Quantcast
  • Login
    • Account
    • Sign Up
  • Home
    • About Us
    • Catalog
  • Search
  • Register RSS
  • Embed RSS
    • FAQ
    • Get Embed Code
    • Example: Default CSS
    • Example: Custom CSS
    • Example: Custom CSS per Embedding
  • Super RSS
    • Usage
    • View Latest
    • Create
  • Contact Us
    • Technical Support
    • Guest Posts/Articles
    • Report Violations
    • Google Warnings
    • Article Removal Requests
    • Channel Removal Requests
    • General Questions
    • DMCA Takedown Notice
  • RSSing>>
    • Collections:
    • RSSing
    • EDA
    • Intel
    • Mesothelioma
    • SAP
    • SEO
  • Latest
    • Articles
    • Channels
    • Super Channels
  • Popular
    • Articles
    • Pages
    • Channels
    • Super Channels
  • Top Rated
    • Articles
    • Pages
    • Channels
    • Super Channels
  • Trending
    • Articles
    • Pages
    • Channels
    • Super Channels
Switch Editions?
Cancel
Sharing:
Title:
URL:
Copy Share URL
Kiswahili
RSSing>> Latest Popular Top Rated Trending
Channel: Matukio
NSFW?
Claim
0


X Mark channel Not-Safe-For-Work? cancel confirm NSFW Votes: (0 votes)
X Are you the publisher? Claim or contact us about this channel.
X 0
Showing article 1581 to 1600 of 3497 in channel 14360045
Channel Details:
  • Title: Matukio
  • Channel Number: 14360045
  • Language: Swahili
  • Registered On: May 27, 2013, 4:53 am
  • Number of Articles: 3497
  • Latest Snapshot: July 14, 2018, 7:14 am
  • RSS URL: http://immamatukio.blogspot.com/feeds/posts/default?alt=rss
  • Publisher: http://immamatukio.blogspot.com/
  • Description: Matukio kutoka sehemu mbalimbali jijini, mikoani na nje ya nchi
  • Catalog: //earth27.rssing.com/catalog.php?indx=14360045
Remove ADS
Viewing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

AFYA: UWEZO NA MAAJABU YA ASALI

September 14, 2015, 3:44 am
≫ Next: KAMPENI: JINSI ZANZIBAR KULIVOFURIKA KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI CCM
≪ Previous: KAMPENI: BI SAMIA SULUHU AHUTUBIA KIBAHA
$
0
0
Asali ikiwa imechanganywa na mdalasini tayari kwa matumizi



Wadau wetu wale ambao wanasumbuliwa sana na CHUNUSI iwe USONI, KIFUANI, MGONGONI n.k wanaweza tumia mchanganyiko mzuri wa ASALI na MDALASINI WA UNGA kwa kupaka angalau mara moja kwa siku.
ASALI na MDALASINI zinasaidia kuponyesha kwasababu zina tabia za ANTI-BACTERIAL( zinaua na kuzuia mazalia ya bacteria)
Jinsi ya kufanya:-
1. Chukua vijiko vitatu(3) vya chai vya ASALI
2. Chukua nusu kijiko cha chai cha MDALASINI WA UNGA safi
3. Changanya pamoja kupata uji uji mzuri
4. Paka sehemu yenye chunusi na kisha kaa nayo kwa angalau dakika 10-30 kisha osha kwa maji ya uvuguvugu.
ANGALIZO: MDALASINI unaweza kuwasha kwenye ngozi hivyo unashauriwa ujaribu kupaka kidogo kwenye kiganja cha mkono kwanza ili kupata uhakika kua haitakusumbua.

(Imeandaliwa na Honey Spring na Jamiimojablog)



 0683370065 au 0769129351
↧
Search

KAMPENI: JINSI ZANZIBAR KULIVOFURIKA KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI CCM

September 14, 2015, 5:16 am
≫ Next: BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA DAR ES SALAAM LEO
≪ Previous: AFYA: UWEZO NA MAAJABU YA ASALI
$
0
0
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja kwa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea  na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Ndege ndogo ikipita juu ya  Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akimlaki Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasili katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mama akisaidiwa kwenda kupata huduma ya kwanza baada ya kuhemewa na gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
Nyomi  ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015

Utenzi ukisomwa  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Sehemu ya gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete, mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa na furaha katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Kada mashuhuri wa CCM Visiwani Zanzibar Mzee Borafia akiongea katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Umati ukishangilia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 CCM OYEEEEEE....anasema kada huyu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimpongeza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Mohamed Gharib Bilali baada ya kuhutubia katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume  akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Viongozi wakiwa jukwaa kuu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Wanahabari wakirekodi tukio hilo la kihistoria kw kila aina ya vifaa vya kisasa ikiwemo drone ya kupigia picha kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
  Msanii Diamond na kundi lake la Wasafi wakitumbuiza kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg. Vuai Ali Vuai akisoma ratiba ya mkutano   kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akihutubia umati kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiwa amehemewa kwa gharika ya watu  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akisisitiza jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akifafanua jambo wakati akihutubia kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Diamond na kundi lake wakitumbuiza  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Jukwaa kuu likifurahia onesho la Diamon na kundi lake  wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Rais Kikwete akirejea tena mbele kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
Rais Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana wakijiandaa kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt Ali Mohamed Shein  kwenye Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015.
 Msaada unatolewa kwa mama aliyepoteza fahamu  kutokana na wingi wa wananchi wakati wa mkutano huo
 Nyomi mkutanoni hapo
  Rais Kikwete na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein wakionesha Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM ambaye ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia gharika hiyo ya watu katika Uwanja wa Demokrasia wa Kibanda Maiti mjini Unguja na kumwaga vipeperushi wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Sehemu ya wananchi, wanaCCM  na viongozi uwanjani hapo
 Dua ikisomwa  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Rais Kikwete wakipongezana kwa   furaha baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Gharika ya watu ikiondoka kwa furaha na amani baada ya mkutano uliofana wa uzinduzi wa  kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimnyakua mtoto wakati  akiondoka baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akimbeba  mtoto huyo  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akipata picha na watoto  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Kikwete akiagana kwa furaha na wananchi  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
  Rais Kikwete akiaga wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
 Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akiagana na viongozi wa CCM wa Visiwani wakati akiondoka Unguja kurejea Dar es salaam  baada ya kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015
"....CCM JUU!" anasema Rais Mstaafu Benjamin Mkapa wakati akipanda ndege kuondoka baada ya kuhudhuria kuunguruma katika  uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho tawala za kugombea Urais wa Zanzibar Jumapili Septemba 13, 2015. PICHA NA IKULU
↧
↧

BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA DAR ES SALAAM LEO

September 14, 2015, 5:00 am
≫ Next: KAMPENI: MAGUFULI AIKUSANYA TABORA NZIMA SEHEMU MOJA (PICHA)
≪ Previous: KAMPENI: JINSI ZANZIBAR KULIVOFURIKA KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI CCM
$
0
0




Mwanaharakati wa kutetea wanawake na mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bonah Kaluwa (kulia), akizungumza na wanawake wakati akifungua kampeni ya kupinga ukatili wa jinsia dhidi ya wanawake katika Soko la Tabata Muslim lililopo mtaa wa Msimbazi, Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa mtaa huo, Tatu Lazaro na Mwenyekiti wa mtaa huo, Beatries Mkama.

SOMA ZAIDI...



Wanafunzi na wakazi wa Tabata Muslim wakiwa kwenye mkutano huo.




Meza kuu inavyoonekana katika ufunguzi wa kampeni hiyo.



Mgeni Rasmi Bonah Kaluwa akiwa meza Kuu.




Mgeni rasmi katika picha ya pamoja na wadau wapinga ukatili wa kijinsia masokoni.
↧

KAMPENI: MAGUFULI AIKUSANYA TABORA NZIMA SEHEMU MOJA (PICHA)

September 14, 2015, 11:05 pm
≫ Next: KAMPENI: MGOMBEA MWENZA WA CCM AKUSANYA WANACHAMA LINDI
≪ Previous: BONAH KALUWA AFUNGUA KAMPENI DHIDI YA UKATILI WA JINSIA DAR ES SALAAM LEO
$
0
0




Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli,akiwahutubia Wananchi wa Tabora jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi.Dkt Magufuli alisema kuwa Serikali yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote.


PICHA NA MICHUZI JR-TABORA 
PICHA ZAIDI...








Sehemu ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.





Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa tabora mjini na kuwaambia kuwa Dk. Magufuli ni kiongozi sahihi anayehitajika Tanzania kwa sasa na kuwataka wananchi kumpigia kura zote ifikapo Oktoba 25 mwaka huu.


Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tabora waliofurika kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia anataka kujenga Tanzania mpya yenye kuleta maendeleo kwa wananchi wote.







