Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

VIDEO: NUMBER 1 REMIX YA DIAMOND HII HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP MPYA AKUTANA NA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Ernest Mangu (kushoto) akimfafanulia jambo Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia) kuhusiana na masuala mbalimbali ya uboreshaji...

View Article


VIDEO : MAKOMANDO - KIBABABABA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANGI NOMA: 37 WAPOTEZA MAISHA SIKU MOJA TU BAADA YA KUHALALISHWA

Imebidi serikali ifikirie upya uamuzi wake wa kuhalalisha uvutaji bangi baada ya watumiaji kuzidisha kiwango cha matumizi mpaka kusababisha vifo, kwa mujibu wa mtandao wa daily currant.Kwa mujibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KACHAFUA MAGAZETI LEO, HEBU ONA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKONO: GARI NILITOA NDIO, KWA ZITTO NA MBOWE

Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono (Kushoto Pichani) ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe.Hatua hiyo ya Mkono imekuja baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TULIPOFIKA SASA BASI: MKE AUA MUME, KISA 25,000/-

SingidaMkazi moja wa Kijiji cha Ntewa Kata ya Ntuntu wilayani Ikungi Mkoa wa Singida Juma Abdalah (44) amefariki dunia baada ya kupigwa kwa kipande cha mti usoni na mke wake baada ya kumtuhumu kumwibia...

View Article

HAPA WANANCHI HAWAJAIELEWA EWURA

 MoshiMamlaka ya Majisafi na Majitaka Mjini Moshi (MUWSA), imeiangukia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), ili kurejesha tozo ya huduma ya majitaka kwa wananchi baada ya kubaini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII KIBOKO: BIRTHDAY YA MICHELLE OBAMA, KULA KABISA KABLA,HAKUNA MSOSI

Washington, USA.Wageni wote watakao hudhuria hafla ya kusherehekea miaka 50 ya kuzaliwa ya mke wa raisi wa Marekani, Michelle Obama katika Ikulu ya Marekani (White House) hawatokula chakula cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ONA HII: RAISI WA TFF AMUUNGA MKONO WAZIRI MEMBE

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

M/KTI CHADEMA APIGWA, ATOLEWA KUCHA KISHA KUTUPWA

(Via Milladayo.com) Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Temeke Joseph Yona amepigwa na watu wasiojulikana na kisha kutupwa kwenye eneo la Ununio kwenye Magorofa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YAONGELEA SUALA LA M/KITI KUTEKWA, KUPIGWA NA KUTUPWA

View Article

DUH: AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU

MbeyaWatu wawili wamefariki dunia Mkoani Mbeya likiwemo la mkazi wa kijiji cha Igundu Kata ya Sangambi Tarafa ya Kiwanja Wilayani Chunya, Paul Mwashemele(57) kuwawa kwa kuchomwa kisu tumboni baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO 08/01/2014 NI ZITTO TENA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI ZITATUMALIZA, HII MBAYA IMETOKEA HIVI KARIBUNI

Hivi karibuni imetokea ajali mbaya katika eneo la KINGOLUWIRA MADAFU kilometa 11 kutoka Morogoro kuelekea Dar es salaam majeruhi wawili, dereva mmoja wa lori amekufa hapo,Juu lori lilobeba mbao baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII INATISHA: SAMAKI AINGIA TUMBONI MWA MTOTO WA MIAKA 12

BundaMAISHA ya mtoto mwenye umri wa miaka 12, mwanafunzi wa darasa la tano, shule ya msingi Bwanza (jina tunalo), wilaya ya Bunda mkoani Mara yako hatarini baada ya samaki aina ya sato kumrukia na...

View Article

KUFURU: AMBAKA DADA YAKE, AUWAWA NA MWANAYE

NachingweaMkazi wa mmoja wa kijiji cha Nang’ondo, Wilaya ya Nachingwea,  anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kumuua baba yake mzazi katika harakati ya kumwokoa shangazi yake aliye alikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKOLA AKAMATIWA SINGIDA NA RUNDO LA HELA FEKI

Singida. Jeshi la Polisi mkoani Singida linamshikilia mtu moja Toyi Wagela maarufu kama Wakola kwa tuhuma za kupatikana na noti bandia 409 zenye thamani ya zaidi ya sh. 3/=.Kamanda Polisi Mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO 09/01/2014: BADO NI CHADEMA NA ZITTO

ANGALIA ZAIDI…

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NJEMBA YAKAMATWA NA BUNDUKI NA NDEGE

SingidaAfisa Wanyamapori wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida Agustino Lorry (43) amekamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kupatikana na Bunduki mbili na ndege hai 12 aina ya Flamingo vyote vikiwa...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live