Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI YA NJOMBE YAPEWA SIKU 90 KUJIREKEBISHA

NA MAGRETH KINABO MAELEZOUongozi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Njombe umepewa muda wa siku 90 kurekebisha mapungufu ya utoaji wa huduma za afya, lazima hospitali hiyo itafungwa. Kauli hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATAKA HUDUMA ZA AFYA KUKUSANYA MAPATO KWA KUTUMIA MTANDAO

Na Magreth Kinabo –MAELEZOSerikali imezitaka hospitali, zahati, vituo vya afya ambavyo bado havijatakeleza mfumo waukusanyaji mapato ya huduma kwa kutumia mtandao vitekeleze agizo kwa kuwa umeonyesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO AKUTANA NA COSOTA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiongea na viongozi wa COSOTA na wa Kampuni ya Copyright Management Eas t Africa kuhusu mfumo wa ukusanyaji wa mirahaba utakavyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA WAPENDANAO

Kila ifikapo tarehe 14 Februari nchini Marekani na sehemu nyengine Duniani husherehekewa Siku Ya Wapendanao "Valentine's Day", au kama ijulikanavyo kwa jina jengine "Siku Ya Mtakatifu Valentine" (Saint...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BEN POL NA JUX WAPEANA MAKAVU KWENYE 'NAKUCHANA'

PRESS RELEASE ​Dar es Salaam, TanzaniaUjumbe wenye dalili za ukweli uliojificha ndani ya mzaha umezaa wimbo mkubwa kati ya wakali wawili wa RnB Tanzania, Benard “Ben Pol” Paul ​na Juma “Jux”...

View Article


BRAND NEW MUSIC: BEN POL & JUX - NAKUCHANA (SIKILIZA & DOWNLOAD)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AAGANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI KUWAIT, MAHADHI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe Mahadhi Juma Maalim ambaye alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga Februari 15, 2016. Waziri Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MWAKILISHI WA BIASHARA WA UINGEREZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose (katikati) na Mwakilishi wa Biashara wa Uingereza nchini Tanzania, Lord Clive Hollick (kulia) Ofisini kwake jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU CHACHE KABLA YA UCHAGUZI UGANDA, DR. BESIGYE AKAMATWA

Na Mwandishi Wetu,Ikiwa ni siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda kufanyika, mgombea wa Uraisi kutoka champ cha upinzani cha FDC na mwenye ushawishi  mkubwa nchini humo, Dr. Kizza Besigye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY APOKEA VIFAA WODI YA AFYA YA UZAZI YA MAMA NA MTOTO MUHIMBILI

 Na MAELEZOWaziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Watoto na Wazee Mhe. Ummy Mwalimu amepokea vifaa vitakavyotumika katika wodi ya Afya ya uzazi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Taifa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA AFYA AWASIMAMISHA WAKURUGENZI WANNE MSD

Na MAELEZO Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Watoto na Wazee Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha Wakurugenzi toka Bohari ya Dawa ya Taifa(MSD) kwa ubadhilifu wa fedha takribani Shillingi Billion...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YASIKITISHWA KUPIGWA KWA MWANDISHI WA MICHEZO

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa ya kupigwa kwa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Mwanaspoti nchini, Mwanahiba Richard na kiungo wa timu ya Simba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AFRICAN LYON YAPONGEZWA KWA KUPANDA DARAJA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeipongeza timu ya African Lyon FC ya jijini Dar es salaam kwa kufanikiwa kupanda ligi kuu ya Vodacom (VPL) msimu ujao, baada ya kuwa vinara wa Kundi A...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI ANNASTAZIA AITAKA JAMII KUTOA ELIMU YA UNYAGO KWA KUZINGATIA UMRI

Na MAELEZO. Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura amezitaka jamii kutoa elimu ya jando na unyago kwa kuzingatia umri na wakati sahihi wa mafunzo hayo ili kuweza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YATOA TAMKO KUHUSU HALI YA WAKIMBIZI NCHINI

Na MAELEZODar es Salaam.Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetoa tamko kuhusu hali ya wakimbizi nchini kuanzia mwezi Aprili mwaka 2015 hadi tarehe 10 Februali, 2016.Akitoa tamko hilo leo jijini Dar es...

View Article


BASATA YAAGIZA WASANII WOTE KUSAJILIWA, YAONYA MAPROMOTA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AKABIDHIWA NAKALA YAKE YA FOMU YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea nakala yake ya fomu ya ahadi ya uadilifu kwa viongozi wa umma kutoka kwa Kamishina wa Maadili, Jaji Mstaafu Salome Kaganda ambayo aliitia saini na kuipeleka kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AWASIMAMISHA KAZI BAADHI YA WATENDAJI TBC

 Na: Frank Shija, WHUSMWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye amewasimamisha kazi watumishi wawili wa Shirika la Utangazaji la Taifa TBC kutokana na utendaji...

View Article

RAIS AFANYA UTEUZI WA MABALOZI, MAKAMISHNA WA POLISI NA NIDA

View Article

RAIS AFANYA UTEUZI WA MABALOZI, MAKAMISHNA WA POLISI NA NIDA

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live