ANGALIA RIHANNA ALIVYOSHIKWA MAKALIO LIVE MBELE YA WAANDISHI
Hii picha ilipigwa nyuma ya jukwaa juzi ambapo inamwonesha Rhanna akiwa ameshikwa makatlio na mwanamke aliyesimama upande wake wa kushoto. Picha hii ilipigwa katika usiku wa ubunifu wa mavazi...
View ArticleWAKAZI MTAA HUU WANAHITAJI MSAADA HARAKA, MAANA WANAISHI BWAWANI
Pikipiki zikiwa katika maji katika eneo la Kinondoni B, nyuma ya kituo cha basi, kama zinvooynekana pichani juu, kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini. mtaa huo umekuwa bwawa kutokana na kujaa...
View ArticleHAWA NDIO WAREMBO WA REDS MISS DAR CITY CENTER
 Warembo wakiwa wamejipanga jukwaani katika uzinduzi wa mchakato wa kumtafuta mlimbwende wa Reds Miss Dar City Center jumamosi iliyopita katika ukumbi wa Escape1
View ArticleLIWALE HALI MBAYA, UBOVU WA MIUNDOMBINU WALAZA ABIRIA SIKU MBILI BARABARANI
Malori mawili yote aina ya Fuso yakiwa yamefunga njia katika barabara ya kuelekea Liwale, karibu na vijiji vya Nachingwea eneo la Namikange, Wilaya ya Liwale baada ya kukwama kwenye tope lilisababishwa...
View ArticleWAZEE WA MTWARA NA LINDI WALIOKWENDA THAILAND KUJIFUNZA KUHUSU GESI WAMERUDI
Wazee wa Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi wakiambatana na viongozi wa mbalimbali wa dini kutoka katika maeneo hayo wakiwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere (JKNI) leo baada ya kuwasili...
View ArticleWAKATI MVUA INAHARIBU TANZANIA, SRI LANKA WAPATA MVUA YA SAMAKI WADOGO
Wakaazi wa kijiji kimoja Magharibi mwa Sri Lanka wamesema kuwa wameshangazwa na pia kufurahishwa na tukio la 'kunyeshewa' na mvua ya Samaki wadogo.Samaki hawa ambao walikuwa katika hali nzuri ya kuweza...
View ArticleBAADA YA VYAMA VYA SIASA KUKAGULIWA, HAYA NDIO MADUDU YALIYOGUNDULIKA
CAG - mambo yaliyojitokeza kwenye ukaguzi wa Vyama vya Siasa1. Vyama vya siasa 11 kati ya 21 havikuwasilisha taarifa za hesabu zao kwa mujibu wa sheria namba 5 ya mwaka 19922. Taarifa za hesabu za...
View ArticleHALI NI MBAYA NJIA YA MTWARA, MAGARI ZAIDI YA 100 YAKWAMA SIKU 3 (ANGALIA...
 Wakina mama wa kifanya biashara ya mama lishe ili kuwahudumia abiria na watu mbalimbali waliokwama katika eneo la Manzese Somanga.Chini : Msururu mrefu wa magari zaidi ya 100 yanayo kwenda Lindi...
View ArticleFASHIONISTAS: MARIAH CAREY AVALISHWA NA ROBERTO CAVALLI,ANGALIA CATWALK YA DIOR
JUU: Stage ya maonesho ya ubunifu wa nguo za mbunifu maarufu duniani Dior katika "Dior Cruise 2015", fashion show ilifanyika jana, jijini New York, nchini MarekaniChini ni kazi ya mbunifu Roberto...
View ArticleMESSI NI MCHAWI, ANGALIA JINSI ALIVYOWAGARAGAZA WAFUNGAJI WENZIE DUNIANI
Angalia jinsi wachezaji wakali waliviweka rekodi duniani, na hiyo ndio inamfanya Messi aonekane mchawi.Juu pichani ni rekodi ya wafungaji bora duniani katika miaka tofauti, Messi ameweka rekodi kali...
View ArticleDIAMOND NA WEMA SEPETU LIVE ON STAGE, HUU UTARATIBU UMEWAACHA HOI WENGI
Hii ilikuwa ni siku ya Kilimanjaro Music Award, Diamond alipokea tuzo 7 na kama anavyoonekana pichani akiwa amegandana kimwili na midomo kimahaba kama njia ya kupongezana.Nini mawazo yako…Tafadhali...
View ArticleDIAMOND AINGIZWA MJINI MCHANA KWEUPEEE...
Msanii wa musiki wa kizazi kipya Diamond Platnums (Pichani Juu) Â amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzidiwa spidi na wajanja ambao walirelease nyimbo yake baada tu ya kurekodi na wakati bado haija...
View ArticleDIAMOND AZIDI KUPAA KATIKA FANI YA MUZIKI, YUKO BET SASA ANAWANIA TUZO
Msanii wa maarufu wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania, Diamond Platnumz (pichani Juu) amezidi kuchana anga za muziki duniani kwa kuingia na kutajwa katika kinyang'anyiro cha tuzo muhimu zaidi...
View Article