Mmoja wa Makada walioko kwenye timu ya uhamasishaji wa kampeni za CCM,Mh.Samweli Sitta akiwahutubia wananchi wa Tabora kwenye mkutano wa kampeni za Urais ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo.












Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa mji wa Tabora waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi mapema leo jioni,alipokuwa akiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.




Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wananchi wa mji wa Tabora waliojazana kusikiliza Sera na Mipango ya Chama Cha Mapinduzi itakayotumika kuongoza kwa miaka 10 ijayo.








Wananchi wakishangilia .



Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora.




Baadhi ya Wakazi wa mji wa Simiyu wakisubiri kumsikiliza mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli kuwahutubia akitokea wilayani Nzega mapema leo mchana



Wafuasi wa chama cha CCM sambamba na wananchi wa Uyui wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mapema leo mchana.



Wafuasi wa chama cha CCM wakiwa na Mabango yao ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,wakimpokea Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli



Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora




Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassani Wakasubi akitoa ufafanuzi mfupi kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora




Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora




Wananchi wakishangilia wakati Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.
↧

KAMPENI: MGOMBEA MWENZA WA CCM AKUSANYA WANACHAMA LINDI

September 14, 2015, 11:16 pm
≫ Next: KAMPENI: MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI TABORA
≪ Previous: KAMPENI: MAGUFULI AIKUSANYA TABORA NZIMA SEHEMU MOJA (PICHA)
$
0
0


Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.



Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.



Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.




Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete akizungumza na umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho uliokuwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.




Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu jana Mkoani Lindi.



Bi. Samia Suluhu (kulia) akimtambulisha mgombea mmoja wa wagombea udiwani katika Jimbo la Mchinga, kuzungumza na wapiga kura wa eneo hilo.



Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.



Bi. Samia Suluhu akimpokea mmoja wa wanachama mpya aliyejiunga na CCM katika Jimbo la Mchinga.




Mmoja wa wanachama wapya wa CCM aliyejiunga na CCM mara baada ya mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza katika Jimbo la Mchinga.


KAMPENI za mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu zinazoendelea mkoani Lindi zimekuwa tishio kwa vyama vya upinzani baada ya mkutano uliofanyika jana eneo la Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kuzoa wanachama 61 waliotoka upinzania na kujiunga na CCM.


Mkutano huo wa kampeni uliohudhuriwa pia na Mke wa Rais Mama Salima Kikwete umeacha maumivu kwa vyama vya upinzani vya CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi baada ya kujikuta wanachama 61 wakivikimbia vyama vyao na kujikuta wakijiunga na Chama Cha Mapinduzi na kukabidhiwa kadi mpya za CCM kila mmoja.


Miongoni mwa wanachama ambao walipokelewa leo ni pamoja na Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mtaa wa Nananji Lindi, Bakari Kalulu na wanachama wengine kutoka vyama vya CUF na Chadema. Akizungumza baada ya kumkabidhi kadi, Bi. Samia Suluhu Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini alisema awali alipokuwa upinzani alikuwa amepotea na amegunduwa kuwa alikuwa anapoteza muda hivyo kuomba wananchi wamsamehe na ameamua kurudi kundini na kuendelea kulkijenga taifa.

Akizungumza baada ya kuwapokea wanachama hao, mgombea mwenza Suluhu alisema Serikali ya awamu ya tano imeandaa mambo mengi mazuri kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na jambo la kwanza kulifanya baada ya kuunda serikali ni kuubadili mji wa Mtwara na Lindi kuwa miji ya viwanda, hali ambalo itakuza uchumi kwa kiasi kikubwa hivyo kunufaisa wananchi.

Alisema kwa kuanzia Serikali inajenga viwanda vinane mkoani Mtwara na vingine vitajengwa mkoani Lindi viwanda ambavyo vitategemea gesi katika uzalishaji wake bidhaa ambayo tayari inapatikana kwa wingi katika maeneo hayo. Alisema ujenzi wa viwanda utaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kuongeza nafasi za ajira jambo ambalo litawanufaisha wakazi wa eneo hilo na wawekezaji.

"...Tunataka kuitenga Lindi kuwa mji wa viwanda vitakavyoitumia gesi kwa uendeshaji, lengo ni kuwa na viwanda vitakavyozalisha nafasi za ajira takribani asailimia 40...," alisema Bi. Suluhu. Awali akihutubiwa katika mkutano wa kampeni ulofanyika Kata ya Mingumbi Kilwa Kusini, alisema Serikali inatambua hali ya kuyumba kwa soko la korosho na ufuta ili kukabiliana na hali hiyo imejipanga kujenga viwanda vya kubangua na kufunga korosho pamoja na kukamua mafuta kwa lengo la kumuongezea thamani mkulima katika zao analozalisha.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa Mnazi Mmoja Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwatoa hofu akinamama na wapiga kura wengine juu ya vitisho vya kuwepo na vurugu kipindi cha uchaguzi kwa lengo la kuwatisha wapiga kura, hivyo kuwataka wananchi wasiogope kwani Serikali na CCM kupitia vijana wake imejipanga kupambana na wafanya fujo hao.

Alisema kitendo cha kutoa vitisho kwa wapiga kura ni kuibaka demokrasia hivyo CCM na vijana wake hawatakuwa tayari kuona demokrasia inabakwa nchini na wapuuzi wachahe. "...Vijana wa CCM naomba mkikamata kibaka wa demokrasia shughulikeni naye kidogo kabla ya kumpeleka polisi...CCM itashinda kwa kishindo," alisema Nape Nnauye.

Aidha msemaji huyo wa Chama Cha Mapinduzi alisema mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa pamoja na mpambe wake anayemuunga mkono Fredrick Sumaye hawawezi kuiponda Serikali ya CCM kwa kuwa wao wamekuwemo na kushika nafasi za juu za utendaji ndani ya serikali na kama walishindwa kuleta mabadiliko hawawezi kufanya hivyo leo.

Aliongeza kuwa kitendo cha kuendelea kuiponda ni sawa na kujidhalilisha wao wenyewe kwa wananchi hivyo kuwataka wasiwarubuni Watanzania kwamba wanamabadiliko ya msingi zaidi ya maslahi yao binafsi, ambayo ndiyo yanayowasukuma kukimbilia walipo.

Mgombea mwenza wa urais CCM, Bi. Suluhu bado anaendelea na ziara ya kuinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi Mkoani Lindi na baada ya kumaliza majimbo ya mkoa huo ataendelea katika Mkoa wa Mtwara, kuwashawishi wananchi kuichangua CCM ili iweze kupata ridhaa ya kuunda Serikali ya awamu ya tano.




















Baadhi ya wanaCCM na wananchi wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Bi. Suluhu kwenye Jimbo la





Kutoka kushoto ni mgombea mwenza wa CCM nafasi ya uraisa, Bi. Samia Suluhu na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Maiza na mgombea wa Jimbo la Mchinga Said Mtanda wakiwa kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo la Mchinga jana.




Mgombea Jimbo la Mchinga Said Mtanda akizungumza na wannaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.










Sehemu ya wanaCCM na wananchi jana jimboni kwake ambapo mgombea mwenza alihutubia wananchi.





















Mbunge wa Afrika Mashariki na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dar es Salaam, Anjela Kiziga akizungumza katika mkutano wa kampeni za CCM.





















Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Chadema Taifa, Greison Nyakarungu ambaye kwa sasa amejiunga na CCM akizungumza katika moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.





















Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Asumpta Mshama akipiga madongo kwa wapinzani kwenye moja ya mikutano ya kampeni ya CCM.





















Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.





















Katibu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye (kulia) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Bi. Mwantumu Mahiza.





















Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.





















Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu Mahiza akizungumza na wanaCCM na wananchi kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM, Mama Samia Suluhu.





















Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa pamoja na mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu wakijadiliana jambo kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.


























Sehemu ya umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.





















Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe akikabidhi kadi ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).





















Aliyekuwa Katibu wa Chadema Wilaya ya Lindi Mjini, Abdullah Madebe (kulia) akipongezwa na Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu mara baada ya kujiunga na CCM, Katikati ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.





















Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.





















Mmoja wa wananchi waliojiunga na CCM katika mkutano huo akizungumza baada ya kujiunga na chama hicho tawala.





















Mama Salma Kikwete pamoja na Bi. Samia Suluhu wakipokea kadi za wanachama waliojiunga na CCM jana Mkoani Lindi.





















Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi, Mzee Ally Mtopa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM viwanja vya Mnazi Mmoja.



































Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.





















Kada wa CCM na mbunge wa zamani wa Mchinga, Mudhir Mudhir akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Mchinga katika mkutano wa kampeni.
↧
↧

KAMPENI: MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI TABORA

September 15, 2015, 10:00 am
≫ Next: MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA
≪ Previous: KAMPENI: MGOMBEA MWENZA WA CCM AKUSANYA WANACHAMA LINDI
$
0
0




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa kaliua alipokuwa akiwahutubia wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni. Wakazi wa mji wa Kaliua wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.

PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA




Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimkabidhi Ilani ya CCM Mgombea Ubunge wa jimbo la Kaliua kupitia chama cha CCM Prof.Juma Kapuya



Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akisalimiana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Urambo kupitia chama cha CCM,Mh.Magret Sitta,kulia kwake ni Mh.Samweli Sitta kwa pamoja wakimkaribisha Dkt Magufuli alipowasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Urambo jioni ya leo.





Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa Urambo jioni ya leo mkoani Tabora,kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni.




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa Urambo jioni ya leo mkoani Tabora,kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni.




Wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,mjini Urambo mapema leo jioni kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.




sehemu ya wananchi wakifuatilia mkutano huo wa hadhara




Wananchi wakiwa wamekusanyika mjini Urambo kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM,Dkt Magufuli.




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sikonge mapema leo mchana mjini humo,kwenye mkutano wa kampeni mkoani Tabora,kulia ni aliyekuwa Mbunge wa Sikonge ambaye alijiunga na chama cha CHADEMA mara baada ya kuondolewa kwenye kura za maoni ya chama cha CCM,Ndugu Said Nkumba abaye amerejesha kadi yake kwa Dkt Magufuli,shoto ni Mgombea Ubunge wa jimbo la Sikonge Ndugu George John.




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akishuhudia aliyekuwa Mbunge wa Sikonge ambaye alijiunga na chama cha CHADEMA mara baada ya kuondolewa kwenye kura za maoni ya chama cha CCM,Ndugu Said Nkumba akipeana mikono na Mgombea Ubunge wa jimbo la Sikonge Ndugu George John,mbele ya Wananchi wa Sikonge kwenye mkutano wa kampeni mkoani Tabora




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akishuhudia aliyekuwa Mbunge wa Sikonge ambaye alijiunga na chama cha CHADEMA mara baada ya kuondolewa kwenye kura za maoni ya chama cha CCM,Ndugu Said Nkumba akipeana mikono na Mgombea Ubunge wa jimbo la Sikonge Ndugu George John,mbele ya Wananchi wa Sikonge kwenye mkutano wa kampeni mkoani Tabora.






Wananchi wa Sikonge wakishangilia walipokuwa wakimsikiliza mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia.




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge wa Sikonge,Ndugu George John mbele ya Wananchi wa Sikonge mapema leo mchana mjini humo,kwenye mkutano wa kampeni mkoani Tabora




Mgombea Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwasili mapema leo kwenye uwanja wa kambi ya zamani ya Wakimbizi kutoka Burundi,Ulyankulu wilayani Kaliua kwa ajili ya kuwahutubia wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.




Mgombea Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwahutubia wakazi wa Ulyankulu mapema leo kwenye uwanja wa kambi ya zamani ya Wakimbizi kutoka Burundi,katika mkutano wa Kampeni wilayani Kaliua kwa ajili ya kuwahutubia wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.




Mgombea Urais wa CCM,Dk Magufuli ukiwahutubia wakazi wa Ulyankulu mapema leo kwenye uwanja wa kambi ya zamani ya Wakimbizi kutoka Burundi,katika mkutano wa Kampeni wilayani Kaliua kwa ajili ya kuwahutubia wananchi hao waliokuwa wamekusanyika kwa wingi.




Wakazi wa Ulyankulu wakifuatilia mkutano wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM,Dkt Magufuli mapema leo mchana.




Wakazi wa Ulyankulu wakishangilia jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea wa Urais wa CCM,Dkt Magufuli mapema leo mchana.




Wananchi walipokuwa wameziba barabara wakitaka kumuona Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli alipokuwa akipita kuelekea wilayani Kaliua kuwahutubia wananchi.




Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wananchi waliokuwa wameziba barabara kuuzuia msafara wa mgombea huyo awasalimie.




Mgombea Ubunge wa CCM kupitia jimbo la Kaliua,Prof.Juma Kapuya akiwahutubia wananchi katika uwanja wa Kolimba mjini Kaliuna mapema leo.




Wakazi wa mji wa Kaliua wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.








Wananchi wa Urambo wakimsubiri kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli.




Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa kaliua alipokuwa akiwahutubia wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.
↧

MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA

September 16, 2015, 6:31 am
≫ Next: KAMPENI: MAGUFULI APOKELEWA KIGOMA
≪ Previous: KAMPENI: MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI TABORA
$
0
0
MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA
Kama mlivyoomba wadau kwa wale wenye USO wenye MAFUTA mengi hii ni MASK unayoweza kutumia ukiwa nyumbani na ikakuaaidia.

Nini cha kufanya:-
1. Ponda ponda NDIZI MBIVU MOJA mpaka iwe laini kabisa
2. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA ASALI
3. Chukua KIJIKO KIMOJA CHA NDIMU
4. Changanya kwa pamoja vitu hivyo vizuri.
5. Paka mchanganyiko huo kwenye uso msafi kama inavyoonekana kwenye picha na kaa nao kuanzia dakika 15 hadi 30 kisha osha na maji ya uvuguvugu.

Unaweza tumia mask hii mara moja kwa siku.

Imeandaliwa na Honey Spring kwa kushirikiana na Jamiimojablog, Kwa mahitaji yako ya ASALI wasiliana nasi 0683370065 au 0769129351, karibuni sana

↧

KAMPENI: MAGUFULI APOKELEWA KIGOMA

September 16, 2015, 11:36 pm
≫ Next: MSAFARA WA SUGU ASHAMBULIWA AKIELEKEA KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBEYA
≪ Previous: MASK YA ASALI, NDIZI MBIVU na NDIMU kwa WALE WENYE USO WA MAFUTA
$
0
0

↧
Search

MSAFARA WA SUGU ASHAMBULIWA AKIELEKEA KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBEYA

September 17, 2015, 8:30 am
≫ Next: NDEGE SUPER BAT YAZINDULIWA NCHINI MAALUM KUPAMBANA NA MAJANGILI ​
≪ Previous: KAMPENI: MAGUFULI APOKELEWA KIGOMA
$
0
0
STORY NA PICHA KWA HISANI YAJAMIIMOJABLOG MBEYA 

Na Emanuel Kahema ,Mbeya

MGOMBEA ubunge kupitia chadema jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi leo amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na kwamba katika tukio hilo watu wawili wamejeruhiwa akiwemo dereva aliyekuwa akimuendesha mgombea huyo .

Tukio hilo la kushambuliwa kwa msafara huo, limetokea majira ya saa 11 za jioni katika eneo la barabarani lililopo katika Kata ya Ghana mtaa wa Mbata jijini hapa ambapo inasemekana mgombea huyo alikuwa katika harakati za kampeni kuomba kura kwa wananchi wa Iziwa ambapo mgombea huyo alikuwa ndani ya gari yake yenye namba za usajili T161 CPP Toyota Land Cruser VX .


Awali, wafuasi wa chama cha mapinduzi CCM, walikuwa katika mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea wao ngazi ya Udiwani katika kata ya Ghana iliyopo ndani ya Jiji la Mbeya, hivyo wakiwa kwenye harakati hizo inasemekana walishangaa kuona msafara wa sugu ukipita katikati ya mkutano huo hivyo kushindwa kuvumilia na kuanza kurusha mawe huku wengine wakishikana mithili ya kutaka kupigana.

Katika vurugu hizo gari aliyokuwa amepanda mgombea huyo lilipasuliwa kioo cha mbele na gari ya chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Mbeya, ikipasuliwa kioo cha mbele .

Aidha Vurugu hizo zimesababisha majeruhi wawili ambao wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mbeya akiwemo dereva wa mbunge huyo na mfuasi mmoja wa chadema.

Kutokana na hali hiyo mgombea huyo wa ubunge mbeya mjini kwa tiketi ya Chadema alilazimika kuikatisha zoezi lake la kuongea na wakazi wa Kata ya Iziwa iliyopo Jijini Mbeya kwa muda, kutokana na kulazimika kuripoti katika kituo cha polisi kwa ajili ya kutoa maelezo.

Mgombea huyo ilimlazimu kufika kituoni na kuchukuliwa maelezo na baada ya hapo aliruhusiwa kuendelea na shughuli zake za kisiasa lakini gari yake yenye namba za usajili T161 CPP aliyokuwa akiitumia katika kampeni zake ikibaki polisi.

Hata hivyo, mgombea huyo alipomaliza kutoa maelezo katika kituo cha polisi cha kati cha Wilaya ya Mbeya, aligoma kuzungumza na vyombo vya habari ambavyo vilikuwa kwenye eneo la tukio na kuwataka wafike katika mkutano kwani ndipo atakapotolea ufafanuzi wa suala hilo hilo.

