Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIAN ANATOLIA NSEKA KAPUMZIKE KWA AMANI MAMA YETU

Mama Anatolia Nseka enzi za uhai wake Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mama Anatolia Nseka kuingiza nyumbani kwake Tabata Barakuda jijini Dar es Salaam jana baada ya kutoka Hospitali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SINGELI MICHANO YA EFM YAITEKA TABATA

 Msanii Chipukizi wa Muziki wa Singeli nchini akionyesha umahiri wake wa kuimba katika jukwaa la Singeli michano linaloendeshwa na programu ya Mziki mnene na Nje ndani  ya Efm Radio  Mashabiki wa...

View Article


PATORANKING FEAT. DIAMOND PLATNUMZ - LOVE YOU DIE (OFFICIAL VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO ZANZIBAR AFUNGUA MKUTANO WA 34 WA ESAAMLG

Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar Dk Khalid Salum Mohammed akifungua Mkutano wa 34 wa Nchi za Mashariki na Kusini Mwa Afrika (17th ESAAMLG Council of Ministers and 34th Task Force Senior Officials...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE UMMY AZINDUA VITAMBULISHO VYA TIBA KWA WAZEE UBUNGO

PICHANI: Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy A. Mwalimu akizungumza wakati wa uzindua wa Ugawaji wa vitambulisho vya matibabu Bure kwa Wazee katika Halmashauri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA TEKNOLOJIA YA UJENZI

Mkurugenzi wa Barabara toka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi John Ngowi akielezea jambo wakati wa kongamano la pili la majadiliano kuhusu uanzishwaji wa Taasisi ya Teknolojia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTUMISHI: TUVAE MAVAZI YENYE STAHA TUNAPOFUATA HUDUMA MBALIMBALI KATIKA OFISI...

Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Idara ya Ukuzaji Maadili, Ofisi ya Rais-Utumishi, Bi. Leila Mavika (kushoto) akishiriki mjadala kuhusu masuala ya maadili, hususan mavazi kwa watumishi wa umma na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITTA KABATI AIPONGEZA NURU FM RADIO KUANZISHA MASHINDANO YA MAMA MSOSI

PICHANI:Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Ritta Kabati akiongea wakati wa kutambulisha shindano la mama msosi linalolaratibiwa na kituo cha radio Nuru FM 93.5...

View Article


HII NDIO RATIBA MPYA YA LIGI KUU YA VODACOM

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WA NANE WA BUNGE

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUANZA KWA MKUTANO WANANE WA BUNGE __________ Mkutano wa Nane wa Bunge unatarajiwa kuanza kesho Jumanne tarehe 5 Septemba, 2017 na kumalizika tarehe 15 Septemba 2017 Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE AKEMEA WANAFUNZI KUMWAGIA UPUPU WAALIMU

Na Rose Itono,MkurangaMBUNGE wa Jimbo la Mkuranga Mkoa wa Pwani amelaani vikali tabia ya utovu wa nidhamu iliyooneshwa na wanafunzi wa shule ya Msingi Malela kwa kuwamwagia upupu ofisi za walimu wao na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAKABIDHI NYUMBA 2 ZA WALIMU SEKONDARI MTERA

PICHANI: Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Mhe.Jabir Shekimweri, (kushoto), akifungua pazia ikiwa ni ishara ya kuzindua nyumba mpya ya Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Mtera DAM, iliyoko...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOE FALTER ACHAGULIWA KUWA OFISA MTENDAJI MKUU WA JUMIA TRAVEL

Na Mwandishi WetuKAMPUNI inayojishughulisha na huduma za hoteli na tiketi za ndege kwa njia ya mtandao barani Afrika, Jumia Travel imemtangaza Bw. Joe Falter (pichani) kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA KIKUBWA CHA KUCHINJA NA KUSINDIKA NYAMA CHAZINDULIWA MOROGORO (PICHA)

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Pensheni la LAPF (LAPF Pension Fund), Eliudi Sanga, akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) kuhusu uwekezaji mkubwa na ubia wa LAPF na Nguru Hills Ranch, wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIRUKI HOSPITALI YAZINDUA KITENDO CHA KUCHUJA DAMU KWA WENYE MATATIZO YA FIGO

PICHANI: Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHJF), Anne Makinda (katikati), akiongozana na Mwenyekiti wa Bodi ya Kairuki Hospitali, Kokushubila Kairuki (kushoto), wakati wa uzinduzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI UBUNGO ATOA MSADDA WA VITABU SEKONDARI YA MUGABE

Mkuu wa shule ya Sekondary Mugabe Madam Kayumbu akikabidhiwa vitabu hivyo na afisa elimu Neema Maghembe mara baada ya kukabidhiwa na mkurugenzi wa manispaa ya ubungo ndugu John Lipesi Kayombo. Msaada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA MKUTANO WA KUPIGA VITA FEDHA HARAMU NA UGAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mohmoud akiwa na Waziri wa Fedha wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip I Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt, Khalid Salum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POLEPOLE AFURAHISHWA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI PSPF

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Abdul Njaidi, (kushoto), akimkabidhi fomu za kujiunga na Mpango wa Uchangiaji wa Hiari, (PSS), na vipeperushi mbalimbali vyenye taarifa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GROUP LA WHATSAPP LA AFYA YANGU LATOA MSAADA KWA WAJAWAZITO KIBAHA

PICHANI: Msimamizi Mkuu wa Kundi la WhatsAPP la AFYA YANGU, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Kijamii wa Habarika 24, Shabani Lulale (kushoto), akimkabidhi Mbunge wa Kibaha Vijijini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJI MKONGWE ZANZIBAR: DUNIA YA KALE INAPOKUTANA NA YA KISASA

Na Jumia Travel TanzaniaMiongoni mwa majengo yake mengi yakiwa yamejengwa mnamo karne ya 18 na 19, Mji Mkongwe wa Zanzibar bado haujapoteza taswira yake halisi mpaka hivi leo. Na kutokana na muonekano...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live