MAOFISA UGANI WA WILAYA YA BUKOMBE WATAKIWA KUWA NA KUMBUKUMBU ZA KILIMO
PICHANI: Mkuu wa wilaya ya Bukombe,. Joseph Maganga (kulia), akizungumza na maofisa Ugani wa Wilaya hiyo kwenye mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mihogo,Pambana Viazi lishe yaliyoandaliwa na Tume yaTaifa...
View ArticleWILAYA YA GEITA KUTENGA MILIONI 50 YA MAFUNZO KUBORESHA KILIMO
PICHANI: Mkuu wa Wilaya ya Geita Herman Kapufi akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku moja kwa maofisa ugani wa wilayani yake wilayani humo jana yaliyoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na...
View ArticleOFISI YA SECRETARIET YA AJIRA NA UTUMISHI WA UMA YATUMIA TEHAMA KUTOA HUDUMA
 Je unajua jinsi TEHAMA inavyoboresha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa umma katika Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Usikose kuangalia kipindi hiki uone jinsi ambavyo...
View ArticleUCHUMI WA VIWANDA UTAFANIKIWA KWA KILIMO CHA KITAFITI NA TAFITI
PICHANI: Mkuu wa Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, Geofrey Ngupula akizungumza na maofisa ugani na waandishi wa habari wilayani humo leo, wakati akifungua mafunzo ya siku moja ya maofisa ugani...
View ArticleUONGOZI MPYA TAGCO WAKABIDHIWA USUKANI
NA Mwandishi Wetu, Dar es SalaamUONGOZI mpya wa Chama cha Maafisa Mawasiliano wa Serikali, (TAGCO), umekabidhiwa rasmi usukani wa kuongoza taasisi hiyo muhimu katika mawasiloiano ya serikali...
View ArticleKUTANA NA 'TYRESE' WA TANZANIA AITWAYE BANYE
Elias Banyenza nduo jina alilopewa na wazazi wake, lakini unafahamika na wengi kwa jina la Banye. Anapenda kuimba na RnB ndio muziki ana unaoupenda zaidi. Banye alianza kuimba akiwa Sunday Schools na...
View ArticleSGA SECURITY COMES TO THE RESCUE OF ABANDONED PATIENTS AT MOI
PHOTO: Security Group Africa Group (SGA),Managing Director, Eric Sambu (right) handing over donations worth 2.5m/- to the Nursing Director at the Bone Institute (Moi), Ms. Flora Kimaro during a special...
View ArticleASKOFU GAVILLE ASEMA, KATIBA MPYA NDIYO MUAROBBAINI WA UFISADI
PICHANI: Askofu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa, Blaston Gaville (kushoto).KUKAMILIKA kwa mchakato wa uaandaaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleTAMASHA KUBWA LA CASTLE LITE UNLOCKS LAFANA JIJINI DAR ES SALAAM
Msanii Vanessa Mdee akiwa jukwaani akiwakonga mashabiki. Msanii Diamond Platinumz akiwa katika jukwaa la castle lite unlocks akiwakonga wapenzi wa burudani usiku wa kuamkia leoMsanii Casper Nyovest...
View ArticleRIPOTI: HOTELI ZA NYOTA 2 NA 3 HUPENDELEWA ZAIDI NA WATEJA
Na Jumia Travel TanzaniaJe ushawahi kupanga kwamba unataka kwenda kulala kwenye hoteli ya nyota ngapi? Ni vigezo gani ambavyo huwa unavitumia kutambua kwamba hoteli hiyo hadhi yake ni nyota fulani? Ni...
View ArticleSIMBACHAWENE: KILIMO NI MUHIMILI WA UCHUMI TANZANIA
PICHANI: Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe George Simbachawene (MB) akizungumza na Wadau wa kilimo hususani Wakulima, Wafugaji, sambamba na Wananchi wote...
View ArticleVITU AMBAVYO HAURUHUSIWI KUSAFIRI NAVYO KWENYE NDEGE
Na Jumia Travel Tanzania Kama umeshawahi kusafiri kwa ndege naamini utakuwa unafahamu ni kitu gani cha kubeba kwenye begi lako na kipi sio. Endapo haujawahi au unatarajia kufanya hivyo kwa siku za hivi...
View ArticleKATIBU MKUU KILIMO ATEMBELEA BANDA LA COSTECH 88 NGONGO, LINDI
Mtafiti kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Bestina Daniel (kushoto), akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhandisi Mathew Mtigumwe (kulia), kuhusu...
View ArticleSERIKALI YAONGEZA UZALISHAJI MAZAO MAKUU YA CHAKULA KUKIDHI MAHITAJI NCHINI 100%
PICHANI: Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe William Tate Ole Nasha (Mb) akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Charles Tizeba wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya...
View ArticleRAIS MAGUFULI APOKEWA KWA SHANGWE NA NDEREMO MKOANI TANGA
Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukielekea mkoani Tanga ambako katika ziara yake ya siku tano ataungana na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda...
View ArticleUFUNGASHAJI BIDHAA KUWAINGIZA AKINAMAMA KWENYE SOKO LA USHINDANI
PICHANI: Mwezeshaji wa mafunzo ya nembo na vifungashio, Emmanuel Bakashaya, akifundisha akinamama wa Green Voices jinsi nembo na vifungashio vinavyopaswa kuonekana.AKINAMAMA wanaotekeleza mradi wa...
View ArticleWAKULIMA WATAKIWA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI NA WAFANYABIASHARA
Na Mathias Canal, LindiBaada ya kuimarisha umoja na ushirikiano wa wakulima wenyewe ni vema wakulima wakajenga mahusiano mazuri na wafanyabiashara ili kutokutoa mianya kwa madalali ambao mara nyingi...
View ArticleMAAFISA UGANI WASHINDWA KUWAFIKIA WAKULIMA KWA WAKATI
PICHANI: Mtafiti kutoka Kituo cha Utafiti wa Kilimo cha Mikocheni jijini Dar es Salaam (MARI), Christina Kidulile (kushoto), akimuelekeza jambo mkulima, Ablali Mohamed kuhusu matumizi ya mbegu bora,...
View ArticleUTAFITI: PICHA ZA NGONO NI HATARI, HUADHIRI NGUVU ZA KIUME
Na Mwandishi Wetu, Picha na video za ngono(pornography) katika mitandao ya intaneti zimekuwa zikisambaa kuliko kawaida, lakini ongezeko la athari linazidi kuangamiza na kuharibu mahusiano ya kweli...
View Article