↧
↧

NDEGE SUPER BAT YAZINDULIWA NCHINI MAALUM KUPAMBANA NA MAJANGILI ​

September 17, 2015, 10:12 pm
≫ Next: MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU NA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO KUFANYIKA OKTOBA 7, 2015 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM .
≪ Previous: MSAFARA WA SUGU ASHAMBULIWA AKIELEKEA KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBEYA
$
0
0
Na Daniel Mbega, Mkomazi

NI majira ya saa tatu asubuhi Jumatano, Septemba 16, 2015 wakati tunawasili kwenye uwanja mdogo wa ndege (air strip) katika eneo la Kisima ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi inayotenganisha mikoa ya Kilimanjaro na Tanga.

(PICHANI: Ndege aina ya Super Bat DA-50)

Uwanja unaonekana mweupe, hakuna ndege! Nikashangaa kwa sababu wenyeji wetu kampuni ya Bathawk Recon wametuambia tunakuja kushuhudia uzinduzi wa ndege maalum zinazopambana na ujangili.

Kilichoonekana mbele yetu ni hema kubwa ambalo mbele yake kulionekana minara midogo iliyosimikwa kama fimbo. Kwenye banda kubwa ikaonekana ndege ndogo aina ya Twin otter. Nikadhani ndiyo inayozinduliwa, lakini Idrisa Jaffary, mwenyei wetu tuliyekuwa naye kwenye gari akasema, hapa siyo hiyo.

Mshangao ukanipata baada ya gari kusimama wakati nilipokiona kifaa mfano wa ndege kikiwa kimeegeshwa kwenye bomba maalum kana kwamba ndege inataka kupaa.

Kama nisingekuwa nazifahamu ndege hizi maarufu kama drones, ningeweza kusema kwamba huo ni mdoli ambao mwanangu angefurahia kama ningempelekea akauchezea. Kwa siku za karibuni zimekuwa maarufu kwani zinatumika kupeleka misaada mbalimbali hata katika maeneo hatari ya vita ambako hakufikiki kirahisi.

“Hii ndiyo ndege yenyewe,” Idrisa akatueleza. “Hee! Ndiyo hii?” tukajiuliza kwa mshangao. Kwamba Tanzania tumeanza kuitumia teknoloia hii yanaweza kuwa maendeleo mengine mapya.

Mshangao wetu ulimalizika wakati Phil Jones, ofisa mwendeshaji wa mitambo hiyo kutoka kampuni ya MartinUAV ya Marekani iliyotengeneza ndege hiyo aina ya Super Bat DA-50 UAV, alipoanza kutuelezea namna ‘ndege’hiyo (drone) inavyofanya kazi huku akituonyesha kila sehemu na kazi yake.

“Hii ni ndege ambayo haihitaji kuwa na rubani, inaongozwa kwa kompyuta maalum, ina antenna mbili, ina kamera maalum ambazo zinaweza kupiga picha usiku na hata mchana,” akatueleza.

Akasema ndege hiyo ina uwezo wa kuruka urefu wa futi 20,000 kutoka usawa wa bahari na kwenda katika nusu kipenyo cha kilometa 35 kutoka ilipo mitambo ya kuiongoza.


Jones, ambaye baadaye alinieleza kwamba yeye rubani wa zamani wa ndege za kijeshi katika Jeshi la Uingereza aliyestaafu mwaka 2014 ambaye kwa sasa anaishi nchini Marekani, akasema ndege hiyo inayorushwa kwa mtindo wa manati (catapult launch system), inaweza kuruka mfululizo kwa muda wa saa 10 ikiwa angani kabla ya kutua na kujazwa mafuta tena.


“Ina mfumo maalum wa kamera ambazo zina uwezo wa kupiga picha hata usiku wa manane na kutambua mienendo ya viumbe wenye damu ya moto kama hayawani na binadamu, hivyo ni rahisi kubaini kama kuna majangili,” akafafanua.


Baada ya maelezo ya takriban nusu saa, hatimaye yeye na wasaidizi wake wakaamua kuirusha ndege hiyo baada ya kuiwasha. Ilichomoka kwa kasi ya ajabu na kuelekea angani ikaanza kuzunguka.


Hapo ndipo tukasogezwa kwenye hema kubwa ambako tuliwakuta wasaidizi wake – Austin Howard na Kory Ferguson – wakiendesha kompyuta hizo na tukashuhudia mazingira halisi ya hifadhi katika eneo husika pamoja na kuona wanyama mbalimbali.


“Sasa hapa unaweza kuona kama kuna wavamizi (majangili) na inakuwa rahisi kuwasiliana na askari wa wanyama pori na kwenda kwenye eneo husika kuwakamata,” anasema Jones.


Hata ilipotua, ilikuja kama ndege za kawaida zinavyokuja, tofauti yake tu yenyewe haina magurudumu. Naam, unaweza kuwa ufumbuzi mwingine wa kupambana na ujangili nchini, tatizo ambalo haliko Tanzania tu, bali katika nchi nyingi barani Afrika.


Taasisi mbalimbali za ndani na nje zikiwemo serikali za mataifa makubwa zimekuwa zikijitahidi kusaidia mapambano hayo kama alivyofanya Rais Barack Obama wa Marekani alipoahidi kutoa Dola milioni 10 (sawa za Shs. 20 bilioni) ili kuimarisha mapambano hayo nchini.


Takwimu zinaonyesha kuwa Bara la Afrika mwaka 1930 lilikuwa na tembo 50 milioni na kwamba hadi kufikia mwaka 2013 tembo waliobakia katika bara zima ni 500,000.


Aidha, takwimu hizo zinaonyesha kwamba katika miaka ya 1960 Tanzania kulikuwa na tembo kati ya 250,000 hadi 300,000 na kwamba wanyama hao walipungua hadi kufikia 130,000 mwaka 2002 na idadi ya tembo hapa nchini imeendelea kupungua kwa kasi ambapo hivi sasa takwimu zinaonyesha kuwa inakadiriwa kuna tembo wasiozidi 55,000.


Kwa mujibu wa takwimu zilizopo, wastani wa tembo 30 huuawa kijangili kila siku ikiwa ni sawa na tembo 850 kwa mwezina zaidi ya tembo 10,000 wanauawa kila mwaka,hali ambayo inatishia uwepo wa wanyama hao wakubwa zaidi duniani kwa sasa.


Kwenye Hifadhi ya Tarangire, jumla ya tembo 104 waliouawa katika kipindi cha miaka mitatu tu kutoka mwaka 2007 hadi 2009 na katika Hifadhi ya Serengeti idadi ya tembo imepongua kutoka 2,500 mwaka 1985 hadi kufikia 500 mwaka 2012 huku nyati wakipungua kutoka 70,000 hadi 40,000 ujangili huo ukiua faru wengi kutoka 1,000 waliokuwepo mwaka 1985 hadi 20 tu.


Kwenye Pori la Akiba la akiba la Selous inaelezwa kwamba hadi kufikia mwaka 2007 kulikuwa na tembo zaidi ya 70,000 lakini idadi hiyo imeshuka hadi tembo 30,000 tu kufikia mwaka 2012.


Kasi ya ujangili inayoongezeka kila mwaka inachangiwa na mambo mbalimbali yakiwemo kukua kwa uchumi wa nchi ya China na nchi nyingine za Kusini Mashariki mwa Asia kama Hong Kong, Vietnam na Philippines.


Juhudi mbalimbali zimefanywa na wadau wa sekta ya utalii na maliasili, lakini inaoenakana tatizo hilo linazidi kuota mizizi huku taasisi za kimataifa zikiendelea kulipigia kelele bila mafanikio.


Kampuni ya Bathawk Recon Limited ya Tanzania imeitikia kwa vitendo mapambano ya vita dhidi ya ujangili nchini, ambapo leo hii Septemba 16, 2015 ikaamua kuzindua ndege hizo maalum zinazoweza kupambana na ujangili.


“Haya ni majaribio ya tatu, tulifanya majaribio mara ya kwanza katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kwa kutumia ndege maalum aina ya DT 16, lakini hayakuonyesha matokeo mazuri,” anasema Michael Chambers, Mkurugenzi wa Mikakati na Mawasiliano wa Bathawk.


Chambers, ambaye amekuwepo nchini Tanzania kwa takriban miaka 20 sasa, anasema jaribio la pili lilifanyika katika Pori la Selous mwezi Mei 2015 kwa kutumia ndege aina ya DT 26 iliyotengenezwa Ufaransa, lakini iliharibika na haikuweza kutoa matokeo mazuri.


Anaibainisha kwamba, katika kipindi cha siku tano cha majaribio tangu Septemba 11, 2015, ndege hiyo mpya aina ya Super Bat DA-50 UAV iliyotengenezwa na kampuni ya MartinUAV ya Marekani, imeonyesha mafanikio makubwa.


Kwa upande mwingine, Mkurugenzi na muasisi wa kampuni hiyo, Tom Lithgow, anasema baada ya majaribio yao kuonyesha mafanikio, sasa wataandaa ripoti yao na kuiwasilisha kwenye taasisi ya Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) pamoja na kwenye Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) ili kama wataridhia, basi waweze kuona namna gani yakuanza utekelezaji kuhakikisha tembo na wanyama wengine wanalindwa.


