Siku ya Alhamis tarehe 29/12 Bw. Wasia Maya kutoka mjini Houston , Texas aliamua kuachana na kambi ya makapera na kufunga ndoa na Bi. Laila Martin. Harusi hiyo ilifanyika nyumbani kwa Bw. Wasia na kuhudhuriwa na Watanzania wengi waishio katika jiji la Houston na miji ya jirani. Ijumaa ya tarehe 30/12 kulifanyika Nikka Dinner katika ukumbi wa Pakwan uliopo kwenye makutano ya barabara za HW6 na Beechnut . Pata picha za Harusi na Nikka Dinner hapa chini
![]()
Bw. Wasia na Bi. Laila siku ya ndoa yao
![]()
Maharusi wakiwa na sura za furaha
![]()
Bw. Wasia na mkewe Bi. Laila
![]()
Bibi Harusi Bi. Laila
![]()
Bw. Wasia
![]()
Bi. Laila
![]()
Bw. Wasia akiwa kaka Said Nassor
![]()
![]()
Kaka Mohamed Msika , Bw. Wasia Maya na kaka Said Nassor
![]()
Maharusi
![]()
Kaka Ally Mjungu akiwa na Bw. Wasia Maya
![]()
Kaka Ally Mjungu , Bw. Wasia Maya na Uncle Shebby Pambwe
![]()
![]()
Bwana Wasia akiozeshwa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
The 1st kiss
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NIKKA DINNER
![]()
Kaka Ramadhan Machapati, Kaka Kassim Daffa na Kaka Abdul
![]()
Bi. Amina na Bi. Zainab
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Bw. Wasia na Bi. Laila siku ya ndoa yao
Maharusi wakiwa na sura za furaha

Bw. Wasia na mkewe Bi. Laila
Bibi Harusi Bi. Laila
Bw. Wasia
Bi. Laila

Bw. Wasia akiwa kaka Said Nassor

Kaka Mohamed Msika , Bw. Wasia Maya na kaka Said Nassor
Maharusi

Kaka Ally Mjungu akiwa na Bw. Wasia Maya

Kaka Ally Mjungu , Bw. Wasia Maya na Uncle Shebby Pambwe


Bwana Wasia akiozeshwa








The 1st kiss











NIKKA DINNER
Kaka Ramadhan Machapati, Kaka Kassim Daffa na Kaka Abdul
Bi. Amina na Bi. Zainab