Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU AMLIZA MAMA KANUMBA

BAADA ya mama Kanumba Bi. Flora Mtegoa kutunzwa kitita cha sh. laki tano na msanii wa filamu nchini Wema Sepetu, kitendo hicho kilimtoa machozi mama huyo na kudai kuwa kila anapokutana na baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHINDI MISS REDD'S PHOTOGENTICS 2013 APATIKANA

 Mshindi wa Miss Redd's Photogentics (katikati) akiwa amepozi na washiriki waliofanikiwa kuingia tano bora ya miss Photogenitics. Kinyanganyiro hicho kilifanyika juzi katika hoteli ya Giraff Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: MICROSOFT YAINUNUA NOKIA

Kampuni ya Microsoft imeingia makubaliano ya kununua kampuni ya simu za mkononi ya Nokia kwa kiasi cha shilingi trilioni 11.5 (uro bilioni 5.4 au dola bilioni 7.2). Nokia pia itatoa leseni zake za hati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOHAMMED ENTERPRISES YASHINDA KESI DHIDI YA BAKHRESA

Kundi la makampuni ya MeTL imeshinda kesi dhidi ya matumizi ya haki miliki zake dhidi ya makampuni ya Bakhressa. Bakresa sasa itatakiwa kuilipa METL Group kiasi cha shilingi milioni 732 pamoja na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AMEZA SIMU

WIVU wa kimapenzi umemuweka matatani msichana anayeishi nchini Brazil, Adriana Andrade baada ya kuamua kumeza simu yake ya mkononi ili kumzuia mpenzi wake asisome 'message' katika simu yake.Msichana...

View Article


MWANAUME ADHANIWA KUAMBUKIZA VVU

MWANAMUME Richard Thomas ambaye amefungwa gerezani kwa kumbaka mwanamke anasubiri matokeo ya vipimo vyake kama ameambikizwa virusi vya Ukimwi kutoka kwa mwanamke huyo.Bw. Thomas alihukumiwa kifungo cha...

View Article

FEDHA YAMJERUHI MWANAMKE

Mwanamke wa kimarekani amelazwa hospitali baada ya kuumia kooni na tumboni wakati akijaribu kutoa kiasi kikubwa cha fedha alizozimeza kwa kutumia ufagio wa kusafisha choo.Christie Black 43 mkazi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YASITISHA KUFUKUZWA KWA WANAFUNZI WAJAWAZITO

Hukumu ya hivi karibuni ya mahakama ya kikatiba imethibitisha kwamba shule haziwezi kuwafukuza wanafunzi kwa kupata uja uzito.Lakini Afrika Kusini bado inang'ang'ana kukabliana na suala hilo...

View Article


BUNGE LAGEUKA UWANJA WA NGUMI LEO

UKUMBI wa Bunge leo uligeuka kuwa ulingo wa ngumi baada ya wabunge wa kambi ya upinzani kutunishiana  misuri na askari wa bunge hilo ambapo  Kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani Freeman Mbowe alipoamliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUNT EZEKIEL KUKATWA MKONO

MSANII wa filamu za bongo , Grayson Gwantwa Aunt Ezekiel yupo hatarini kukatwa mkono kutokana najeraha la kupigwa chupa lililotokea Agosti 26 mwaka huu Dar es SalaamTukio la Aunt kupigwa chupa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAYDEE KUFANYA COLLAB NA KHADIJA KOPA?

View Article

UTAUMIZA MOYO VIDEO - Tr@st KForce

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AZONTO LIVE IN DAR, FUSE APAGAWISHA MASHABIKI WAKE

 Msanii Snura akicheza sambamba na wacheza shoo wake wakati wa ufunguzi wa shoo ya Azointo live in Dar jana katika viwanja vya Ustawi wa Jamii Msanii H.Baba akitumbuiza jukwaani hapo Kundi la Tip Top...

View Article


MWANAUME KUFUNGA NDOA NA MBUZI

Mwanaume mmoja nchini Brazil anatarajia kufunga ndoa na mbuzi wake ingawa aliahidi kutoikamilisha ndoa hiyo kwa ngono. Bw. Aparecido Castaldo, (74) anatarajia kuoana na kipenzi wake mbuzi aitwaye...

View Article

WANAWAKE ZAIDI YA 26 WAPOTEZA MAISHA KILA SIKU

TWAKIMU za hivi karibuni zinaonesha kuwa Tanzania ni kati ya nchi zinazoongoza kwa idadi kubwa ya vifo votokanavyo na uzazi huku wanawake 26 hupoteza maisha kila siku ambapo vifo hivyo asilimia 19...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UN YAISHANGAA TANZANIA KUWAFUKUZA WAKIMBIZI

Umoja wa Mataifa umesema kuwa takriban wakimbizi elfu 25 kutoka Burundi wameondoshwa Tanzania kwa nguvu katika mwezi mmoja uliopita.Afisa wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia wakimbizi UNHCR...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUALA LA MAPADRI KUOA LAJADILIWA VARTICAN

Suala la mapadri wa Kanisa Katoliki kuoa au la, limeibuka upya na tayari limeanza kuzua mijadala mikali duniani. Mjadala wa sasa umeibuliwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Vatican, Askofu Mkuu Pietro...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

'CHANGUDOA' , OMBAOMBA WAKAMATWA

Ombaomba zaidi ya 200 na wasichana wanaofanya biashara ya ngono maarufu kama ‘dada poa’  usiku wa kuamkia jana walikamatwa kwenye operesheni maalumu ya kuwaondoa katika maeneo mbalimbali ya...

View Article

YANGA YAWASILISHA RUFAA YAKE

Klabu ya Yanga tayari imewasilisha rufaa yake kwa shirikisho la soka nchini TFF juu ya kucheza mchezo wake katika hali isiyokuwa na usalama na kuomba mchezo huo urudiwe katika uwanja wa ugenini kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIMU WAANZA MGOMO UGANDA

Walimu wa shule za msingi na sekondari nchini Uganda wamegoma hii leo ikiwa siku ya kwanza ya muhula wa tatu na wa mwisho mwaka huu kwa wanafumzi.Hii ni baada ya matakwa yao ya kutaka wizara ya elimu...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live