA

Meneja wa Kanda Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Nchini (TIRA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Ndugu Hiraly Maskini akifungua Mkutano wa wadau wa soko la Bima kutoka Mikoani ya Nyanda za Juu Kusini (hawapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AKUTANA NA NAIBU MKURUGENZI WA GATES FOUNDATION YA MAREKANI

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akizungumza na Naibu Mkurugenzi Kanda ya Afrika wa Gates Foundation ya Marekani, Haddis Tadesse, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YAZINDUA HUDUMA TOTO AFYA KADI

Meneja Huduma za Dawa Michael Kishiwa kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF) akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu huduma mpya ya mfuko huo iitwayo “Toto Afya Kadi” inayohusisha watoto wenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUHUMA DHIDI YA CHUO CHA IFM KUHUSU UTAFUNAJI MAMILIONI YA FEDHA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WANAWAKE WA UPINZANI WASUSIA BUNGE, WAPINGA KUITWA 'BABY'

Mtafaruku mpya umetokea kwa mara nyingine tena Bungeni ambapo wabunge wanawake kutoka vyama vya upinzani kutolewa bungeni kutokana na kupinga kudhalilishwa ambapo Wabunge hao walisimama mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWAKYEMBE:UBAKAJI UMEZIDI KUWA TISHIO KWA WATANZANIA

Serikali imekiri kuwa sasa vitendo vya kubaka na kulawiti vimefikia mahali pabaya ambapo matukio 19 kwa siku yamekuwa yakiripotiwa nchini.Pia katika kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huujumla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA LUCY KIBAKI, KENYA

 Mwili wa mke wa aliyekuwa rais wa Kenya Mwai kibaki , mama Lucy Kibaki ukiwasili kwa hapo jana katika eneo la Bunge la Odhaya kaunti ya Njeri,mjini Nairobi nchini Kenya.Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JOHN MAGUFULI AWATAKA WATAZANIA WAMUOMBEE AMALIZE KERO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya Toleo la Bwana jimbo la Arusha leo Mei 8,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET YACHUKUA UBINGWA WA BONANZA LA FASTJET SPORT EXTRA

Wachezaji wa Timu ya fastjet (wenye jezi nyeusi) wakichuana na wachezaji wa timu ya Diamond Trust Bank(DTB) wakati wa mashindano ya bonanza la fastjet sports Extra katika viwanja vya TCC Chang’ombe,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WA WILAYA YA SHINYANGA AKABIDHI HATI 92 ZA KIMILA

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Josephine Matiro akimkabidhi Anna Kadilana mkazi wa kijiji cha Nyida hati yake ya hakimiliki ya kimila. Anna alisema, "Nimeamua kukata hakimiliki kwa sababu ya kukwepa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJASIRIAMALI ALIYEWEZESHWA NA AIRTEL FURSA AISHUKURU AIRTEL

 Kijana mjasiriamali Diana Moshi (Kulia) akimkabidhi keki Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano Airtel, Beatrice Singano Mallya (Kushoto) kama shukrani yake kwa Airtel baada ya kuwezeshwa kupitia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA INJILI WANUFAIKA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)

Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Joyce Hagu akizindua kujiunga kwa wanachama wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA) katika...

View Article

TAMKO KUHUSU KIPINDUPINDU NCHINI LILILOTOLEWA NA WAZIRI WA AFYA TAREHE 9 MEI,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: ANKAL ISSA MICHUZI AFIWA NA MWANAE

Ankal Issa Michuzi anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Maggid Muhidin kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini, alikokuwa masomoni.Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu inafanywa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA MAJI KUJADILI RASILIMALI ZA BONDE LA MTO RUFIJI

Na Jacquiline Mrisho MAELEZOWizara ya Maji na Umwagiliaji imeandaa warsha kwa wadau wake juu ya tathmini ya kimkakati ya athari za kimazingira na jamii juu ya mpango jumuishi wa usimamizi na maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAHAMASISHWA KUNUNUA DHAMANA ZA SERIKALI

Frank Mvungi-MaelezoBenki Kuu ya Tanzania imewataka wananchi kununua dhamana za Serikali ili kuchangia katika kukuza uchumi wa Taifa.Kauli hiyo imetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILOLE FEAT BARNABA SAY MY NAME

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK AAGWA LEO NA MABALOZI WAPYA WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA URUSI

Balozi mpya wa Tanzania nchini Japan, Balozi Mathias Chikawe akisaini kitabu cha wageni, alipofika kumuaga Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live