Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA KUWASILI NCHINI LEO USIKU

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kinatarajiwa kuwasili leo saa 8 usiku katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. JK Nyerere...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAANDAA MSAFARAKUPINGA UJANGILI NA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI

Mkurungezi mtendaji wa Bongo Ride Idrisa Magesa akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuelezea makamilisho ya maandalizi ya msafara wa hisani wa magari uliopewa jina Bongo Ride Charity...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

REA:HATUTEGEMEI MSAADA WA MCC

Wakala wa Nishati Vijijini (REA)imesema  haitaathirika na kusitishwa kwa msaada wa mamilioni ya fedha uliokuwa utolewe na Shirika la Maendeleo la Milenia (MCC), hivyo mradi huo utaendelea kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WATATU WABURUZWA MAHAKAMANI KWA RUSHWA

Taasisi ya kuzuia na kupambana  rushwa tanzania  (TAKUKURU ) imewafikisha mahakamani wabunge watatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM),kwa tuhuma za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAPOKEA MSAADA KUTOKA JAPAN

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini hati mbili za makubaliano na Serikali ya Japan itakayoiwezesha Tanzania kupata kiasi Yen Bilioni 6 ambazo ni sawa na Sh. Bilioni 116.4 za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, AZUNGUMZA NA MAKATIBU WA MATAWI NA KATA WILAYA

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rajab Luhwavi akiwasalimia baadhi ya viongozi baada ya kuwasili Ofisi za Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma, leo Aprili 3, 2016, kuzungumza na Makatibu wa CCM wa matawi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPAMBANO WA SERENGETI BOYS v THE PHARAOHS ELFU MBILI TU

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kiingilio cha shilingi elfu mbili tu (2,000) kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa kirafiki wa kimataifa kati ya Serengeti Boys (Tanzania U17)...

View Article

CUF YATOA TAMKO KUFUATIA MAAZIMIO YA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA LA CHAMA

View Article


SERIKALI YASEMA WAHISANI WATAENDELEA KUISAIDIA TANZANIA KATIKA BAJETI KUU YA...

Na MAELEZOTamko hilo limetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa hivi karibuni Jijini Dar es salaam.Taarifa hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET YATOA ZAWADI SHINDANO LA PASAKA

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamJUMLA ya washindi 12 wamepewa tiketi za bure za safari ya ndege katika shindano lililodhaminiwa na Festjet Tanzania.Tiketi hizo ambazo zitawawezesha kusafiri katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO 9 MUHIMU YA KUFAHAMU KUHUSU UKATILI KWA WATOTO

Afisa wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Asha Sarota akiwasilisha mada katika mafunzo ya waandishi wa habari kuhusu zana ya mawasiliano kuzuia ukatili dhidi ya watoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DTB YAVUNA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 27.3 MWAKA 2015

Diamond Trust Bank Tanzania, (DTB), imetangaza mafanikio makubwa katika matokeo ya biashara kwa mwaka 2015. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa DTB inakua kwa kasi ukilinganishwa na ukuaji katika sekta ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FASTJET YASITISHA SAFARI KILIMANJARO-NAIROBI

Dar es Salaam, Aprili 4, 2016 -Fastjet Tanzania imesitisha safari zake kati ya Kilimanjaro na Nairobi.Fastjet ilikuwa ikifanya safari kutoka Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwenda Uwanja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAKIKISHA HUKOSI HII, NI MOTO WA KUOTEA MBALI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI MKWAKWANI JUMAPILI HII – Mbeya City Council FC

NYOTA 18 wa kikosi cha Mbeya City Fc sambamba na viongozi 7, alfajiri ya leo, wamewasili salama jijini Tanga tayari kwa mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Mgambo JKT uliopangwa kuchezwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI ATOA AAGIZA KIWANJA CHA TBC KUPATIWA HATI.

Na WHUSMNaibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia Wambura amemuagiza Meneja wa Miradi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC ) Bw. Mackselin Chota kuhakikisha kiwanja Na.1...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DROO YA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO KESHO LIVE

Droo ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), inatarajiwa kufanyika kesho Jumanne saa 3 usiku moja kwa moja (live) kupitia kituo cha luninga cha AzamTwo.Hatua ya Nusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANNA KILANGO MALECELA ATENGULIWA UKUU WA MKOA WA SHINYANGA

Ikiwa ni muda mfupi tu tangu ateuliwe kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Rais John Pombe Magufuli amemfukuza kazi Anne Kilango Malecela (Pichani) ya Ukuu wa Mkoa wa Mkoa huo kwa madai kuwa alitoa taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA RASMI YA RAIS MAGUFULI KUTENGUA UKUU WA MKOA WA SHINYANGA

SOMA ZAIDI...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFRIKA: BEI ZA CHINI ZA BIDHAA ZINAENDELEA KUKWAMISHA UKUAJI UCHUMI

WASHINGTON, Aprili 11, 2016 — Shughuli za kiuchumi katika bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara zilidorora katika mwaka 2015, wakati ukuaji wa Pato Ghafi la Taifa ukiwa wa wastani wa asilimia...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live