Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NI SAMWEL SITTA, MWENYEKITI WA BUNGE LA KATIBA

Mbunge wa CCM Samwel John Sitta (PICHANI JUU) ameshinda Kura 487 na ndiye mshindi na anakuwa Mwenyekiti mpya wa Bunge la Katiba.Hashim Rungwe Kura 69, zilizoharibika 7.Waziri wa Ushirikiano wa Afrika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE PICHA ZA MLIPUKO NEW YORK SASA HIVI, MMOJA APOTEZA MAISHA, 15 WAJERUHIWA

ANGALIA PICHA ZAIDI . . .

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLIPUKO WA NEW YORK, 2 WAPOTEZA MAISHA, HALI ILIVYO SASA HIVI LIVE

Polisi wa jiji la New York wanasema watu wawili wamesha poteza maisha mpaka sasa kutokana na mlipuko huko East Harlem katika jumba ambalo limeporomoka. Katika tukio hilo watu wengine 17 wamejeruhiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIMU YA TAIFA YA MALAWI IMEJITOA MICHUANO YA AFRIKA

Timu ya taifa ya soka ya Malawi, imelazimika kujiondoa kutoka katika mechi za kufuzu kwa kombe la taifa bingwa Afrika nchini Morocco mwaka 2015 kutokana na kukosa ufadhili.Uamuzi huo ulifikiwa baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI LEO 13/03/2014, NI USHINDI WA SAMWEL SITTA BUNGE LA KATIBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHUKUMIWA JELA MIAKA 242, KISA UTAKIONA HAPA

ShinyangaWakazi wawili wa kijiji cha Shatimba, Wilaya ya Shinyanga, Mkoa wa Shinyanga wamehukumiwa kwenda jela miaka 242 gerezani na mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani humo kwa makosa mawili tofauti ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI APIGWA KARIBU KUFA KWA KUTEMBEA NA MKE WA MUUMINI

Mchungaji Nyathi wa kanisa la Healing Ministries kutoka Bulawayo, nchini Zimbabwe amepigwa karibu kufa na mmoja wa waumini wa kanisa lake baada ya kubambwa kuwa ana mahusiano na mke wa muumini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO: KUMBE MAMBA HAKUNA KITU, ANGALIA ANAVYO GARAGAZWA NA DUMA LIVE

HAPA JUU NATAKA UONE TU JINSI MAMBA ANAVYONYANYASIKA ANAMYATIA. . .KWENYE MAJI ANAMFUATILIA . . .JAMAA HAJAGUNDUA KUWA HALI INAANZA KUWA MBAYA. . .ANGALIA ZAIDI . . . ALIPOTAKA KUKIMBIA AKANASWA. ....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA YANGURUMA, YAMJIA JUU MEYA WA ILALA, YAMPA SIKU 5 TU

Uongozi wa klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam, umetoa siku tano kwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa kuwapatia kibali cha kutengeneza uwanja wa Jangwani(PICHANI KUSHOTO).Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASUPER STAR WETU: HAPPY BIRTHDAY MWANA FA

LEO NI SIKU YA KUZALIWA YA MWANA FA, IMMA MATUKIO BLOG WISHES YOU A HAPPY BIRTHDAY, MAKE THE MOST OF IT BRO.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AMKUBALI OMMY DIMPOZ, SOMA ALICHOANDIKA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI JIPYA LAZUA VURUGU ZANZIBAR, LAHARIBU MALI ZA SERIKALI

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa kikundi cha vijana Zanzibar kinachojiita UbayaUbaya kimeanza kuleta vurugu na kuanza kupiga mawe magari ya serikali huku wakijerui wafanyakazi wa...

View Article

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE .FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUFDHIDI YAMATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS:BOSS WA BAYERN MUNICH JELA MIAKA MITATU NA NUSU

Bosi wa timu ya Bayern Munich, Uli Hoeness(PICHANI) amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu na miezi sita kwenda jela na mahakama ya Ujerumani kwa kosa la kukwepa kodi.Bosi huyo wa klabu maarufu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH: KWELI YANGA WAMEAMUA, WAOMBA RASMI KIBALI CHA KUANDAMANA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa uongozi wa Klabu ya Dar es Salaam Young Africans, yenye makazi jijini, wamuandikia Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum jijini Dar es Salam kuomba kibali cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI 14/04/2014, SAMIA SULUHU MAKAMU MWENYEKITI BUNGE LA KATIBA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA SASA:WEMA APOST USIKU HUU PICHA DIAMOND YA BUSU NA UJUMBE MZITO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA MNAOTUMIA HEINEKEN BIA, HEINEKEN YASUSA KISA MASHOGA KUTENGWA

Katika taarifa iliyotufikia muda si mrefu, imeeleza kuwa kampuni mbili kubwa kuliko zote nchini Marekani za kutengeneza bia zimejitoa katika udhamini wa matembezi ya hiari ya siku ya Mtakatifu Patrick...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHEZAJI ANELKA KAFUKUZWA KWENYE KLABU YAKE

Mchezaji wa klabu ya soka ya West Brom, Nicolas Anelka amefutwa kazi kwa kosa la utovu wa nidhamu.Klabu hiyo iliamua kuchukua hatua hiyo baada ya Anelka kutangaza kupitia mtandao wa kijamii kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA LEO: MBUNGE WETU MHESHIMIWA SHY-ROSE BANJI

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live