“Tumefanya kazi kwa ushirikiano na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, hususan Tanapa na Idara ya Wanyamapori, tunaamini baada ya mafanikio haya, nao wataangalia ni kwa namna gani tunaweza kuanza kuitumia,” anasema Tom, Mtanzania ambaye ana uzoefu mkubwa wa mazingira ya porini na utalii kwa ujumla.


Hata hivyo, Mike Chambers anasema, teknolojia hiyo itakuwa ya kwanza kutumia nchini Tanzania katika suala zima la kubaini na kudhibiti ujangili na ni ya gharama nafuu zaidi kwani ndege hizo hazitumii rubani ndani yake, zinatumia mafuta kidogo na kuruka kwa muda mrefu.


“Mbali ya kupambana na ujangili, lakini pia teknolojia hii itasaidia suala zima la uhifadhi kwa kutambua hata idadi ya wanyama waliopo (scouting),” anafafanua Chambers.


Herman van Rooyen na Johnson Makere ni vijana waliohitimu stashahada ya Uhifadhi Wanyamapori katika Chuo cha Wanyamapori cha Mweka mkoani Kilimanjaro, ambao kwa sasa wameelekezwa namna ya kurusha na kuongoza ndege hizo kwa ustadi mkubwa.


Ingawa wanatakiwa kupatiwa mafunzo maalum na muhimu, lakini wanaielezea teknolojia hiyo kwamba inafaa sana katika suala zima la uhifadhi wanyamapori.


Wanasema, kutokana na tatizo la uhaba wa watumishi na vitendea kazi pamoja na miundombinu duni ndani ya hifadhi na mapori ya akiba, teknolojia hiyo inaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa ikiwa serikali itaikubali na kuitumia.


“Teknolojia hii inasaidia kuwakamata majangili wakiwa wanafanya uharamia wao ndani ya hifadhi na hivyo kuondoa malalamiko yaliyopo sasa kwamba majangili wanaokamatwa wanakuwa wanasingiziwa,” anasema Makere.


Makere anaongeza: “Hivi sasa utaratibu unaotumiwa ni kama wa mbwa kufuata nyayo na harufu kwani majangili mara nyingi wanakuwa wanakamatwa wakiwa majumbani mwao, lakini hapa watakamatwa humo ndani na hivyo kuukazia ushahidi kwani picha zipo na watakuwa na vidhibiti.”


Kampuni ya Bathawk Recon inajipambanua kwamba kwa kuja na teknolojia hiyo ya utambuzi inaweza kuwa suluhu ya janga la ujangili kwa kuwa inao uwezo wa kutambua majangili hata kama wakijificha, labda kama watachimbia ardhini.


“Na kama watajichimbia basi itakuwa faida zaidi, kwa sababu hawawezi kufanya lolote bila kuonekana,” anaongeza Jones, ambaye kwa zaidi ya miaka 10 amekuwa rubani wa ndege za kivita kwenye Jeshi la Kifalme (Royal Armed Forces).


Ofisa uhifadhi kutoka Hifadhi ya Tarangire, Marandu, ambaye alimwakilisha Mhifadhi katika uzinduzi huo, anasema anaamini teknolojia hiyo ni nzuri na inaweza kusaidia kuwahifadhi wanyama.


“Katika mapambano dhidi ya ujangili na ustawi wa maliasili, mbinu yoyote yenye kuleta matokeo chanya ni vizuri ikapokelewa na kujaribiwa, kama inafaa basi itakuwa msaada mkubwa kwa taifa,” anasema.


Sera ya Taifa ya Wanyamapori ya mwaka 1998 inaelekeza kuwa aina zote za viumbe hai zihifadhiwe, wanyamapori wasitumiwe kiasi cha kuifanya idadi yao ipungue na kuwa katika hatari ya kutoweka na kuhakikisha Taifa linaendelea kumiliki wanyamapori na kusimamia kwa niaba ya wananchi.






Ndege zilizojaribiwa






DT-18 ilijaribiwa Tarangire










Hii ilitengenezwa Ufaransa. Ni ndogo sana, inaweza kuruka kwa saa mbili tu katika nusu kipenyo cha kilometa 15 kutoka ilipo mitambo.






DT-26 ilijaribiwa Selous




















Imetengenezwa Ufaransa na kampuni ya Delair Tech. Hii ni kubwa kidogo, ina uwezo mkubwa na inatumia viwango vya satelaiti za kijeshi vya mawasiliano kutumana kupokeataarifa pamoja na namna ya kuongozwa kwake.






Superbat DA 50 – Imejaribiwa Mkomazi










Imetengenezwa Marekani na kampuni ya MartinUAV. Inaitwa MLB Super-Bat DA-50. Inatumia injini yenye mapigo mawili na uwezo wa 50cc ikiwa na genereta la Watts 75 pamoja na mafuta. Urefu wake ni futi 8.5 x 5.3 x 2.25 inapokuwa imeunganishwa, lakini ikiwa bado haijaungwa ina urefu wa futi 3.5 x 1.25 x 1.5. Kasi yake ni kati ya 40 hadi 70kts, inakaa angani kwa saa 10 mfululizona inaruka kimo cha futi 15,000 hadi 20,000 bila kupoteza mawasiliano.









0656-331974
↧

MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU NA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO KUFANYIKA OKTOBA 7, 2015 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM .

September 21, 2015, 7:17 am
≫ Next: TAMASHA LA FAHARI YA MWAFRIKA KUFANYIKA OKTOBA 3,2015 CLUB YA ESCAPE ONE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM.
≪ Previous: NDEGE SUPER BAT YAZINDULIWA NCHINI MAALUM KUPAMBANA NA MAJANGILI ​
$
0
0

 Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (Chawaumavita), Hillar Said (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo , kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Watu, Watoto wenye mtindio wa ubongo yatakayofanyika, Oktoba 7, 2015 viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein.









 Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Baadhi ya Waandidhi wa habari waliohudhuria kwenye mkutano huo wakifuatilia kwa karibu.


 CHAMA cha Wazazi wa Watoto Wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo (Chawaumavita) kimewataka wanaume  kuacha tabia ya uoga ya kukimbia majukumu pindi wanapopata watoto wenyeulemavu.
 Katika hatua nyingine chama hicho kimewaomba wagombea wa vyama mbalimbali vya siasa kuzungumzia namna watakavyoweza kuwasaidia walemavu katika mikutano yao.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Watu na WatotoWenye Mtindio wa Ubongo ambayo huazimishwa kila mwaka ifikapo Oktoba 7. Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Hilal Saidi, alisema watoto wenye matatizo hayo wanapaswa kusaidia badala ya kuwatenga.
Amesema kuwa katika tafiti walizofanya wamegundua kuwa wanaume wengi ni waoga wa majukumu pindi wanapopata watoto wenye ulemavu hadi kupelekea kukimbia familia zao.
"Wanaume wengi waoga wa majukumu hasa anapozaliwa mtoto mwenye ulemavu, wanaona kuwa ni mkosi mkubwa na kuanza kupata msukumo katika familia yake kuachana na mkewe hivyo anateleleza familia huku mwanamke akibaki peke yake" anasema Said.
Hata hivyo alisema ulemavu umegawanyika katika makundi matatu ambayo ni ulemavu wa akili,mtindio wa ubongo na viungo,alisema watoto wenye ulemavu wa viungo na mtindio wa ubongo wanaweza kupatiwa matibabu hali yao ikawa sawa na ushiriki katika katika elimu na kufikia malengo yao.
 Hivyo amewataka wakina baba na familia kwa ujumla kutowafungia ndani watu wenye ulemavu na badala yake kuwapeleka katika vituo vya afya kwaajili ya matibabu na miili yao ikatengemaa.








↧

TAMASHA LA FAHARI YA MWAFRIKA KUFANYIKA OKTOBA 3,2015 CLUB YA ESCAPE ONE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM.

September 21, 2015, 7:41 am
≫ Next: MASABURI:LOWASSA NDIYE ALIYEUZA UDA
≪ Previous: MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU NA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO KUFANYIKA OKTOBA 7, 2015 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM .
$
0
0

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Black Sensation, Lilliane Masuka (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Tamasha la Fahari ya Mwafrika litakalofanyika viwanja vya Club ya Escape One, Oktoba 3, 2015 Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa kampuni hiyo, Gabriel Manyaga na Mkurugenzi wa Ubunifu wa kampuni hiyo, Charlotte Mwaigwisya.

 
 
 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Kampuni ya Black Sensation, Gabriel Manyaga (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Mmiliki Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Lilliane Masuka.



  
Kampuni ya Black Sensation inatarajia kufanya tamasha lenye kutangaza utamaduni wa Mwafrika Oktoba 3 mwaka huu katika Club ya Escape One iliyopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam ambalo linatambulika kama 'Fahari ya Mwafrika'.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo Mmiliki na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Liliane Masuka, amesema tamasha hilo ni  muhimu katika kuutangaza utamaduni wetu.

