Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

BRAND NEW MUSIC VIDEO: WIZKID - DADDY YO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR GEORDAVIE:JIJENGEENI TABIA YA KUSAIDIA YATIMA

Nabii mkuu mheshimiwa Dr Geordavie akiombea bajeti mbalimbali za waumini walizoziletwa kwa ajili ya kutolewa neno la unabii hiii leo(picha na woinde Shizza wa libeneke la kaskazini Arusha) Nabii mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MUSSA WA JIMBO TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA WAKULIMA JIMBONI MWAKE

Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Mussa Mbaruku kulia akiteta jambo na Mwenyekiti wa Kikundi cha Golani Shutashuta,Saidi Bakari wakati alipokwenda akikagua mradi wa Kilimo cha Umwagiliaji eneo la Golani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EWURA YARIDHIA KWA SEHEMU OMBI LA TANESCO KUPANDISHA BEI YA UMEME

MAMLAKA ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji, (EWURA), imetangaza ongezeko la bei ya umeme kwa asilimia 8.5%. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlamgosi, (pichani), ongezeko hilo la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BW. WASIA MAYA NA BI. LAILA MARTIN WAMEREMETA HOUSTON, TEXAS

Siku ya Alhamis tarehe 29/12 Bw. Wasia Maya kutoka mjini Houston , Texas aliamua kuachana na kambi ya makapera na kufunga ndoa na Bi. Laila Martin. Harusi hiyo ilifanyika nyumbani kwa Bw. Wasia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF TANGA YALIPA BILIONI 5 VITUO VYA AFYA MWAKA 2015/2016

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) umefanikiwa kulipa vituoni madai yanayotokana na huduma za afya kwa wakati zaidi ya bilioni 5.1 kwa mwaka wa fedha 2015/2016 sawa na asilimia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAVAZI YA KHANGA YALIVYO SHINE KWENYE KHANGA PARTY 31/DECEMBER 2016

Usiku wa 31,December 2016 kuamkia mwaka mpya 2017 ndipo wanamitindo mbalimbali walikutana na kusherekea kwa pamoja Usiku wa Khanga yaani “Khanga Party”. Tukio hili kama lilivyo kuwa limetaarifiwa awali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALEMAVU WA KIJIJI CHA LULANZI WAMLILIA MBUNGE RITTA KABATI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa(CCM) Rita Kabati akiongea na familia ya watu watano wenye ulemavu wa viungo alipowatembea katika kijiji cha Lulanzi Kata ya Mtitu wilayani Kilolo mkoa wa Iringa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PSPF YAWAPIGA MSASA WATUMISHI OFISI YA RAS DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, (kulia), akipeana mikono na Katibu Tawala Msaidizi (anayeshughulikia masuala ya serikali za mitaa), jijini Dar es Salaam, Bi. Merry...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASHERIA OFISI YA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM WAJIUNGA NA PSPF

Afisa Uendeshaji wa PSPF, Hadji Hamisi Jamadari, akitoa ufafanuaiz kuhusu kazi zifanywazo na Mfuko huo, hususan uchangiaji wa hiari, (PSS), mwishoni mwa seina ya mafunzo ya siku mbili, kwa watumishi wa...

View Article

BRAND NEW MUSIC: RAMA DEE - MAZOEA

SIKILIZA NA DOWNLOAD BRAND NEW REGGAE MUSIC FROM RAMA DEE. THE BEST LOVERS ROCK KUFUNGUA MWAKA 2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHARIRI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA WIZI WA GARI

Na Mwandishi Wetu Mwandishi na Mhariri wa shirika la Standard Media Group nchini Kenya Aaron Ochieng(Pichani Kushoto) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa gari lenye thamani ya shilingi za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KARIMJEE JIVANJEE FOUNDATION REWARDS YOUNG SCIENTISTS 2016

(CAPTION) Diana Sosoka and Nadhra Mresa (All photos: Daniel Mbega of MaendeleoVijijini Blog)By Daniel Mbega of MaendeleoVijijini BlogDar es Salaam: THE Karimjee Jivanjee Foundation (KJF) has rewarded...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEME CHANZO CHA KUZOROTESHA HUDUMA BORA ZA AFYA MAFINGA MJINI

Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi kulia akisikiliza kilio cha wafanyakazi wa zahanati na vituo vya afya alipotembelea kujionea na kusikiliza changamoto za huduma za afya katika jimbo lake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANDHARI TOFAUTI UNAZO KUTANA NAZO PINDI UNAPO PANDA MLIMA KILIMANJARO

Uoto wa asili wa aina mbalimbali unavyoonekana wakati unapoanza safari ya kuelekea kituo cha Kibo ukitokea kituo cha Horombo. Mawe yenye michoro mithili ya mistari ya Pundamilia yanaonekana katika eneo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

COSATO CHUMI ATATUA TATIZO LA MASHUKA KATIKA ZAHANATI,VITUO VYA AFYA NA...

Mbunge wa jimbo la mafinga mjini Cosato Chumi akikabidhi mashuka kwenye moja ya Zahanati ilikuwa na upungufu wa mashuka katika kata ya Isalavanu wakati wa ziara yake ya kukagua na kugundua changamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEO NI SIKU YA KUZALIWA KWA MDAU MUGANYIZI BISHEKO

Leo Januari 12, 2017 ni siku ya kuzaliwa kwa Ofisa Masoko Mwandamizi wa Bank of Africa Tanzania, Muganyizi Bisheko... Wote kwa pamoja tunapenda kukutakia heri na fanaka. Mwenyezi Mungu akujalie maisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA POSTA, MBEYA WASHEREKEA MAPINDUZI KWA KUSHIRIKI USAFI KITUO CHA AFYA...

Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Posta Tanzania Tawi la Mbeya wakishiriki zoezi la usafi katika kituo cha Afya kiwanja Mpaka jijini Mbeya ikiwa ni sehemu ya kusherekea miaka 51 ya Mapinduzi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANUSHO LA SERENGETI BREWERIES, SOMA HAPA

Taarifa kwa vyombo vya habariDar es Salaam Januari 12, 2017- Kampuni ya Bia ya Serengeti inapenda kuarifu wateja wake na  umma na kwa ujumla kuwa  video isiyo na maadili   iliyosambaa mtandaoni  ikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ERNIE ELS DESIGN WAKUBALIANA NA ZANZIBAR AMBER RESORT KUJENGA UWANJA WA GOFU...

Mkurugenzi wa Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohammed Said akitia saini mkataba wa makubaliano na mcheza Gofu duniani Ernie Els ambae ana kampuni ya Ernie Els Design huko Afrika Kusni leo Mkurugenzi wa...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live