PICHA ZINATISHA: MIILI ZAIDI YA 50 YAKAMATWA BUNJU, DSM IKIENDA KUTUPWA
Habari zilizotufikia katika chumba chetu cha habari usiku huu ni kuwa gari dogo lenye usajili T166CAF aina ya Isusu imekamatwa na polisi likiwa na viungo vya binadamu vilivyokuwa vimefungwa katika...
View ArticleMAAJABU: AFUMANIWA, APIGWA SHOKA KICHWANI, BADO YUKO HAI AMELAZWA MWANZA
Jamaa ambaye amelazwa katika hospitali ya Bugando akiwa na shoka kichwani huku ampoteza fahamu kama anavyoonekana pichani, inadaiwa alikumbwa na mkasa huo baada ya kufumaniwa na kupigwa shoka kichwani....
View ArticleHII SASA KALI:WASICHANA WANATUMIA SABUNI KUREJESHA BIKIRA
Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani 'ubikra'. Sabuni hizo zinadaiwa kukaza misuli ya sehemu za uke na hivyo kuimarisha raha wakati wa...
View ArticleNEWS ALERT: MTOTO ALIYEPOTEA KWA KUTEKWA AMEPATIKANA KWA MWIZI
Habari zilizotufikia hivi punde zimesema kuwa mtoto Merlyin(aliyebebwa na mama yake) aliye potea kwa kutekwa amepatikana, mtoto huyo alikutwa kwa mwizi (pichani kushoto) katika enero la Tandale,...
View ArticleNDEGE YAANGUKA NA KUUA ZAIDI YA WATU 40
Ndege ya Abiria ya Kampuni ya Trans Asia ya Taiwan imedondoka wakati ikijaribu kutua kwa dharura na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 40. Waziri wa usafiri wa Taiwan Yeh Kuang-Shih amesema watu 47...
View ArticleDIAMOND NA JAYDEE WAIBUKA KIDEDEA MAREKANI (ANGALIA WASHIRIKI WOTE HAPA)
Wasanii wa Tanzania wenye mashabiki wengi Afrika Mashariki, Lady Jay Dee na Diamond Platinumz, wameitoa Tanzania Kimasomaso kwa kushinda tuzo moja moja katika tuzo za AFRIMA (African Muzik Magazine...
View ArticleANGALIA HII, BAADHI YA WALIOPATA KAZI UHAMIAJI, KAMA HUJULIKANI IMEKULA KWAKO
Angalia haya majina na mahusiano yao na wafanyakazi na baadhi ya vigogo wa Uhamiaji na serikalini1. Abdulhaq Amin Mandemla – Mtoto wa afisa Uhamiaji Amin Mandemla2. Alphonce Kishe – Mtoto wa Afisa...
View ArticleBREAKING NEWS: AJALI MBAYA YA BASI LA MOROBEST YAUA WATU 17 (PICHA 3)
Taarifa iliyotufikia leo asubuhi na kudhibitishwa na District Traffic Officer (DTO) wa Kongwa, kuwa basi la Morobest limepata ajali kwa kugongana na lori semitrailer asubuhi ya leo eneo la Pandambili...
View Article