Masuka alisema tamasha hilo linatarajiwa kuonyesha vitu mbalimbali vya asili ya mwafrika na tamaduni zake litakuwa la aina yake kutokana na maandalizi pamoja na washiriki.

"Oktoba 3 mwaka huu tutakuwa na tamasha ambalo litatambulika kwa jina la 'Fahari ya Mwafrika' na tunatarajia kutakuwepo na vikundi mbalimbali ambavyo vitaonesha utamaduni wetu," anasema Masuka.

Masuka alisema katika tamasha hilo kutakuwepo na muziki wa dansi, vichekesho, maigizo, ngoma na vitu mbalimbali ambavyo kwa pamoja vinatangaza utamaduni wa Tanzania.

Amesema pia kutakuwa na vikundi mbalimbali kutoka shule za Sekondari, wanamitindo na wabunifu wa ndani ambao wataonesha vitu vyenye kuakisi utamaduni wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa kampuni hiyo, Gabriel Manyaga amesema pamoja na kuanda tamasha hilo pia wanatarajia kutoa tuzo za Fahari ya Afrika kwa watu ambao wataonesha kuudumisha uafrika kupitia tamasha hilo kubwa na la aina yake.

Amesema tuzo zitatolewa kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali ambavyo kwa pamoja vitazingatia sifa husika na sio kuchaguana kishabiki kama tuzo zingine zinazotolewa.

"Sisi kama Black Sensation wanaamini kuwa wataweza kukuza na kuibua vipaji vya wasanii wa hapa nchini ambao wameshindwa kuonekana na kutambulika kutokana na sababu ambazo ziko nje ya uwezo wao,"anasema Manyaga.

Mkurugenzi wa Ubunifu wa Kampuni hiyo, Charlotte Mwaigwisya amesema kampuni hiyo ilibuni tamasha hilo ili kutoa fursa ya kuutangaza utamaduni wetu ambao kwa kiasi kikubwa umeanza kusahulika kutoka na sababu mbalimbali ikiwemo kupungua kwa kasi ya kuutangaza na utandawazi.
↧

MASABURI:LOWASSA NDIYE ALIYEUZA UDA

September 21, 2015, 7:56 am
≫ Next: MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM.
≪ Previous: TAMASHA LA FAHARI YA MWAFRIKA KUFANYIKA OKTOBA 3,2015 CLUB YA ESCAPE ONE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM.
$
0
0




MGOMBEA wa ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Didas Masaburi, amekana kuhusika na uuzwaji wa mali za Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) na kutupa mzigo huo kwa mgombea wa urais kupitia CHADEMA, Edward Lowassa.




Dkt. Masaburi amedai kushangazwa na kauli zinazotolewa na wapinzani wake hasa wa vyama vya upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wakimtuhumu kuhusika kwake na uuzwaji wa mali za UDA wakati si kweli.

Akizungumza katika kampeni zake zilizofanyika Kata ya Makuburi juzi, Dkt. Masaburi alidai Lowassa akiwa Waziri Mkuu ndiye aliyehusika na uuzwaji wa UDA kwani alisimamia kwa kina kuhakikisha hilo linafanikiwa.

“Kipindi mimi nilipokuwa meya (wa Dar es Salaam) nilikuta tayari aliyekuwa waziri mkuu kipindi hicho Edward Lowassa amesaini mikataba ya uuzaji wa hisa za UDA, sasa nani fisadi hapa?” Alihoji.
Dkt. Masaburi alidai, wakati akiwa meya aliikuta Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ikiwa inamiliki mali nyingi, lakini wajanja walikuwa wakifaidika binafsi ndipo alipoamua  kupitia mikataba yote na kubaini ubadhirifu huo wa UDA.

“UDA iliuzwa kwa kampuni ya Simon Group kwa Sh milioni 285, lakini nilipohoi kuhusu hizo fedha nikaambiwa zipo Sh milioni 85 na Sh milioni 200 hazijulikani zilipo, niliamua kuivunja bodi ya shirika hilo na kuwasimamisha kazi baadhi ya watendaji ili kupisha uchunguzi,” alisema.

Alifafanua kuwa, wakati hisa za UDA zinauzwa mwaka 2008 hakuwa meya wa Jiji la Dar es Salaam na alipoingia ndipo alipokuta uozo mwingi na kuanza kusafisha baadhi ya mambo.

“Kumekuwa na wimbi kubwa la wagombea wanaotumia vibaya majina ya vyama au wagombea wengine kuwachafua ikiwa  ni moja ya sera zao wanapopanda majukwaani, wanasahau kuwa miongoni mwa watu wanaowasema ni viongozi wao wenyewe,” alisema.

Dkt. Masaburi alisema, endapo atachaguliwa kuliongoza jimbo hilo atahakikisha anashirikiana na Serikali katika kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwemo  barabara za ndani ya  mitaa kwa kiwango cha lami, kuhakikisha maji safi na salama yanapatikana na kuongeza ajira kwa vijana  kupitia mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART) na miradi mingine.

Alisema moja kati vipaumbele vyake ni kuboresha elimu na vituo vya afya, kurekebisha mifumo ya majitaka pamoja na kuwatengea wanawake na watu wa makundi maalumu mfuko utakaowawezesha kukopa.
↧
↧

MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM.

September 23, 2015, 8:26 am
≫ Next: TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI.
≪ Previous: MASABURI:LOWASSA NDIYE ALIYEUZA UDA
$
0
0

 Mkurugenzi wa Ofisi ya Mipango na Maendeleo na Msimamizi wa Fedha na Uchumi wa Nchi za Maziwa Makuu, Rwanda, Burundi na Uganda, Br. John Njuguna akizungumza na wanahabari kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Don Bosco.



 Washiriki kutoka nchi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano



 Washiriki kutoka nchi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo.
 Mwezeshaji akitoa mada kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Don Bosco.


CHUO cha Ufundi Stadi (VETA), kimesema kipo katika mchakato wa kuandika vitabu vya ufundi ili kwenda sambamba na ukuaji wa teknolojia nchini.

Hayo yamebainishwa na Mtunza Mitaala wa VETA, Rehema Binamungu katika Mkutano wa kujadili Uwezeshaji kwa vijana ulioandaliwa na Don Bosco Kanda ya Afrika Dar es Salaam leo.


Ambapo vitabu hivyo vitasaidia kutoa elimu ya ufundi katika vyuo vingine na shule mbalimbali nchini.
 

 Binamungu  amesema Veta inahitaji kuwa na vifaa vya ufundi vya kisasa ili kukabiliana na kukua kwa teknolojia ya ufundi ambayo inahitaji kuwa na vifaa hivyo ili kwenda sambamba na soko la ajira.

"Kutokana na kukua kwa teknolojia kwa sasa tunahitaji vifaa vya kisasa na maboresho ya vifaa ili twende sambamba na soko la ajira,"amesema Rehema.

Aliongeza changamoto nyingine inatokana na chuo hicho kutoa elimu ya ufundi kwa watu wenye elimu tofauti hivyo jitihada zinahitajika ili kutoa elimu bora,lakini piaVETA ipo katika mchakato wa kuandika vitabu vya kiufundi ambavyo vitasaidia kuinua elimu ya ufundi nchini"amesema Rehema.

Akizungumzia uwezeshaji kwa vijana wanaopata mafunzo kwenye vyuo mbalimbali alisema ushirikiano unahitajika kati ya serikali na wadau mbalimbli ili kuhakikisha wanashirikiana kutoa elimu bora na yenye manufaa kwa jamii.

Mkurugenzi wa Fedha na Uchumi wa Don Bosco Afrika Mashariki, Padri Erick Mairura amesema mkutano huo utasaidia kuwaondoa vijana katika lindi la umaskini .

Amesema hali ya kiuchumi kwa vijana bado ipo chini hivyo ni vyema serikali na wadau wa elimu ya ufundi wakashirikiana kuandaa maisha bora kwa vijana.

Amesema  mkutano huo utasaidia kwa kiasi kikubwa kuwaondoa vijana katika lindi la umaskini na utachangia kukuza ushirikiano kati ya sekta binafsi, wamiliki wa vyuo vya ufundi pamoja na serikali.

“Masomo ya ufundi yakitolewa ipasavyo yatasaidia kuwakwamua vijana katika changamoto mbalimbali hivyo ni muhimu sote tuone namna ya kuboresha vyuo vyetu na kuwawezesha vijana,anatoa wito pia Serikali kuviwezesha vyuo vya ufundi kwa kushirikiana navyo kwa karibu kama ambavyo nchi nyingine zinafanya,"anasema.


