Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHINDI APIGWA NA WAHADHIRI WENZIE ST.JOSEPH UNI. SONGEA

ASINDIKIZWA DAR NA ULIZNI WA POLISIARUDI KWAO BAADA YA SHINIKIZO LA WANAFUNZISongeaKatika hali hisiyo ya kawaida siku chache zilizopita tangu wanafunzi wa chuo kikuu cha St. Joseph walipoandamana na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA AONGEA NA WAMAREKANI, HAYA NI BAADHI YA ALIYOSEMA

ANGALIA ZAIDI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ASHIRIKI KUKATA NYASI, MAANDALIZI MIAKA 37 YA CCM

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kuboresha uwanja wa Sokoine ikiwa sehemu ya maandalizi ya sherehe za miaka 37 ya CCM zitakazofanyiaka kitaifa mkoni Mbeya tarehe 2 Februari na...

View Article

SUPERSTAR VIN DIESEL KAMA BEYONCE, ANGALIA VIDEO UTACHEKA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: KIBANDA NA MAKUNGA WAACHIWA HURU

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba Wahariri, Absolom Kibanda (New Habari) na Theophil Makunga (Mwananchi Communication - ALIEINUA MKONO) na mwandishi Samson Mwigamba wameachiwa huru na Mahakama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: JRNGO LAWAKA MOTO KAMATA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 30/01/2014, KIBANDA, MAKUNGA KIDEDEA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA AMVISHA NISHANI OPRAH KATIKA BIRTHDAY YAKE

HAPPY BIRTHDAY OPRAH

View Article


POLISI TABORA WATUHUMIWA KUUA RAIA

Tabora Jeshi la Polisi mkoani Tabora limeingia matatani baada ya kudaiwa kumpiga hadi kumuua mfanyabiashara mmoja katika soko la Kachoma, Manispaa ya Tabora, Amani Msimbe kwa kosa la kudaiwa shilingi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANGA LA KUTISHA: 4 MBARONI KWA KUKUTWA NA KICHWA CHA MTU KWENYE SUFURIA

SumbawangaJeshi la polisi mkoani Rukwa linawashikilia watu wanne kwa tuhuma ya mauaji ya mwanamke mmoja aliyeuawa na kichwa chake kuwekwa kwenye sufuria ya kupikia ugali kasha kuwekwa kwenye uwanja wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 31/01/2014,MALECELA Vs LOWASA, NANI ZAIDI?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA NA RWANDA, KUNA NINI HAPA HATUKIELEWI?

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUbalozi wa Tanzania katika Rwanda usiku wa jana, Jumatano, Januari 29, 2014 ulitoa taarifa kwa vyombo vya habari ikikanusha habari za uongo na uzushi ambazo ziliandikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDIO STORY YA UONGO YA GAZETI LA RWANDA KUHUSU KIKWETE

Ex-Pm Twagiramungu Confirms Reports Of Secret Tanzania TripThe ex-PM Faustin Twagiramungu (2nd from right) with RDI Rwanda Rwiza group leaders inside the conference hall in Lyon. News of Rwanda has...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII KIBOKO: TANZANIA PIA KUNA BARAFU (SNOW) ANGALIA PICHA HIZI

 Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma akiwa amepozi kwenye barafu kufuatia mvua za mawe zilizokuwa zinaendeleawilayani humo hivi karibuni kama anavyoonekana.Chini: ni eneo lililodondokewa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TAREHE 01/02/2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOHAMMED TRANS YAUA ASKARI POLISI WATANO JANA

Dodoma. ASKARI watano wa Jeshi la Polisi mkoani hapa walifariki dunia papohapo baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria mali ya kampuni ya Mohamed Trans usiku wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO TAREHE 03/01/2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHOGA KUWAKILISHWA BUNGENI, WATATEUA MGOMBEA WAO

Shughuli ya kupiga kura Afrika KusiniChama kipya kinachowatetea wapenzi wa jinsia moja kitasimamisha wagombea nchini Afrika Kusini mwaka huu.Msemaji wa chama hicho cha Equal Rights, Michael Herbst...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOYES ANENA KUHUSU MAN UNITED, ANGALIA ALICHOSEMA HAPA

Man u 1 Stoke 2Meneja wa Manchester United David Moyes anahisi kuwa klabu yake isingekosa bahati hivyo kiasi cha kupata kichapo cha mabao mawili kwa moja dhidi ya Stoke City.Ni mechi yao ya nane...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIILI YA ASKARI WALIOUAWA NA MOHAMMED TRANS YASAFIRISHWA

DodomaMiili ya askari watano wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma waliofariki kwa ajali ya gari juzi,jana iliagwa na kusafirishwa kuelekea nyumbani kwao.Akizungumza na waombolezaji katika ibada ya kuaga...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live