JAMII YASHAURIWA KUACHA TABIA YA KUWANYANYAPAA WAJANE
Jamii imeshauriwa kuacha tabia ya kuwanyanyapaa wajane na watoto kwa kuwanyanganya mali zilizoachwa na ndugu zao pindi wanapokufa kwani kufanya hivyo ni unyanyapaa wa kijinsia.Wito umetolewa na Dkt....
View ArticleHII KIBOKO DUH…WAOGESHWA LIVE MTAANI, SI MCHEZO
Makonda wa matatu walilazimishwa kuoga hadharani kwa kinachaodaiwa wananuka. Wateja wamekuwa wakilalamika kwamba makonda hawa wananuka na hivyo kuathiri biashara. Makonda hao waliogeshwa huku wadau...
View ArticleTAHADHARI: PICHA ZINATISHA, WANAJESHI WANAVYOMTESA MTUHUMIWA
Katika tukio la kutisha, wanajeshi wa jeshi la Jamhuri ya Afrika ya Kati kwanza walimchoma visu na kisha kumshushia mawe makubwa mtu aliyetuhumiwa kuwa ni mfuasi wa kundi la waislamu wa SELEKA. Kitendo...
View ArticleMUME AMNASA LIVE MCHUNGAJI AKIZINI NA MKEWE, AMPIGA PICHA
Mmoja wa vigogo na kiongozi wa kanisa la Seraphim Movement duniani, ambaye pia ni maarufu kama mtume I.T. Adewoye (Pichani) amehusishwa na tuhuma ya ngono hivi karibuni wakati ambapo mambo yanaendelea...
View ArticleBREAKING NEWS: SUALA LA OKWI NA YANGA LIMEKWISHA, SOMA HAPA
Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limemuidhinisha mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi kuchezea klabu ya Yanga ya Dar es Salaam .Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Dar es Salaam leo, Katibu...
View ArticleGIRLFRIEND WA TAJIRI ABRAMOVICH AIPATA FRESH, KISA ANGALIA PICHA
Hawara wa tajiri bilionea na mmiliki wa klabu ya mpira wa miguu ya Chelsea, Roman Abramovich, Dasha Zhukova (PICHANI JUU) amewashiwa moto baada ya kuweka picha yake akiwa amekalia kiti kilichochongwa...
View ArticleURAIS 2015, VIGOGO 3 CCM WAWEKWA KITIMOTO, WENGINE KESHO
Kamati ndogo ya maadili ya CCM imekutana Dodoma na kuwahoji wanachama watatu wa chama hicho wanaodaiwa kutangaza nia ya kugombea Urais na kuanza Kampeni za Uchaguzi ujao wa mwaka 2015 kinyume na...
View ArticleNANI ZAIDI LEO: UTAFITI KUHUSU VALENTINE NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Huu ni utafiti uliofanywa na shirika la Ipsos, utafiti huu ulilenga watu wenye umri wa zaidi ya miaka 18 katika miji mikubwa ya nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda ili kujua uelewa kuhusu suala zima...
View ArticleHII IMEKAAJE? HII NDIO TIMU YA TAIFA YA USWISS BILA WAHAMIAJI
Timu ya taifa ya Uswiss ukishaondoa wahamiaji, yaani wachezaji kutoka nje ya nchi hiyo, wanabaki wanne tu. Swali laweza kuwa ni kwamba hiyo nchi haina wachezaji wenye viwango au wakishinda kombe la...
View ArticleMAJANGA: ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 ILI KUFANANA NA SHETANI
Kweli duniani kuna mambo, watu wanatumia hela nyingi kufanana na midoli (Barbie), wengine kuchubua ngozi zao mpaka kuwa wazungu, nimeona pia watu wanatumia hela nyingi sana kubadili maumbile yao.Hii...
View ArticleRAIS KIKWETE AKIWA CNN KWENYE MAHOJIANO LIVE
Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mtangazaji wa CNN, Christiane Amanpour muda mfupi baada ya kipindi cha mahojiano CNN London jana jioni. Katika mahojiano hayo yaliyohusu biashara haramu ya...
View ArticleDUNIANI KUNA MAMBO, AWEKEWA PUA KWENYE PAJI LA USO
Huyu jamaa mnaemuona kwenye picha hii ana miaka 22 ni mchina anaitwa Xiaolian. Xiaolian alipata ajali mbaya sana mwaka 2002 na kuahribu mfumo wa pua yake na kushindwa kupata matibabu ambayo yangeweza...
View ArticlePEMBE ZA NDOVU ZAZIDI KUNASWA NCHINI
Mtwara,Watu watatu wakazi wa jijini Dar Es Salaam wamekamatwa na meno ya tembo katika Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara, yenye thamani ya shillingi milioni 700.Akizungumza ofisini kwake kwa niaba ya...
View Article