Kwa upande wake,Mkurugenzi wa Ofsi ya Mipango na Maendeleo Afrika Magharibi- Don Bosco, Tsedi Yao Ati amesema kuwafundisha vijana ufundi kutasaidia kuboresha maisha yao kwani vijana wapo wengi na hawana shughuli maalum wanazozifanya kwa sababu mbalimbali.

Meneja Mradi wa Don Bosco, Badru Juma alisema wamekuwa wakishirikiana na makampuni mbalimbali katika kuwawezesha vijana kupata elimu mbalimbali kwa ajili ya kujikwamua.

Amesema barani Afrika kuna nchi 154 ambazo zina vituo vya Don Bosco na wamekuwa wakishirikiana katika kuondoa changamoto mbalimbali pamoja na kuwakwamua vijana ili waweze kujiajiri ama kuajiriwa.

“ Tumekuwa tukiangalia mambo mbalimbali ambayo yatasaidia kuwawezesha vijana na hivi sasa tumeanzisha utaratibu mpya wa kuboresha mahusiano kati yetu , sekta binafsi, VETA na serikali ili tuone jinsi ambavyo tunaweza kuwaondoa vijana katika lindi la umaskini,”amesema Juma.
↧

TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI.

September 23, 2015, 8:59 am
≫ Next: RAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI.
≪ Previous: MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM.
$
0
0
 Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Lu Youqing (wa pili kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC- wa kwanza kulia), Bw. Clement Mshana pamoja na Makamu wa Rais wa Makampuni ya StarTimes, Bi. Guo Ziqi (wa kwanza kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari, Uchapishaji, Redio, Filamu na Luninga, Bi. Yang Peili (wa pili kulia) wakifurahia zawadi za vitambaa vilivyonakshiwa na wabunifu wa Tanzania wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni jitihada za kukuza filamu pamoja na uhusiano wa kiutamaduni baina ya nchi hizo mbili.


 Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Lu Youqing (katikati) akifurahia jambo na Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao (kulia) wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni jitihada za kukuza filamu pamoja na uhusiano wa kiutamaduni baina ya nchi hizo mbili
 Makamu wa Rais wa Makampuni ya StarTimes, Bi. Guo Ziqi (kushoto) akipokea zawadi ya kinyago kilichochongwa na wasanii wa Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC- wa kwanza kulia) Bw. Clement Mshana wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam
 Waigizaji wa filamu ya’The Young Doctor’ Zhang Yi na Zhou Fang wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni jitihada za kukuza filamu pamoja na uhusiano wa kiutamaduni baina ya nchi hizo mbili.


KAMPUNI ya StarTimes Tanzania kwa kushirikiana na Mamlaka ya Vyombo vya Habari, Uchapishaji, Redio, Filamu na Luninga ya Beijing wamezindua maonyesho ya mfululizo wa filamu na tamthiliya mwaka 2015 ambayo yatajumuisha filamu na tamthiliya za kusisimua za kichina barani Afrika.

Kuendelea kwa kukua kwa muingiliano wa tamaduni baina ya watu wa Tanzania na China kumefanya filamu na tamthiliya za China kwenye luninga zijizolee umaarufu mkubwa na kuwa kichocheo kikubwa katika kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili.

 Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi

huo Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vyombo vya Habari, Uchapishaji, Redio, Filamu na Luninga, Bi. Yang Peili, amesema Tanzania itabaki kuwa mshirika wake mkubwa na wataendelea kuimarisha mahusiano yao ya kitamaduni kupitia matangazo ya maudhui ambayo yana nafasi ya kipekee kuwafikia watu wengi zaidi.

”Maonyesho haya ambayo kwa kawaida yatakuwa ni ya filamu na tamthiliya kutoka Beijing kwa kiasi kikubwa yataonyeshwa nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla. Kwa makadirio, jumla ya filamu na tamthiliya 30 za kwenye luninga zitaonyeshwa nchini Tanzania na nchi nyingine za Afrika. Dhumuni kuu ni kuimarisha muunganiko wa maingiliano ya kiutamaduni baina ya marafiki zetu wa Afrika na watu wa China.” Alisema Bi. Peili

Mamlaka ya Vyombo vya Habari, Uchapishaji, Redio, Filamu na Luninga itatoa fursa ya kipekee kwa watazamaji wa barani Afrika kama vile Tanzania, Kenya na Afrika ya Kusini kukutana na washiriki maarufu wa filamu ya‘The Young Doctor’.


 Pia wakurugenzi wa mamlaka hiyo watakuwa na wasaa wa kuzungumza na kuyahoji makampuni ya kimataifa ya uzalishaji wa vipindi barani Afrika kwa nchi hizo tatu.Katika miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia ukuaji wa kasi wa tasnia ya filamu na tamthiliya kwenye luninga na kunufaisha maisha ya watu huku masoko ya tasnia hizo kwa nyumbani yakijulikana kimataifa na kuwa kiungo muhimu katika kukuza muingiliano wa kiutamaduni baina ya nchi husika.

Kama sehemu ya chombo cha uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015, sherehe za uzinduzi zitafanyika nchini Afrika ya Kusini ambapo zitahudhuriwa na mamlaka ya bodi hiyo ya Beijing.

“Maonyesho haya yanafuatilia tukio kama hili ambalo lilifanyika mwaka jana na kuandaliwa na Mamlaka ya

Vyombo vya Habari, Uchapishaji, Redio, Filamu na Luninga ambapo Mr. Guo Jinlong,  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Mamlaka ya Kisiasa ya CPC na Katibu wa Kamati ya Mamlaka ya Beijing alihudhuria sherehe ya aina yake alipotembelea nchini Tanzania,” anasema Bi. Peili 

, “Tamthiliya hizi za Kiingereza za kwenye luninga kama zinavyojulikana miongoni mwa watazamaji wengi zimejizolea umaarufu mkubwa burudani inayopendwa katika nchi nyingi za kiafrika na tunaamini kwa pamoja tunaweza kuziunga mkono tasnia za uzalishaji wa vipindi za nyumbani katika nchi husika ili kuweza kunufaika zaidi kwa pande zote mbili,"anaongeza Bi Peili.

Uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015 utajumuisha vipindi vya luninga maarufu na filamu kama vile‘The Young Doctor’ambazo zimepangwa kuonyeshwa nchini Tanzania ndani ya kipindi cha mwaka mzima.

Shughuli za kukuza maonyesho haya katika nchi zingine za barani Afrika zikiwemo Kenya na Afrika ya Kusini zitafuatia kulingana na kampuni ya matangazo ya dijitali ya StarTimes ambayo ina mpango wa kuzionyesha kupitia katika ving’amuzi vyao vya antenna na madishi, na kwa uhakika itasaidia kwa kiasi kikubwa itasaidia kukuza utamaduni wa China barani Afrika.
↧
Search

RAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI.

September 23, 2015, 9:28 am
≫ Next: DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI, DAR, KUZIKWA KESHO MOROGORO.
≪ Previous: TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI.
$
0
0
 Kamshna Msaidizi Kitengo cha Walemavu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kulia), akimkabidhi Katibu Mtendaji wa Chama cha kulea Watoto Mayatima (Chakuwama) cha Sinza, Hassan Hamisi kwa ajili ya sherehe hiyo ya IDD itakayoadhimishwa kesho kote Duniani.

 
 Kamshna Msaidizi Kitengo cha Walemavu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kulia), akimkabidhi Mwakilishi wa Mahabusu ya Watoto Upanga, Regina Kuname msaada wa vyakula na kitoweo cha mbuzi na mafuta ya kula uliotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Kikwete kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya ya Idd El Haji Dar es Salaam leo asubuhi.
 Baadhi ya Vyakula vilivyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya sikukuu  ya IDD.
RAIS Jakaya Kikwete ametoa zawadi ya vyakula na kitoweo kwa makundi mbalimbali kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Idd El Haji ambayo itaadhimishwa duniani kote kesho.

Zawadi hiyo imekabidhiwa kwa makundi hayo kwa niaba yake na Kamshna Msaidizi Kitengo cha Walemavu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo Dar es Salaam leo asubuhi.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi zawadi hiyo, Fungamo alisema Rais ametoa zawadi hiyo kwa ajili ya Sikukuu ya Idd El Haji kama anavyofanya siku zote wakati wa sikukuu mbalimbali.

Fungamo alitaja vituo vilivyopata zawadi hiyo kuwa ni Mahabusu ya Watoto ya Upanga iliyopo Manispaa ya Ilala, Makazi ya Wazee wasiojiweza ya Nunge, Kigamboni, Chuo cha Watu wenye Ulemavu cha Yombo Temeke na Kituo cha Kulelea Watoto Mayatima (Chakuwama) cha Sinza.

Alitaja vituo vingine kuwa ni Kituo cha Makao ya Watoto Yatima cha Mburahati, Ilala, Kituo cha Makao ya Watoto-Kurasini, Kituo cha Full Gospel, Temeke na Kituo cha Watoto Alsaad Children House Kurasini.

