Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRICKSTER YALETA SHINDANO LA BIASHARA NCHINI, YASHIRIKISHA NCHI 5

Na MaelezoKampuni ya Kijapani inayofanya shughuli zake nchini (Trickster) imeandaa shindano la wazo la biashara litakalozishirikisha nchi tano za Afrika zikiwemo Kenya,Rwanda,Zambia,Zimbabwe na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA UJUMBE WA KAMATI YA FEDHA YA BUNGE LA FINLAND

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba hii leo amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Kamati ya Fedha ya Bunge la Finland.PICHA: Waziri wa Nchi Ofisi ya...

View Article


HAWA NI WATEULE WA TUZO ZA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI TANZANIA (EJAT) 2015

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL WAKUTANA NA MABALOZI WAO AMBAO NI WASANII WA NAVY KENZO

Airtel yaleta 'Jipimie Yatosha YakoAirtel Tanzania' katika mpango wake wa kutoa uhuru zaidi kwa wateja wake imetangaza kifurushi kipya kupitia huduma yake ya vifurushi vya Airtel Yatosha kijulikanancho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YAKANUSHA KODI YA NG’OMBE ILIYORIPOTIWA NA UWAMINAKI

Na MAELEZOWizara ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi imekanusha kodi ya ng’ombe iliyoripotiwa na Umoja wa wafanyabiashara wa Mifugo na Mazao yake wa Wilaya ya Kinondoni. Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu...

View Article


TAARIFA KUHUSU WATUMISHI WALIOFUTWA KATIKA ORODHA YA MISHAHARA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 32 YA KIFO CHA SOKOINE

Rais Mstaafu Mzee Benjamin William Mkapa akimaliza kuweka saini katika kitabu cha Kumbukumbu ya miaka 32 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya Ibada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAWAKALA WAVAMIA MOSSACK FONSECA KUHUSU SUALA LA BIASHARA HARAMU(BBC)

Mawakala wavamia Mossack FonsecaImage caption Mossack Fonseca imeshutumiwa kwa kuepuka kulipa kodi na ulaghai.Mawakala kutoka afisi ya mkuu wa sheria nchini Panama wamevamia jengo la kampuni ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BABA ASKOFU MSTAAFU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA AMEFARIKI USIKU WA...

TANZIABABA ASKOFU MSTAAFU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA MHASHAM ASKOFU MATHIAS JOSEPH ISSUJA AMEFARIKI USIKU WA KUAMKIA LEO HUKO KATIKA HOSPITAL YA MT. GASPAR ITIGI.Matthias Joseph Isuja (amezaliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHINJIO VINGUNGUTI YAFUNGWA KWA UCHAFU

Gazeti la MajiraMAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA), imeyafunga machinjio ya Vingunguti, Dar es Salaam kwa muda usiojulikana kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya uchafu wa mazingira na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA AFUNGUA KONGAMANO LA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA OMAN

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Kongamano la Uwekazaji kwa Wafanyabiashara baina ya Tanzania na Oman kuhusu kuangalia fursa za uwekezaji katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA YATETEA MSIMAMO WAKE KUHUSU KUWARUDISHA WATAIWAN NCHINI CHINA

Na Mwandishi WetuKenya imesema inaendela na msimamo wake juu ya suala la kurudisha kundi la Wataiwan nchini China, tendo ambalo limechukuliwa kama mwanzo wa uhasama.“wamekuja kutoka China na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI AIRTEL WAINGIA MTAANI KUTOA ELIMU YA HUDUMA MPYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Bw, Sunil Colaso akiongea na wateja wa Airtel mkoani Morogoro leo kuhusu huduma mpya ya Jipimie Yatosha yako iliyozinduliwa mwazoni mwa wiki hii. Airtel ilizindua huduma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE BRYANT KUSTAAFU, ATAENDELEA KUHESHIMIKA KATIKA MICHEZO

Kobe Bryant, aliyeisaidia timu ya Lakers kushinda mara tano kwa kunyakua makombe ya NBA katika miaka 20 ya kucheza mpira wa kikapu Los Angeles nchini Marekani, alitangaza rasmi siku ya jumapili katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUBENEA AFUNGWA MIEZI MITATU KWA LUGHA YA MATUSI DHIDI ALIYEKUWA DC KINONDONI

Mhe. Said Kubenea- Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA).Na. Raymond Mushumbusi- Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mbunge wa Ubungo (CHADEMA) Saeed Kubenea kifungo cha nje cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO CHA ARDHI CHAELEZA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA DSM JINSI YA KUJIUNGA

Mtaalam wa Jiografia kutoka Chuo Kikuu Ardhi Dkt. Mlenge Fanuel Mgendi akiwahamasisha wanafunzi wa kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani kupenda kusoma na kuweka bidii katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHAMA CHA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (TUMA) CHATANGAZA KAMATI YA UTENDAJI

Katibu Mkuu Chama cha muziki wa kizazi kipya, Tanzania Urban Music Association(TUMA) Samuel A. Mbwana(Braton) kulia, akielezea mikakati ya chama hicho katika kuboresha ufanisi na utendaji wa chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA TANZANIA WATEMBELEA THE GUARDIAN

NA K-VIS MEDIA/Khalfan SaidWabunge wa bunge la Arika Mashariki, (EALA), kutokaTanzania, wameendelea na ziara yao ya kutembelea vyombovya habari hapa nchini, ikiwa ni mkakati wa Jumuiya hiyo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BI. KIDUDE KUENZIWA KWA FILAMU YA MAISHA YAKE

 Mtayarishaji na Muongozaji wa filamu mbili za “Maisha ya Bi. Kidude” na “Kifo cha Bi. Kidude”, Bw. Andy Jones akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SENDEKA AWASILI MKOANI KILIMANJARO LEO

Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Deogratius Ruta alipowasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro, mjini Moshi leoMjumbe wa NEC na Ofisa Mwandamizi...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live