![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli na viongozi wenzie wakisimama wakati wimbo wa Jumuiya ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Dharula wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 8, 2016
![]()
Sehemu ya waliohudhuria wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Jumuiya ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Dharula wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 8, 2016
![]()
Ujumbe wa Burundi
![]()
Sehemu ya mabalozi wa nchi mbalimbali wakiwa mkutanoni hapo
![]()
Wageni kutoka nchi wanachama
![]()
Mabalozi wa nchi mbalimbali wakiwa mkutanoni hapo
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano. Anafuatiwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda, Mwakilishi maalum wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko
![]()
Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba (kati) na Katibu Mkuu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) wakiwa na viongozi wastaafu wa Jumuiya
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano. Kushoto kwake ni Rais Paul Kagame wa Rwanda, Mwakilishi wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein. Kulia kwake ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda, Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto na mwakilishi wa Rais wa Burundi na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Balozi Alain Aime Nyamitwe
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongoza mkutano akiwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akihutubia mkutano huo
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiendelea na hotuba yake
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akipigiwa makofi na wahudhuriaji
![]()
Sehemu ya mabalozi wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli
![]()
Wanahabari wakirekodi hotuba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akihutubia
![]()
Dkt Mussa Lulandala wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam alikuwa nyota wa mkutano kwa kuweza kufasiri kwa ustadi wa hali ya juu hotuba zote kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili na Kiswahili kwenda Kiingereza
![]()
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Balozi Liberat Mfumukeko
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea jambo na Rais Paul Kagame
![]()
Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo akila kiapo katika mkutano huo.
![]()
Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo akitoa heshima meza kuu baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Rais Paul Kagame wa Rwanda akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Viongozi na wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimshangilia Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Viongozi na wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimpongeza Naibu Katibu Mkuu wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Manaibu Makatibu wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimpongeza Naibu Katibu Mkuu mpya wa Jumjuiya ya Afrika Mashariki (atayesimamia Utawala na Fedha) Mhe Christophe Bazivamo baada ya kula kiapo katika mkutano huo.
![]()
Sehemu ya waliohudhuria
![]()
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akihutubia
![]()
Rais Paul Kagame wa Rwanda akiongea machache
![]()
Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akizungumza machache
![]()
Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto akisisitiza jambo
![]()
Mwakilishi wa Rais wa Burundi na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Balozi Alain Aime Nyamitwe akiongea machache
![]()
Mwakilishi wa Rais wa Sudan ya Kusini Mhe Aggrey Tisa Sabuni akishukuru kwa nchi yake kukubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Jumuiya
![]()
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiongea machache ikiwa ni pamoja na kukumbushia umuhimu wa Sudan ya Kusini kuwa mwanachama wa Jumuiya kwani awali nchi hiyo ilikuwa kiungo muhimu kwa nchi wanachama
![]()
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiendelea kuhutubia
![]()
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo
![]()
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mfumukeko akisoma maazimio ya mkutano
![]()
Meza kuu wakisaini na kuridhia maazimio ya mkutano
![]()
Wimbo wa Jumuiya ukipigwa kuashiria mwisho wa mkutano
![]()
Wageni mashuhuri wakisimama kwa wimbo wa Jumuiya
![]()
Viongozi wakisalimiana na waalikwa
![]()
Viongozi katika picha ya pamoja na mawaziri kutoka nchi wanachama
![]()
Viongozi katika picha ya pamoja na mawaziri kutoka nchi wanachama
![]()
Viongozi katika picha ya pamoja na wabunge wa Jumuiya hiyo
![]()
Picha ya pamoja na Sekretarieti ya Jumuiya
![]()
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bw. Gerson Msigwa akisimamia shughuli ya picha za pamoja
![]()
Viongozi na wageni mashuhuri
![]()
Viongozi na wageni mashuhuri
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsindikiza Rais Paul Kagame wa Rwanda
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Rutto
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein
![]()
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa wageni baada ya kumalizika kwa mkutano huo. PICHA NA IKULU