Alivitaja vituo vingine kuwa ni cha Vosa Mission cha Kongowe, Temeke na Kituo cha Kijiji cha Furaha kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Fungamo alitaja vituo vilivyopata zawadi hiyo ya Idd El Haji kwa upande wa Zanzibar kuwa ni Kituo cha Mabaoni kilichopo Pemba na Makazi ya Wazee Sebleni yaliyopo Unguja.

Alitaja vituo vingine vilivyopo mikoani vilivyopata zawadi hiyo kuwa ni kituo cha The Village of Home cha Dodoma, kituo cha Moyo Mmoja cha Bagamoyo mkoani Pwani, kituo cha watoto cha Tosamaganga kilichopo mkoani Iringa na Mahabusu ya Watoto Arusha na Tanga.

   
↧

DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI, DAR, KUZIKWA KESHO MOROGORO.

September 28, 2015, 7:18 am
≫ Next: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR.
≪ Previous: RAIS DK. JAKAYA KIKWETE ATOA ZAWADI YA IDD EL HAJI KWA MAKUNDI MBALIMBALI.
$
0
0

 

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Marehemu Kombani alifariki Agosti 24 huko nchini India na anatarajia kuzikwa kesho mkoani Morogoro.

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mume wa marehemu Celina Kombani, aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  Ahmad Pangolani, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015 kenyeViwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
 Mke wa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Salma Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani,wakati wa  shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. lifariki Agosti 24 huko nchini India na anatarajia kuzikwa kesho.

 Spika wa Bunge la Jamhuri, Mama Anne Makinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
  Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mama Maria Nyerere,  wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa  mwili wa aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo
 Baadhi ya Viongozi waliohudhuria  kwenye shughuli  ya  kuaga mwili huo zilizofanyika leo Septemba 28, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam..
 Askari wa Bunge wakibeba Jeneza lenye mwili wa marehemu Celina Kombani, wakati likiwasili kwenye Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya shughuli la kuagwa kabla ya kusafirishwa kuelekea mkoani Morogoro kwa maziko.
Hapa  viongozi wakiwa wamesimama kwa heshima baada ya mwili wa liyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,  marehemu Celina Kombani.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria shughuli hiyo wakiwa katika foleni ya kwenda kutoa heshima za mwisho wakati wa kuagwa mwili huo, kwenye Viwanja vya Karimjee, leo.(picha na OMR).
↧
↧

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR.

September 30, 2015, 9:38 am
≫ Next: DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI, AKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA KAZI ALILIA WAFANYAKAZI WAPATE MIKATABA.
≪ Previous: DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA MAREHEMU CELINA KOMBANI, DAR, KUZIKWA KESHO MOROGORO.
$
0
0
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya, Judith Sergentine (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya Tanzania, Filiberto Cebregondi, wakati walipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujitambulisha baada ya kuwasili nchini. 

 

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiendelea na mazungumzo na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya, Judith Sergentine (wa tatu kulia kwake) na Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya Tanzania, Filiberto Cebregondi, (katikati yao) wakati walipofika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,leo Sept 30, 2015 kwa ajili ya kujitambulisha baada ya kuwasili nchini.
 Baadhi ya watu walioongozana na Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya,Judith Sergentine,wakifuatilia maongezi hayo yaliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Sept 30, 2015 kwa ajili ya kumuaga rasmi akienda kuanza kazi nchini Malawi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Victoria Mwakasege, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Sept 30, 2015 alipofika kumuaga rasmi akienda kuanza kazi nchini Malawi.(picha na OMR).
↧

DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI, AKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA KAZI ALILIA WAFANYAKAZI WAPATE MIKATABA.

September 30, 2015, 9:56 am
≫ Next: MKUTANO WA KULINDA NA KUENDELEZA VITUO VYA BIASHARA TANZANIA WAFANYIKA LEO DAR.
≪ Previous: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MWANGALIZI WA UCHAGUZI KUTOKA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA IKULU DAR.
$
0
0
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba,hicho ni  kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli mbalimbali.

 
 DC Makonda (kulia), akiangalia bomba la maji wanayotumia wafanyakazi hao kwa kunywa. Hata hivyo wafanyakazi hao walilalamikia maji hayo kuwa si salama kwa kuwa yanatoka eneo la chooni.
 Kiongozi wa gereji hiyo, Mr Yu Viangqian (kushoto), akizungumza na wanahabari kuhusu madai ya kuwanyanyasa wafanyakazi wa kitanzania na kutokuwa na mikataba
 Ofisa Uhamiaji wa Wilaya ya Kinondoni, Evarist Mlay akizungumza na waandishi wa habari eneo la tukio baada ya kuwepo madai ya baadhi ya wachina kuishi nchini kinyemela.
Sehemu ya gareji inayolalamikiwa





↧

MKUTANO WA KULINDA NA KUENDELEZA VITUO VYA BIASHARA TANZANIA WAFANYIKA LEO DAR.

October 5, 2015, 6:31 am
≫ Next: MAJAMBAZI SITA YAKAMATWA KWA MAUAJI YA AFISA WA POLISI DAR
≪ Previous: DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI, AKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA KAZI ALILIA WAFANYAKAZI WAPATE MIKATABA.
$
0
0
.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipitia baadhi ya nyaraka alizokabidhiwa  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia, John Mngodo(kulia),   wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kulinda na kuendeleza Vituo vya Biashara Tanzania, uliofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo Okt 5, 2015.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake ya kufungua Mkutano wa Kulinda na kuendeleza Vituo vya Biashara Tanzania, uliofanyika kwenye Hoteli ya Serenaleo.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya washiriki wa Mkutano huo wa Kulinda na kuendeleza Vituo vya Biashara Tanzania, baada ya ufunguzi huo.

  Baadhi ya washiriki na wadau waliohudhuria mkutano huo wa Kulinda na kuendeleza Vituo vya Biashara Tanzania, uliofunguliwa leo kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo, mara baada ya ufunguzi rasmi.(omr)


 WATAALAMU na wadau mbalimbali wamekutana nchini kwa ajili ya kujadili jinsi ya kuwawezesha wafanyabiashara kuboresha na kuendeleza biashara zao na kutambulika kimataifa.

Majadiliano hayo yalilenga kupanua vituo vitakavyowaweka pamoja vijana na  kuwapa ujuzi  wa namna ya kuanzisha biashara na kuziendeleza  ili kujikwamua  na umasikini kupitia fursa mbalimbali.

Makamu wa Rais Dkt.Gharib Bilali, amesema hayo leo wakati akifungua mkutano wa kulinda na kuendeleza vituo vya biashara ulioandaliwa na kampuni ya Property International ltd hapa nchini na Karat-18 ya Ureno.

Dkt.Bilali amesema wadau kutoka taasisi za umma na sekta binafsi wamekutana ili kupeana ujuzi,utaalamu na uzoefu  na kupanua vituo hivyo ili kuongeza ajira nyingi hasa kwa vijana wanaomaliza vyuo.

"Vijana wanaomaliza vyuo vikuu ni wengi na wanajikuta wakihangaika kutokana na kukosa ajira matokeo yake wanaishia kuzunguka na vyeti  bila kupata kazi lakini kampuni hizi kutoka Tanzania na Ureno watashirikiana kuweka vituo na kuhakikisha shughuli za kibiashara zinaongezeka kutokana na wingi wa watu,"amesema Dkt.Bilali.

Pia amesema vijana ndio taifa kubwa na lenye nguvu hivyo wakiwezeshwa kujiajiri na kutumia fursa walizonazo wataondokana na tatizo la ajira ambazo ni chache kutokana na kuongezeka kwa watu nchini.
"Miji inaendelea kukua na watu wanaongezeka kila siku mfano mwaka 2014 kulikuwa na watu bilioni 3 lakini kadri muda unavyokwenda wanaongezeka mpaka bilioni 5 hivyo wao wana uwezo  na ubunifu watasaidia katika suala la biashara kwani taifa ni kazi,"anaongeza.

Naye Katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano,sayansi na teknolojia,John Mngondo, amesema wataalamu hao watasaidia kuboresha miji na kupunguza idadi ya watu wanaoishi katika makazi yaliyojengwa kiholela.

Amesema itawasidia wafanyabiashara kuwa na maeneo maalumu yenye huduma zote za kibiashara ili kupunguza idadi ya watu kufuata huduma mijini na kupunguza misongamano.

"Tunaona mambo haya ya kuwa na makazi yaliyojengwa kiholela watu wanavyopata tabu hasa katika kipindi cha mvua nyingi hupoteza mali na kushindwa kufanya biashara zaao kutokana na mafuriko,"amesema Mngondo.
↧
Remove ADS
Viewing all 3497 articles
Browse latest View live

Search

  • RSSing>>
  • Latest
  • Popular
  • Top Rated
  • Trending
© 2025 //www.rssing.com